Uchaguzi 2020 Balozi wa Marekani nchini anatarajia kukutana na wagombea Urais wote

Uchaguzi 2020 Balozi wa Marekani nchini anatarajia kukutana na wagombea Urais wote

Sasa Mbatia kajipekeka mwenyewe ohhh nataka kuongea na balozi ulitaka balozi asemaje?

He just enjoyed the talk. Mwingine aende balozi aka enjoy the talk!!!


Kwani Mbatia alikwenda kumpigia muziki wa kisiasa ambao Balozi ali enjoy??--- kama ni mazungumzo positive basi huyo Mbatia atupe muhtasari.
 
Kumbe ni mmoja mmoja, that's fine, nilianza kuimagine hapa Lissu, pale bwana yule mbona kusingekalika.

Let's meet at the top, cheers [emoji482]
Hata mimi niliwaza hiyo kitu sikupata picha jiwe na lissu sijui kama pangetosha..
 
Eti balozi ana IQ ndogo, statement iko very clear ‘I hope to meet with candidates and leaders from ALL PARTIES’, mwenye IQ ndogo kama yako atafikiri anataka kukutana na wagombea udiwani wa vyama vyote hata wagombea ubunge tu haiwezekani kwa sababu wako maelfu.
Leaders wa political parties pia wako maelfu kuna mfano ACT wazalendo kuna mkuu wa Chama zitto Kabwe kuna mwenyekiti Maalim Seif kuna makatibu wakuu wa Chama makamu wenyeviti nk kuna maelfu ya party leaders

Candidates hao ndio usiseme kuna maelfu kuanzia wagombea uraisi,wagombea ubunge kama Mbatia wagombea udiwani ni maelfu wepi anaongelea? Hayuko specific kutokana na Low IQ aliandika alichokielewa yeye binafsi lakini kisichoeleweka kwa audience!!!! His message is only understandable by only himself and may be by his girlfriend if he has kwa kiingereza cha kuunga unga
 
How can I be positive on this matter!?
Who is Balozi wa Marekani in this country.
Yeye yupo hapa kwaajili ya kuwakilisha nchi yake.
USA is not our master. Wanatuzidi uchumi tu.
mkuu Tumia akili hata kidogo basi
 
Kwani mama Tanzania anagombea urais kupitia chama gani?
 
Aonane na wagombea wote!!! Who is he in this country!?
For which reason by the way!?
Tuache siasa za kitumwa.

Kwani huku Zanzibar mnakokukalia kwa mabavu , Who is Magufuli na vibaraka mnaotuletea ??
 
Tatizo lugha kwa ccmagu naweza kukacha huyu...
 
Leaders wa political parties pia wako maelfu kuna mfano ACT wazalendo kuna mkuu wa Chama zitto Kabwe kuna mwenyekiti Maalim Seif kuna makatibu wakuu wa Chama makamu wenyeviti nk kuna maelfu ya party leaders

Candidates hao ndio usiseme kuna maelfu kuanzia wagombea uraisi,wagombea ubunge kama Mbatia wagombea udiwani ni maelfu wepi anaongelea? Hayuko specific kutokana na Low IQ aliandika alichokielewa yeye binafsi lakini kisichoeleweka kwa audience!!!! His message is only understandable by only himself and may be by his girlfriend if he has kwa kiingereza cha kuunga unga
Kama huielewi achana nayo waache walioielewa, why bother.
 
How can I be positive on this matter!?
Who is Balozi wa Marekani in this country.
Yeye yupo hapa kwaajili ya kuwakilisha nchi yake.
USA is not our master. Wanatuzidi uchumi tu.
Huko kukuzidi Uchumi ndo kunamfanya awe Master wako.Kwani we unafikiri unaweza kuifanya nini US?Nchi nyingi tu zinapiga magoti pale itakuwa hako ka nchi kako uchwara!
 
How can I be positive on this matter!?
Who is Balozi wa Marekani in this country.
Yeye yupo hapa kwaajili ya kuwakilisha nchi yake.
USA is not our master. Wanatuzidi uchumi tu.
Hangover yako ikiisha rudia kusoma ulichoandika kama hujajinasa kibao
 
Alitengua kibaraka wa mabeberu aliyekua anatisha takwimu kisha naibu waziri

Halafu

Kwa kupiga nyungu sana.limao,tangawizi na vitunguu kwa wingi

Hivi magufuli kafukuzaje corona mkuu
 
Back
Top Bottom