Haters, mnateseka mnoKWA KUMUOA LISSU?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haters, mnateseka mnoKWA KUMUOA LISSU?
Walikuwa wanatuona ngedere sasa wanatuona tumejiongeza“Bravo Suluhu Samia and Tundu Lissu for sitting down together in Belgium. Penye majadiliano hapaharibiki jambo (when there is dialogue, everything can be resolved).”
Safi sana na hongera kwako Mhe,Rais wa JAMHURI ya Muungano wa Tanzania, Hongera sana na pongezi nyingi kwako Mhe Tundu Lissu kwa mazungumzo haya yenye tija kwa taifa.Balozi wa Marekani Nchini Tanzania, Donald J. Wright amepongeza kitendo cha Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Antiphas Lissu kukutana na Rais Samia Hassan Suluhu, jana tarehe Februari 16, 2022 katika Jiji la Brussels nchini Ubelgiji.
Balozi amepost picha ya wawili hao kisha kuandika:
“Bravo Suluhu Samia and Tundu Lissu for sitting down together in Belgium. Penye majadiliano hapaharibiki jambo (when there is dialogue, everything can be resolved).”
Wazungu oyeeMungu Wabariki Wazungu
Balozi wa Marekani Nchini Tanzania, Donald J. Wright amepongeza kitendo cha Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Antiphas Lissu kukutana na Rais Samia Hassan Suluhu, jana tarehe Februari 16, 2022 katika Jiji la Brussels nchini Ubelgiji.
Balozi amepost picha ya wawili hao kisha kuandika:
“Bravo Suluhu Samia and Tundu Lissu for sitting down together in Belgium. Penye majadiliano hapaharibiki jambo (when there is dialogue, everything can be resolved).”
Wazungu wanatupenda waafrika ili sisi kwa sisi hatupendani sijui tunamatatizo gani? Kuna wapinga democrasia wamechukia sana hasa timu mawe.
Msaliti? Cheki bashasha hilo!
If you know body language.Msaliti? Cheki bashasha hilo!
Wazungu wanatupenda waafrika ili sisi kwa sisi hatupendani sijui tunamatatizo gani? Kuna wapinga democrasia wamechukia sana hasa timu mawe.
Whom one's body language?If you know body language.
Huyo balozi amwambie pia bosi wake, Joe Biden kuwa akutane na kuzungumza na Vladimir Putin na kumaliza tofauti zao pia kama alivyopongeza hapa..
Mungu Wabariki Wazungu
Sema amwambie Biden akutane na Trump bhana ! Putin sio kiongozi wa upinzani Marekani !
Matusi na Uchawi ndio nguzo kuu ya MasikiniKWA KUMUOA LISSU?
Huyu balozi namuelewa sana.Balozi wa Marekani Nchini Tanzania, Donald J. Wright amepongeza kitendo cha Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Antiphas Lissu kukutana na Rais Samia Hassan Suluhu, jana tarehe Februari 16, 2022 katika Jiji la Brussels nchini Ubelgiji.
Balozi amepost picha ya wawili hao kisha kuandika:
“Bravo Suluhu Samia and Tundu Lissu for sitting down together in Belgium. Penye majadiliano hapaharibiki jambo (when there is dialogue, everything can be resolved).”
Kuna mengine kumbe Charle anahongwa hela ili atoe knighthood. Met polisi wanafanya uchunguzi.Thank you very much for this important piece of information. Will make followup and provide my comments.
Wazungu gani unaowazungumzia?? We hujui wazungu ndio wanavuruga amani ya dunia?Wazungu wanapenda sn amani
Mama ni mzuri sura mpaka roho