Na sisi Waafrika pia!Mungu Wabariki Wazungu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na sisi Waafrika pia!Mungu Wabariki Wazungu
Mama aliingizwa chaka na akina Sirro.Ajabu Jidu La Mabambasi . Hawa jamaa (ccm) wakiwa humu ndani hasa bara, hawataki kusikia habari zozote za wapinzani wao. Lakini huko nje wako radhi !!.
What is wrong with us Tanganyikans
Waafrika wamaroho Mbaya sana.Wazungu wanatupenda waafrika ili sisi kwa sisi hatupendani sijui tunamatatizo gani? Kuna wapinga democrasia wamechukia sana hasa timu mawe.
Walishachinjana vyakutosha na wakaona madhara yake.Wazungu wanapenda sn amani
Mkuu hivi tuna chuo chochote cha interior designing and decorations??Aliyepanga hiyo Ofisi ya mkutano ametia aibu. Sasa kiti cha raisi kinawekwa hapo hapo ilipo picha yake tena isiwe hata juu kidogo basi, Ahhhh, yaani hata watu tunaopeleka kufanya kazi kwenye balozi zetu ni bogus!
Mwafrika hata akisimamia kura TU anaiba japo sio yeye anayegombea kisa TU eti Chama chake kipate asilimia mia.Hakuna Mtu simwamini kama Mwafrika.
We ni BashiteWazungu gani unaowazungumzia?? We hujui wazungu ndio wanavuruga amani ya dunia?
You could do yourself a good service by taking a lethal injection if you feel discontented with the developments but if you lack the guts just keep quiet.
Tushirikiane Mkuu tuunde chetu kama hakipo. Naona upo umuhimu mkubwa sana!Mkuu hivi tuna chuo chochote cha interior designing and decorations??
Hakika... Kule kwenye hoteli za kitalii naona South Africans ndo wanachukua hizo tenda za interior designingTushirikiane Mkuu tuunde chetu kama hakipo. Naona upo umuhimu mkubwa sana!