Dr.Kipilimba Mchungaji tena Mchungaji mkubwa wa kanisa kubwa nchini la Tanzania Assemblies of God na uchungaji huwa hakuna kustaafuHuyo atakuwa Kipilimba, akalee wajukuu sasa
Hivi kumbe mabalozi nao wanafanyaga kazi kwa mkataba....ndio nasikia leoakichukua nafasi ya Dk Asha-rose Migiro aliyemaliza mkataba wake.
Ndio huyu huyu mchungaji alikuwa anawatupa watu kwenye viroba alfajiriDr.Kipilimba Mchungaji tena Mchungaji mkubwa wa kanisa kubwa nchini la Tanzania Assemblies of God na uchungaji huwa hakuna kustaafu
Anarudi kwenye kazi yake ya uchungaji kanisani kulea waumini kiroho
Walimtoa kanisani kumpa majukumu ya kiserikali anarudi huko huko walikomtoa kwenye uchungaji .Nafasi yake kanisani ipo vile vile.Atapokelewa kwa vigelegele
Malawi.Uingereza si mwanachama wa SADC
China si mwanachama wa SADC
Kenya si mwanachama wa SADC
Namibia ni mwanachama wa SADC
Mhe. Rais alitembelea wapi na wapi hivi karibuni kwenye ukanda wa SADC?
Inatosha au niongeze sauti?
Hii inaonesha huelewi rais ni niniIna maana hakuna reporting officer hadi aambiwe na Rais wa nchi husika?
TISS imeshindwa kazi?
Ushahidi unao? Usio na shakaNdio huyu huyu mchungaji alikuwa anawatupa watu kwenye viroba alfajiri
Nchi hii ina mambo mengi muda wa kuyaelezea mchacheIna maana hakuna reporting officer hadi aambiwe na Rais wa nchi husika?
TISS imeshindwa kazi?
Ndio maana anaongoza nchi kiswahilikiswahili sana siunaona ana machawa kibaoHuyu Bibi! Alichukua hatua gani.
Anapenda uswahili sana na michambo..
Hajui kama utendaji kazi wa watumishi umeshuka sana katika sekta mabalimbali.
Ni vile tu Afrika na waafrika wakipata kazi huwa hawajali
Maana hilo ni swala la Mwambata pale Ubalozini, yeye anatakiwa atoe ripoti kwa Rais na sio Rais kuambiwa na Rais mwenzake kuwa umetuletea boyaNchi hii ina mambo mengi muda wa kuyaelezea mchache
Una hoja
Alivurunda Ile siku ya kupokea vyakula vya msaada akaanza kutoa amri kama amiri jeshi mkuuKatika hali isiyokuwa ya kawaida rais Samia ameeleza kupokea ombi kutoka kwa mmoja wa marais wa nchi za SADC akimwomba rais Samia ambadilishe balozi wa Tanzania aliyeko nchini “kwake” kutokana na utendaji wake mbovu.
“Nilishakutana na Rais mwenzangu ndani ya nchi za kiafrika, ndani ya Sadc, akaniambia nimbadilishie balozi, akisema uliyeniletea hata kazini haendi, mikutano hashiriki, yupo yupo tu, hatuelewi, Tanzania hatujawazoea hivyo, sasa labda umbadilishe, nikamwambia nimekusikia,” amesema Rais Samia .
Rais aliyasena hayo jana tatehe 16 August alipokuwa akiwaapisha mabalozi wapya ikulu.
Taarifa zilizopatikana leo tarehe 17 August zinaeleza rais Samia amefanya mabadiliko katika balozi tatu moja kati ya hizo ni ubalozi uliopo nchi ya SADC.
Je ni balozi yupi huyo aliyeombwa kumtangua? Soma habari hiyo hapa chini.
Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amewapangia vituo vya kazi mabalozi watatu na kumbadilishia kituo cha kazi Balozi Mbelwa Kairuki aliyekuwa China ambaye sasa anakwenda Uingereza akichukua nafasi ya Dk Asha-rose Migiro aliyemaliza mkataba wake.
Hayo yamebainishwa katika taarifa iliyotolewa na Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu usiku wa kuamkia leo Alhamisi Agosti 17, 2023 ikiwa ni saa chache tangu Rais Samia awaapishe mabalozi wapya huku akizungumzia suala la utendaji usioridhisha wa baadhi ya wanadiplomasia hao.
Katika mabadiliko hayo, waliopangiwa vituo vya kazi ni pamoja na Balozi Khamis Mussa Omar anayekwenda China akichukua nafasi ya Kairuki ambaye amehamishiwa London, Uingereza.
Rais Samia amempangia kituo cha kazi Balozi Ceaser Waitara kwenda Namibia akichukua nafasi ya Dk Modestus Kipilimba ambaye amestaafu.
Mwingine ni Balozi Bernard Kibesse aliyepangiwa kuiwakilisha Tanzania nchini Kenya, akichukua nafasi ya Balozi John Simbachawene ambaye amehamishiwa Kampala, Uganda.
Wasingeweza kumripoti mtu ambae aliwahi kuwa boss wao na ukute waliside nae kuwa kaonewa kutumbuliwa na kutupwa kule wasingeweza kumsemelea kokoteIna maana hakuna reporting officer hadi aambiwe na Rais wa nchi husika?
TISS imeshindwa kazi?
Hakuna watu wanafiki duniani kama Vikosi vinavyojihusisha na mambo ya Usalama ie Jeshi, TISS Magereza etc, kuchomeana ni kawaida, fitna kawaidaWasingeweza kumripoti mtu ambae aliwahi kuwa boss wao na ukute waliside nae kuwa kaonewa kutumbuliwa na kutupwa kule wasingeweza kumsemelea kokote
Ni kweli lakini inategemea wanamchomea nani,mbona huyo hawakumchomea😁Hakuna watu wanafiki duniani kama Vikosi vinavyojihusisha na mambo ya Usalama ie Jeshi, TISS Magereza etc, kuchomeana ni kawaida, fitna kawaida
Ndo hapo uone kuna tatizo sehemu.Ni kweli lakini inategemea wanamchomea nani,mbona huyo hawakumchomea[emoji16]
Tatizo ni sababu za uteuzi wa kuwa Balozi maana kuna wanaoteuliwa kirafiki tu wakale bata sasa usitegemee mtu wa hivyo aliepewa zawadi akawe mchapakazi never na kuna wale wengine wanapokea kama adhabu kuwaondoa tu nchini wasionekane hao pia usitegemee kuna utendaji kazi hapo kwa hiyo wajisahihishe katika uteuziNdo hapo uone kuna tatizo sehemu.
Ila mabalozi wetu wote hawafai kuwa mabalozi, waangalie mabalozi wa US, UK kazi wanazopiga