TANZIA Balozi wa Tanzania nchini Austria, Celestine J Mushi, afariki dunia kwa ajali ya Gari

TANZIA Balozi wa Tanzania nchini Austria, Celestine J Mushi, afariki dunia kwa ajali ya Gari

balozi anaenda tanga ,gari iliyomgonga inatoka tanga imebeba makaa ya mawe,makaa ya mawe siku zote yanatokea mbinga na njombe kuelekea Kenya,ongezea pia gari Yake iliungua kabisa huku tuliambiwa kuwa walikuta nguo zake inakuwaje gari iungue tiii halafu tuzikute NGUO,ongezea na hii kwamba mtu alisimama kuchungulia wakati gari inaungua maajabu,ongezea hii gari iliyomgonga haikuwa na namba wala dereva 😄😄😄😄 ,watu wa Kwanza kufika walikuwa mkuu wa wilaya na mkuu wa mkoa kabla ya TRAFFIC 🤣🤣🤣 anayesoma hii comment yangu arudie kusoma mara mbili halafu taratibu huku wewe mtanzania mwenzangu ukijiuliza maswali madogo madogo
 
Ila balozi na wengine waliotangulia wana bahati sana nawaonea gere sisi wengi tuliobaki full huzuni njaa kali kula mara moja baada ya siku tatu na kugongewa na kuchapiwa mademu na wake zetu. Masanja ana hamu na kutaman angekuwa kwenye iyo nafas ya baloz. Tunahuzunika huku kumbe balozi anafurahi
[emoji23]
 
RIP Balozi Mushi, nimeamini wanaopendwa na wengi hufa wangali vijana!.
Huyu ni Balozi mshikaji wangu wa 4 kuchomoka pale foreign!, alianza Balozi Cisco, akaja Balozi Akili, akaja Balozi Edwin Rutageruka!, sasa Balozi Celestine Mushi!.

Ila pia wajameni kama hali ya uchumi inaruhusu, kwa upande wa gari ndogo, saloon cars, kwa long trips, nashauri nunua chuma cha Mjerumani, na sio haya mabati ya makaratasi ya Japan!.
RIP Balozi Mushi!.

P
 
Back
Top Bottom