Mwanakwetuuu
JF-Expert Member
- Apr 8, 2022
- 1,011
- 2,283
Asante mkuu kawaida tuUna uwezo mkubwa sana wa kuchanganua mambo.👊🏾👊🏾
[emoji23]Ila balozi na wengine waliotangulia wana bahati sana nawaonea gere sisi wengi tuliobaki full huzuni njaa kali kula mara moja baada ya siku tatu na kugongewa na kuchapiwa mademu na wake zetu. Masanja ana hamu na kutaman angekuwa kwenye iyo nafas ya baloz. Tunahuzunika huku kumbe balozi anafurahi
RIP Balozi Mushi, nimeamini wanaopendwa na wengi hufa wangali vijana!.
Huyu ni Balozi mshikaji wangu wa 4 kuchomoka pale foreign!, alianza Balozi Cisco, akaja Balozi Akili, akaja Balozi Edwin Rutageruka!, sasa Balozi Celestine Mushi!.
Ila pia wajameni kama hali ya uchumi inaruhusu, kwa upande wa gari ndogo, saloon cars, kwa long trips, nashauri nunua chuma cha Mjerumani, na sio haya mabati ya makaratasi ya Japan!.
RIP Balozi Mushi!.
P
Mabalozi wengi kitengo/idara,hizo ajali ni ajali au ajali za kikazi!?..kwa nini mabalozi/foreign wamepotea hivyo kwa ajali!?
Umesema?!System erased him. Period
System erased him. Period
Mbona kuna taarifa ilitoka hapa juzi aliyekufa ni mdada?
😂😂😂😂Acha kujifanya bado mtoto, mshikaji mshikaji. Umri wako wa kulea wajukuu lakini kutwa kucha jukwaani kushindana na vijana.
Ni kweli mzee. Crown Majesta new model ni hatari. Mwendo hadi 240KPHBanaa wewe Crown sio za kinyonge achana na hizi Crown za 16 million, kuna Crown zinafika hadi 80 million na kuendelea.. Crown usiposhtuka na barabara zetu mbona hatari, huenda alijisahau akafikiri yupo Austria 😑😑
Top top top secret well Sina neno. Kila mtu na kazi yake na miiko yake.. Amen
Kuna Code zitafunguka hapa soonMbona uzi umerudishwa? Code zimefunguka tusaidiwe tusiojua
Mmmh mbona hatari mno hiiKuna Code zitafunguka hapa soon
Kawaida mkuuMmmh mbona hatari mno hii
Tupewe hints kidogo tulioko huku kijijini nini kimetokea tena hata kwa codeKawaida mkuu
Watakuja mkuu usikae mbali na huu uzi.Tupewe hints kidogo tulioko huku kijijini nini kimetokea tena hata kwa code