Balozi wa Tanzania nchini Malawi ataacha lini utoto?

Tatizo neno UPINZANI lisha waharibu watu, kila kitu wanataka kuleta upinzani,ila unaweza ukakuta mpinzani akifanya hivyo hivyo wataona sawa kusifia.

Hamna kitu cha ajabu kwani naye ana maisha yake mengine nje ya ungozi wake.
 
Eboo kwaio balozi haruhusiwi kucheza?
 
Mkuu
Mkuu
Jpm kanifunza kitu kuwa Rais pekee sio top wa KILA kitu!
Hao unaowaitabTiss ni vibaraka wa maelekezo St Peters pale !!
Na Taasisi ile sio st.peters ni Taasisi inayojitegemea kama YENYEWE!!!
Wale St Peters Wana kibri cha kulinda maslahi ya WATU Wazito na sio the state!!!?state ipo Loyal KWA Taifa!!!st peters ndio inyowapa kibri hao uvccm na mafisadi wakubwa wale wenye chama wakidhani Wana backing ya the state kumbe sio!!!
Nenda Kasome comments za Tumia akili kwenye uzi wake wa "operation Imesitishwa the state wamesema apewe Muda!!!
Pale Jamaa kaweka wazi kabisa!!!
NINA WASIWASI NA KILE KIKOHOZI CHA MAMA ANAPOHUTUBIA!!!!!
WASIWASI NDIO AKILI!!!!!
YA MUNGU MENGI KWANINI UTABIRI UHAI WA MTU HADI 2030!!?
KWANI JIWE ULIAMINI ITAKUWA VILE!!!?
HATA MIMI NAMPENDA JAPO NINA MASHAKA NA KILA KITU!!!!
 

Kwa sababu anacheza.? Kwan hawa watu huwa mnaona ni maroboti au.?
 
Personal life mnaanza kuingilia, cha msingi kazi anafanya
Kama hujui kitu ni bora ukaa kimya!!kuna vyeo fulani ukivifikia serikalini hata sehemu ya kunywa pombe, watu wa kukaa nao unashauriwa kabisa, na maafisa usalama wa wilaya/mkoa, kwani wao ndio wanaokuchunguza mienendo yako hata kama ni nje ya majukumu ya kikazi.ILa kama hujafikia kiwango hicho au kukaa na mtu aliyefikiia huko huwezi kuyajua hayo kamwe.
 
Personal life mnaanza kuingilia, cha msingi kazi anafanya
Once kairusha mitandaoni, it is no longer “personal life”

Ni sawa na mashoga. Kama wanagongwa miti silently vyumbani mwao, let them “enjoy”. As long wanaibuka mitandaoni kutangaza huo upupu, mkono wa sheria utadeal nao

Anachofanya Polepole hakiakisi haiba ya uongozi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…