Aah kumbe nilikuwa silijui hili .. Sasa sijui nikusaidieje? Tiba au kinga?ushaona mwanga anaacha kuroga ? hata hapa kwenye huu uzi unaonyesha ni kiasi gani ulivyo mchawi maana mchawi hana sababu ni roho mbaya tu inayomsumbuaga
kumnbe bado umo?Aah kumbe nilikuwa silijui hili .. Sasa sijui nikusaidieje? Tiba au kinga?
hatuoni ambapo pana wasumbua ninyi na mkiambiwa mnataka kubadirisha wapi penye manufaa ya mojakwa moja kwa mwana nchi wa kawaida mna sema tume huru ya uchaguzi hivi mna akili au matope?Hivi kwanini katiba mpya mnaiogopa kiasi hiki?
sitegemeagi mwanadamu hata siku mojaWewe sema tiba au kinga? Ujuzi hauzeeki.. Au nikufanyie mpango umpokonye Polepole ile nafasi?
kweliSena kweli...[emoji23]
Mkuu naona umesahau kuwa makasiriko yako ndo yamefanya ukafungua huu uzi😃Nambari one..! Makasiriko hayafai mtakufa siku si zenyuView attachment 2231693
Sio but ashawahi kuwa waziri.Hivi naye kumbe ni balozi?
Kukiwepo na katiba ya kueleweka, kamwe wajinga hamtapata nafasi ya kutawala wenye akili.Mfano hapo katiba mpya itamzuia kucheza? Jaribuni kujikita kwenye mambo muhimu ya kitaifa sio kumjadili MTU akiwa kwake chumbani. Huo ni ushakunaku
mnajisumbua tu hebu niambie nchi yenye katiba yenye akili kama una akiliKukiwepo na katiba ya kueleweka, kamwe wajinga hamtapata nafasi ya kutawala wenye akili.
Alipita chuo Cha Diplomacy kweli huyu?Dah.[emoji23] labda nikwambie tu kwamba kila nafasi ya uongozi ina kanuni, masharti na vigezo vyake ..