Mambo hayo ya siri yamefanyika awamu hii tu?Kama hujui nyamaza. Trilion 1.5 hazikwenda mifukoni mwa Magufuli. Serikali inajua ilifanyia nini. Kuna vitu vingine siyo lazima uambiwe. Nchi yoyote ina mambo yake ya siri.
Ni nani ametufikisha huko mkuu?Kumbe Balozi wa Nchi anamwakilisha nani - Waziri au Rais? Obviously anamwakilisha Rais of course ndio maana media kubwa kama Reuters imechukulia seriously comments za Balozi wa Tanzania nchini Namibia, wanajua taarifa hizo came from horse's mouth, kwa bahati mbaya au kimakusudi wasio mtakia mema Dk. Magufuli wana gross misinterpret kauli ya Balozi - wanataka kusikia habari mbaya mwanzo mwisho.
Usimpangie MunguMungu atamuinua Magu kama ni kweli anaumwa ili maadui wake waaibike kama kipindi cha nyuma.
Na hayo yanajumuisha wizi wa fedha.Kama hujui nyamaza. Trilion 1.5 hazikwenda mifukoni mwa Magufuli. Serikali inajua ilifanyia nini. Kuna vitu vingine siyo lazima uambiwe. Nchi yoyote ina mambo yake ya siri.
Umekopi wapi hii ya msaidizi wa ikulu kufariki?.Kwa sasa Magufuli ana mtihani mkubwa sana, maana msaidizi wake wa Ikulu amefariki. Lazima aende kwenye msiba.
Umekopi wapi hii ya msaidizi wa ikulu kufariki?.
Kweli JF forum kuna mazwazwa, yule "alikuwa" up on a times.[emoji1541]
TANZIA - Katibu Tawala Msaidizi Utawala na Rasilimali mkoa wa Mara, Jeswald Majuva afariki dunia
TANZIA Katibu Tawala wa Mkoa wa Mara anasikitika kutangaza kifo Cha Katibu Tawala Msaidizi Utawala na Rasilimali watu ndg Jeswald S. Majuva aliyefariki usiku wa kuamkia tarehe 12/3/2021. Ndg Jeswald Majuva enzi za uhai wake PICHA: Ndg Jeswald Majuva aliyezungushiwa alama, akiwa kwenye...www.jamiiforums.com
Kumbe nyinyi ndio mliomnyima kura Lissu! Mkampa Magufuli - tulishangaa kura za Lissu kupungua kivile! Kumbe wanaojiita wapinzani wengi Walimpa kura Magufuli. Ukute hata Lissu alimpigia Magufuli - mnammiss sana! Sikutegemea Lissu angemmiss Rais kiasi hiki!Ndio, lakini yeye anaonekana, aliye nyumbani na mwenye majukumu ya kuendesha nchi haonekani wiki tatu sasa. Hata kwenye ibada zake za siasa za kila jumapili ameshindwa kufika, na kuna chance kubwa jumapili hii pia hatakuwepo.
Namibia hakuna mchafukoHivi huyu Kipilimba kumbe yuko huko Msumbiji, ndio maana machafuko hayaishi kule calbodelgado.
Neno la Mungu halitapita bure. Bado Kuna ukabila utaendelezwa. Kazi ipo ndani ya miaka sita tu jamaa alijiotesha hivyo. Hatari sana.Kazi ipo
We nani anaweza kuiba hela kama hiyo akaihifadhi bongo hapa? Kuelewa hizi report za CAG nayo ni changamoto..Mi namuombea age ili nchi itulie na irudi katika misingi. Wizi alioufanya wa trilion 1.5 unatosha kumrisha maisha yote mpaka anakufa tena Mara ya pili
Hakuna mungu wa kumuinua mtu anaeua wenzie kisa kuambiwa ukweli,tulieni wadada wa mataga muda wenu umeishaMungu atamuinua Magu kama ni kweli anaumwa ili maadui wake waaibike kama kipindi cha nyuma.
Yani 2021 tuna pasaka mbili za kusherekea moja ya malaika gibril,ingine ya kufufuka kwa kristuAlipopigwa risasi Lissu CCM walifurahi sana acha na sisi tufurahi mbona fresh kabisa
Yani chuma hakijulikani kllipo wewe unavheka! πππππππππ€£π€£π€£π€£π€£