Kwahiyo mkuu inakuaje wafaransa wakubali nchi Yao wawakalishwe na Tumbiri kwenye michezo ya mbalimbali kama mpira wa miguu na kule Olympic?Sugu hapo anaonekana kama Tumbiri kakaa na binadam. Kwa mtazamo wa wafaransa kwa Waafrika.
Andika ujinga wako wote ila taifa la Tanzania limechafuka kwa sababu ya ujingaWanakuitaa suguuu nanii!!
Rungu moja tuh usugu wote kwisha kila siku nikutembelewa tuh hata kutembea haezi tena
Tii Sheria bila shuruti
Masikini hajui taswira ya pan Africans kwa wafaransaSugu hapo anaonekana kama Tumbiri kakaa na binadam. Kwa mtazamo wa wafaransa kwa Waafrika.
Kipo hiki rainbow partyWengi wetu tunatamani CCM itoke madarakani Ila sasa chama cha kuchukua hyo Dora ndio Mtihani
Dio sababu ga nweupe kumjulia hali mtu nweusi.Kwahiyo mkuu inakuaje wafaransa wakubali nchi Yao wawakalishwe na Tumbiri kwenye michezo ya mbalimbali kama mpira wa miguu na kule Olympic?
Wakati mnakosa hoja mjarabu, yaani Mtu mweusi anampiga mtu mweusi mwezie kwako sawa ila mtu mweupe kuja kumjulia hali mtu mweusi kwako siyo sawa. Unashangaza sana.
Yule Awadhi ni muuaji. Ingekuwa nchi nyingine angefunguliwa mashtaka. Nilisikia maelezo ya Lissu, kumbe alimfokea hata RPC kwa kuongea na akina Lissu kwa taratibu. Ngoja iko siku yake inakuja. Hii dunia ilishawahi kuwa na makatili wenye vyeo vikubwa kuliko yeye lakini waliishia kufa vifo vibaya sana.CCM wanaumia na kujuta
Pamoja na ''roho zao mbaya'' lakini wajahidina wakipata shida wanakimbilia kwenye nchi zao na hawaendi uarabuni kwenye wajahidina wenzao!Dio sababu ga nweupe kumjulia hali mtu nweusi.
Ile michezo ni kwa maslahi yake. Labda huelewi kuwa mfaransa nna wazungu wengi, siyo wote, wapo tayari kufanya lolote kwa maslahi yao. Mzungu abaweza kumuuza hata dada'ke au mama'ke kwa maslahi yake.
Wazungu huwaelewi jindi walivyo wanafik. CCM nako watawaambia, mnachofanya sawasawa, hawa wahuni mkiwawachia wataharibu nchi hii ya amani.CCM wanaumia na kujuta
Huu unyama ulio fanywa na huyu Mzanzibar uchwara ita mharibia sana Mh. Rais ambae alisha amza kuaminiwa na mataifa ya njeKuwa wa Kwanza kufahamu kwamba leo, Balozi wa Ufaransa Nchini Tanzania, amefika Mahali alipojihifadhi Bwana Joseph Mbilinyi, Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa ili kumpa pole na kumjulia hali kutokana na kipigo cha kutisha alichopewa na Polisi walioelekezwa kufanya hivyo na Awadh Haji.
Taarifa zinaeleza kwamba Wawili hao wamefanya mazungumzo Marefu. (Hakuna taarifa zaidi)
Soma Pia:
Mungu wabariki Wazungu
tumadini twetu na tumafuta twa uganda
Hutwo mbona tunatoa tuela twa mboga tu na hata hivyo hatutoshi.tumadini twetu na tumafuta twa uganda
sasa ndio mjipendekeze kwa wafaransa, ngoja ibrabim troure awasikie, mtakiona cha mtemakuniHapa ndani tu mmeshindwa kuji manage, eti mna mafuta na madini? Unajua nchi ngapi zina similar resources?
Hamna u special wowote huko nje, acheni kujidanganya
yaani huyu jamaa kumbe ni mzanzibari? anawafanya hivi watanganyika? au kwasababu rais ni mzanzibari? na vile huwa wanateteana? Tanganyika tutaamka lini?Huu unyama ulio fanywa na huyu Mzanzibar uchwara ita mharibia sana Mh. Rais ambae alisha amza kuaminiwa na mataifa ya nje
Halafu bado IGP kaweka pamba masikioni hataki kutoa tamko wala kumpangia kitengo kingine. Maana najua waziri hata fanya lolote maana ni home boy.
Huyu Awadhi ndie huyo huyo alie mvunja Jussa mguu kule Zanzibar
HakikaAndika ujinga wako wote ila taifa la Tanzania limechafuka kwa sababu ya ujinga
Nchi yenu ishauzwayaani huyu jamaa kumbe ni mzanzibari? anawafanya hivi watanganyika? au kwasababu rais ni mzanzibari? na vile huwa wanateteana? Tanganyika tutaamka lini?
Inasikitisha kwa kweli.yaani huyu jamaa kumbe ni mzanzibari? anawafanya hivi watanganyika? au kwasababu rais ni mzanzibari? na vile huwa wanateteana? Tanganyika tutaamka lini?
Ni koloni la Jamhuri ya watu wa Zanzibar.Nchi yenu ishauzwa
Kikongwe usiye na akili hata kidogoHawa Wafaransa waliotolewa mbio na Ibrahim Traore leo ni wema kwa Waafrika?
Huyo hapo yupo kwenye "wagawe uwatawale" na mijinga ya chadomo itamwona anafanya la maana.