Balozi zote za Israel duniani kote haziko salama tena kuanzia sasa, anaonya Kayhan, msemaji wa Kiongozi Mkuu wa Iran. Mapigo yatakua nje na ndani

Waislamu mumekuaje na maneno mengi kufungua nyuzi baada ya kila dakika chache, huyo Iran ni mchumba wa Wayahudi.
 
Iv hamas walipovamia israel...waisraeli walipiga mdomo wakipanga siku ya kulipiza au walilipiza on spot
Hizo ni mbinu Iran inatumia kuwapa jamba jamba balozi zote za Israel duniani, hapo hakuna balozi yoyote itakaa kwa amani watakua wanaishi kama digidigi.

Wataishi kwa mashaka na uoga uliokithiri. Muda wote hawana amani wengine kuanzia sasa kazini hawatokwenda wanaifahamu Iran vyema.
 
Na kabla ya vitisho hivi, israel haijawahi kuwa na Amani kutokana na kumuasi Mwenyezi Mungu, wameuwa hadi Mitume wa Mwenyezi Mungu, watu wasio na hatia wanauawa huko palestine n.k!, ushoga pia, walishalaaniwa hao. Halafu kuna wabongo wanawakumbatia, wengine mpaka flags wanaweka kwenye magari/bajaji zao
 
Kwa hiyo wewe ni Nani mpaka uwaamlie watu kitu Cha kukumbatia? Yaani unajipa umuhimu usiyokuwa nao ...wewe na hao unaowasema hamna tofauti Ila tu kila mtu kachagua upande wake
 
Maislamu ya ajabu sana wala hayaoni kama hamas ndiye aliyeanzisha haya machafuko au ibilisi kayatia upofu?Jino kwa jino maana yake ukipiga nawe pigwa na ukipigwa nawe piga.
 
Balozi za Iran ndiyo zitakuwa salama!! wakijibiwa mapigo wanadai war crimes genocide, crusade etc etc akili kisoda.
 
Wale akili hawana, kwa hasara waliopitia bado wanaishambulia Iran, sijui wanataka nini?
 
Muda hakujua kusoma na kuandikwa shida ndo inaanzia hapo
 
Naona sasa Ayatollah anahamu ya kukutana na bikira 72 za Alah.
 
Shekh, matatizo yote hapo middle east yameanzia kwenye hiki kitabu cha Kuruani. A very pity and useless book.
 
Israel ikijibu mapigo waislamu dunia nzima mnalalamika hii ni Genocide na wayahudi ni wabaya wanaua wanawake na watoto
 
Sasa mkuu huoni kama Iran anafanya kosa la kiufundi huwenda adui mwingine wa Israel akaenda lipua balozi moja wapo wa Israel na hapo ndipo Iran atajuta kumfahamu Netanyahu. Nianovyo mimi ni ngumu sana kupigana na vikundi vinavyojificha ficha kwa raia mara kuvaa malapa mara wakati mwingine wanapekua ila ni rahisi mno kuzichapa jeshi kwa jeshi na hapa ndipo naona kabisa Iran ataenda kupata tabu mbele ya Myahudi coz hawa jamaa wanatechnolojia kubwa af wana akili mingi.
 
Kwa ule utulivu Woote mpaka mkaja tibua maji mtungini hapo Oct mlidhani wao sio binadamu kama ninyi? If kama wako vizuri kupambana wajaribu kuutikisa zaid mtungi uliotibuka uone. Huwa nashangaa Sana how come watu waanzishe vita Kwa kushtukiza (ok tuseme military tactics zao) then mje mjifiche nyuma ya raia wenu mkiwa hamna sare maalum? Kama hii vita ili iishe Hamas wavae gwanda zao wajulikane wangapi, kama Iran same na wengineo wakitaka kuingia ili shambulio liwe Kwa wenye sare tu sio Kwa raia or else kila MTU aweke "souvenir" silaha zake Kwa maonyesho ya vizazi vijavyo na kulengea shabaha kambini tu.

Hata hivyo Sipendi vita 😅
 
Unapoona mtu anatoa tathmini namna atavyoshambulia jua anawafahamu vyema adui zake, pia ana-uhakika wa kile anachokwenda kufanya.
Tusubiri
Mtu aneenda kushambulia hasemi wala hatangazi, ni matendo tu yanaonekana
 
Ukiona adui anakupiga mkwara tambua anakuogopa,mwenye nia ukushambulia kimya kimya
 
KIongozi mkuu baba Ayatoulla khamein piga rakaa zako mbili za sunnah umlaani shetwan iblis zayun uwafutilie mbali kwenye uso wa dunia ukumbukwe katika maisha yote ya vizazi na vizazi inshaAllah utashinda!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…