Balozi zote za Israel duniani kote haziko salama tena kuanzia sasa, anaonya Kayhan, msemaji wa Kiongozi Mkuu wa Iran. Mapigo yatakua nje na ndani

Balozi zote za Israel duniani kote haziko salama tena kuanzia sasa, anaonya Kayhan, msemaji wa Kiongozi Mkuu wa Iran. Mapigo yatakua nje na ndani

Kwa ule utulivu Woote mpaka mkaja tibua maji mtungini hapo Oct mlidhani wao sio binadamu kama ninyi? If kama wako vizuri kupambana wajaribu kuutikisa zaid mtungi uliotibuka uone. Huwa nashangaa Sana how come watu waanzishe vita Kwa kushtukiza (ok tuseme military tactics zao) then mje mjifiche nyuma ya raia wenu mkiwa hamna sare maalum? Kama hii vita ili iishe Hamas wavae gwanda zao wajulikane wangapi, kama Iran same na wengineo wakitaka kuingia ili shambulio liwe Kwa wenye sare tu sio Kwa raia or else kila MTU aweke "souvenir" silaha zake Kwa maonyesho ya vizazi vijavyo na kulengea shabaha kambini tu.

Hata hivyo Sipendi vita 😅
Nchi sio yao, ni wavamizi tu, sijui kama unalijua hilo! Na mazayuni hawakuanza oct kuuwa wapalestina, muwe waelewa basi
 
Na kabla ya vitisho hivi, israel haijawahi kuwa na Amani kutokana na kumuasi Mwenyezi Mungu, wameuwa hadi Mitume wa Mwenyezi Mungu, watu wasio na hatia wanauawa huko palestine n.k!, ushoga pia, walishalaaniwa hao. Halafu kuna wabongo wanawakumbatia, wengine mpaka flags wanaweka kwenye magari/bajaji zao
Wale walio uwawa October 7 walikua na hatia gani?
 
Back
Top Bottom