Banc ABC wamekataa kulipwa, msaada wenu unahitajika

Kwani unavyofanya marejesho hutunzi kumbukumbu? Ulipochukua mkopo hukupewa mchanganuo wa gharama za mkopo pamoja na riba utakazolipa?
Marejesho yanakatwa kwenye mshahara, Ila nimepata cash (taslimu) mkononi nataka waachane na mshahara wangu.
 
Kwa maelezo yako, hapo ulitumia Uswahili na ulienda kinyume cha mkataba wa mwanzo. Una bahati uko banana republic ila ungekuwa duniani hapo ungewakoromoea hawaongei sana unaongea na mwanasheria uone utakavyouza hadi nywele baada ya hukumu.
 
Soma mkataba wa huo mkopo bwana Mgaa gaa upwa ili kujua gharama za kuterminate contract.hayo makubaliano ya kufanya malipo yote kabla ya mida mliyafanya kwa njia ya story hayakuwekwa kwenye mkataba.Kimsingi wewe ni mteja mzuri kwa benki,kwamba hela yao ipo
 
Mtwara BOT wanaofisi pale,jitahidi uende Leo ndugu yangu,jengo lao lipo MIKINDANI mtwara mjini,makabala na Barabara ya makonde na uchumi,mbele kuna wizara ya ardhi na rahaleo primary school
Asante Sana ubarikiwe sana
 
Ndiyo, napenda nilipe Deni lao atakama wakisema waongeze riba ya miaka yote miwili.
 
Inbox haifunguki.
Huna hata haja ya kwenda. Watumie e mail tu: complaints.desk@bot.go.tz
Jitambulishe, kisha elezea ishu yako in details, na kama una ushahidi attach pia (eg mkataba wa mkopo, etc).
Wanajibu haraka sana, na wanawasiliana na benki yako, na issue yako inakua resolved haraka sana. Benki wanawaogopa sana, maana wakizingua tu wanachapwa faini. Mimi siku hizi bank wakinizingua tu, napanda huko.... Benki yangu wameshanijua, nikiwa na issue wanai resolve haraka sana ili nisiende BoT. Kuna siku nilikua branch wananihudumia, nikasikia wanaambizana chini chini, 'huyu ndo yule mteja wa BoT'.
Mgaa gaa upwa
 
Hiyo ni benki ya kihuni,kuna kipindi niliwah kukopa kwao makato yalipoisha wao wakaendelea kukata,
Kusitisha makato unaambiwa uandike barua kusitisha makato na kurudisha pesa
Ni benk ya hovyo
 
Asante sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…