Ni katika hali hiyo,unapokuwa na watu tofauti kwenye majukwaa...Wacha kupelekesha watu bure.
Harakati na siasa ni vitu viwili tofaut sana.
Uko sahihi kabisa!
Watanzania hawajaridhika na mkataba wa Bandari yake Salama. Serikali isione aibu kuachana na Waarabu.Tunaposema Bandari Imegawiwa, maana yake Imegawiwa.
nyie makuwadi ya warabu dpworld nini kimewafanya msimuone na kumkaribisha.Mnasubiri nini kumkaribisha Advocate Mwabukusi,kwenye majukwaa yenu?
Katika kupigana vita huwa hatuchaguwi ni nani rafiki,bali Urafiki unakuja "Automatically"sababu wote mnaojikuta upande mmoja wa vita mkipigana bega kwa bega dhidi ya Upande wa pili wa adui yenu.Tayari...
Nyinyi mnakuwa ni zaidi ya Marafiki bali kama ndugu kabisa.
Hii ni kwa sababu mnakuwa mmeingia hiari kufa pamoja katika uwanja wa Vita.
Mkiwa mnatetea kile mnachokiamini katika umoja wenu, dhidi ya yule mpinzani wenu.
Pia Rafiki anahitajika kwa kuzingatia kwamba urafiki ni moja ya mali ya thamani sana katika maisha yetu.
Hili la DP-WORLD limegeuka kuwa uwanja wa harakati za mapambano dhidi ya wadhalimu kadhaa, wanaotaka kuuza au kugawa raslimali za nchi yetu kwa faida zao binafsi ambazo bila shaka wanazijua wao.
Dhidi ya wazalendo wa kitanganyika wanaokataa kushuhudia nchi na maliasili zake, ikitumika vibaya na kundi dogo la wenye mamlaka serikalini kwa maslahi yao binafsi pamoja na maswahiba wao.
Ni katika suala hili ambapo wameibuka watu wazalendo kama Advocate Mwabukusi akiwa sambamba na kada maarufu wa "CHADEMA" maarufu kama Mdude Nyagali.
Sina haja ya kuwaelezea wawili hawa kwa sababu tayari wameingia katika orodha ya watu wenye uthubutu wa kupambana na dola kwa hoja zenye mashiko.
Ushauri wangu kwa "CHADEMA" ni kwamba huu ungekuwa wakati sahihi wa kumkaribisha rasmi Mzalendo Mwabukusi.
Ili awaongezee nguvu katika vuguvugu linaloendelea la mapambano ya kuokoa Bandari zetu na kuidai katiba mpya ya JMT.
Fanyeni usajili mpya bila kuangalia maslahi yenu binafsi bali uzalendo kwa maslahi mapana ya Tanganyika yetu.
Na hii itachagiza pia CHADEMA kuendelea kujisimika vizuri kwenye maeneo ya Nyanda za juu kusini huko.
Mwabukusi tayari ni Potential huko kusini....
za kuambiwa ongezeni na za kwenu.
Siasa ni pamoja na mikakati mizuri katika kuunda team sahihi katika wakati sahihi.
Cc: Erythrocyte
Tunatangazwa bure burj KhalifaUko sahihi kabisa!View attachment 2729373
Mwabukusi alilelewa na kukuzwa na Chadema , amekuwa Wakili wa Chadema Mbeya , ni miongoni mwa mawakili wa Joseph Mbilinyi kwenye ile kesi ya uongo aliyobambikiwa na Magufuli na kumfunga Jela .Mnasubiri nini kumkaribisha Advocate Mwabukusi,kwenye majukwaa yenu?
Katika kupigana vita huwa hatuchaguwi ni nani rafiki,bali Urafiki unakuja "Automatically"sababu wote mnaojikuta upande mmoja wa vita mkipigana bega kwa bega dhidi ya Upande wa pili wa adui yenu.Tayari...
Nyinyi mnakuwa ni zaidi ya Marafiki bali kama ndugu kabisa.
Hii ni kwa sababu mnakuwa mmeingia hiari kufa pamoja katika uwanja wa Vita.
Mkiwa mnatetea kile mnachokiamini katika umoja wenu, dhidi ya yule mpinzani wenu.
Pia Rafiki anahitajika kwa kuzingatia kwamba urafiki ni moja ya mali ya thamani sana katika maisha yetu.
Hili la DP-WORLD limegeuka kuwa uwanja wa harakati za mapambano dhidi ya wadhalimu kadhaa, wanaotaka kuuza au kugawa raslimali za nchi yetu kwa faida zao binafsi ambazo bila shaka wanazijua wao.
Dhidi ya wazalendo wa kitanganyika wanaokataa kushuhudia nchi na maliasili zake, ikitumika vibaya na kundi dogo la wenye mamlaka serikalini kwa maslahi yao binafsi pamoja na maswahiba wao.
Ni katika suala hili ambapo wameibuka watu wazalendo kama Advocate Mwabukusi akiwa sambamba na kada maarufu wa "CHADEMA" maarufu kama Mdude Nyagali.
Sina haja ya kuwaelezea wawili hawa kwa sababu tayari wameingia katika orodha ya watu wenye uthubutu wa kupambana na dola kwa hoja zenye mashiko.
Ushauri wangu kwa "CHADEMA" ni kwamba huu ungekuwa wakati sahihi wa kumkaribisha rasmi Mzalendo Mwabukusi.
Ili awaongezee nguvu katika vuguvugu linaloendelea la mapambano ya kuokoa Bandari zetu na kuidai katiba mpya ya JMT.
Fanyeni usajili mpya bila kuangalia maslahi yenu binafsi bali uzalendo kwa maslahi mapana ya Tanganyika yetu.
Na hii itachagiza pia CHADEMA kuendelea kujisimika vizuri kwenye maeneo ya Nyanda za juu kusini huko.
Mwabukusi tayari ni Potential huko kusini....
za kuambiwa ongezeni na za kwenu.
Siasa ni pamoja na mikakati mizuri katika kuunda team sahihi katika wakati sahihi.
Cc: Erythrocyte
Mambo ya usaliti huko upinzani ni mambo ya kawaida sana ,Maana huko kinachoangaliwa ni Tumbo lipokee chochote na kuwa na uhakika wa kupata chochote kile yaani ni usaka Tonge tu ,Ndio maana hakuna mpinzani anayeaminika mbele za watanzania.Mwabukusi alilelewa na kukuzwa na Chadema , amekuwa Wakili wa Chadema Mbeya , ni miongoni mwa mawakili wa Joseph Mbilinyi kwenye ile kesi ya uongo aliyobambikiwa na Magufuli na kumfunga Jela .
Kilichotokea ni hiki , James Mbatia baada ya kununuliwa na Magufuli ili kuua Chadema , akamrubuni Mwabukusi kuhamia NCCR MAGEUZI , baada ya Chukizo la Mungu NCCR ikafa , sijui kama bado Mwabukusi yuko NCCR , naishia hapa .
Leo Yuko Sumbawanga mjini na Mdude Chadema, wamekaribishwa na Mbunge wa Jimbo la Nkasi kaskazini Aida Kenani chini ya uratibu wa Mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa Rukwa Bwana Ikuwo. Mkutano wa hadhara viwanja vya Sabato unaanza saa 9 kamili.Mnasubiri nini kumkaribisha Advocate Mwabukusi,kwenye majukwaa yenu?
Katika kupigana vita huwa hatuchaguwi ni nani rafiki,bali Urafiki unakuja "Automatically"sababu wote mnaojikuta upande mmoja wa vita mkipigana bega kwa bega dhidi ya Upande wa pili wa adui yenu.Tayari...
Nyinyi mnakuwa ni zaidi ya Marafiki bali kama ndugu kabisa.
Hii ni kwa sababu mnakuwa mmeingia hiari kufa pamoja katika uwanja wa Vita.
Mkiwa mnatetea kile mnachokiamini katika umoja wenu, dhidi ya yule mpinzani wenu.
Pia Rafiki anahitajika kwa kuzingatia kwamba urafiki ni moja ya mali ya thamani sana katika maisha yetu.
Hili la DP-WORLD limegeuka kuwa uwanja wa harakati za mapambano dhidi ya wadhalimu kadhaa, wanaotaka kuuza au kugawa raslimali za nchi yetu kwa faida zao binafsi ambazo bila shaka wanazijua wao.
Dhidi ya wazalendo wa kitanganyika wanaokataa kushuhudia nchi na maliasili zake, ikitumika vibaya na kundi dogo la wenye mamlaka serikalini kwa maslahi yao binafsi pamoja na maswahiba wao.
Ni katika suala hili ambapo wameibuka watu wazalendo kama Advocate Mwabukusi akiwa sambamba na kada maarufu wa "CHADEMA" maarufu kama Mdude Nyagali.
Sina haja ya kuwaelezea wawili hawa kwa sababu tayari wameingia katika orodha ya watu wenye uthubutu wa kupambana na dola kwa hoja zenye mashiko.
Ushauri wangu kwa "CHADEMA" ni kwamba huu ungekuwa wakati sahihi wa kumkaribisha rasmi Mzalendo Mwabukusi.
Ili awaongezee nguvu katika vuguvugu linaloendelea la mapambano ya kuokoa Bandari zetu na kuidai katiba mpya ya JMT.
Fanyeni usajili mpya bila kuangalia maslahi yenu binafsi bali uzalendo kwa maslahi mapana ya Tanganyika yetu.
Na hii itachagiza pia CHADEMA kuendelea kujisimika vizuri kwenye maeneo ya Nyanda za juu kusini huko.
Mwabukusi tayari ni Potential huko kusini....
za kuambiwa ongezeni na za kwenu.
Siasa ni pamoja na mikakati mizuri katika kuunda team sahihi katika wakati sahihi.
Cc: Erythrocyte
Watu wa Mbeya wanajitoa kafara sana kwa maslahi ya Wakaskazini. Hivi Mbeya Ina wabunge wangapi wa viti maalumu ndani ya CdM?Mwabukusi alilelewa na kukuzwa na Chadema , amekuwa Wakili wa Chadema Mbeya , ni miongoni mwa mawakili wa Joseph Mbilinyi kwenye ile kesi ya uongo aliyobambikiwa na Magufuli na kumfunga Jela .
Kilichotokea ni hiki , James Mbatia baada ya kununuliwa na Magufuli ili kuua Chadema , akamrubuni Mwabukusi kuhamia NCCR MAGEUZI , baada ya Chukizo la Mungu NCCR ikafa , sijui kama bado Mwabukusi yuko NCCR , naishia hapa .
Swali lako ni la kijinga sana ! halihusiani na uzi husikaWatu wa Mbeya wanajitoa kafara sana kwa maslahi ya Wakaskazini. Hivi Mbeya Ina wabunge wangapi wa viti maalumu ndani ya CdM?
Chadema iwaalike wote Shivji, Mpina, Slaa, Lukuvi, Bashiru, Polepole, Mwakubusi na NCCR mageuzi, wana CCM wazalendo.Mnasubiri nini kumkaribisha Advocate Mwabukusi,kwenye majukwaa yenu?
Katika kupigana vita huwa hatuchaguwi ni nani rafiki,bali Urafiki unakuja "Automatically"sababu wote mnaojikuta upande mmoja wa vita mkipigana bega kwa bega dhidi ya Upande wa pili wa adui yenu.Tayari...
Nyinyi mnakuwa ni zaidi ya Marafiki bali kama ndugu kabisa.
Hii ni kwa sababu mnakuwa mmeingia hiari kufa pamoja katika uwanja wa Vita.
Mkiwa mnatetea kile mnachokiamini katika umoja wenu, dhidi ya yule mpinzani wenu.
Pia Rafiki anahitajika kwa kuzingatia kwamba urafiki ni moja ya mali ya thamani sana katika maisha yetu.
Hili la DP-WORLD limegeuka kuwa uwanja wa harakati za mapambano dhidi ya wadhalimu kadhaa, wanaotaka kuuza au kugawa raslimali za nchi yetu kwa faida zao binafsi ambazo bila shaka wanazijua wao.
Dhidi ya wazalendo wa kitanganyika wanaokataa kushuhudia nchi na maliasili zake, ikitumika vibaya na kundi dogo la wenye mamlaka serikalini kwa maslahi yao binafsi pamoja na maswahiba wao.
Ni katika suala hili ambapo wameibuka watu wazalendo kama Advocate Mwabukusi akiwa sambamba na kada maarufu wa "CHADEMA" maarufu kama Mdude Nyagali.
Sina haja ya kuwaelezea wawili hawa kwa sababu tayari wameingia katika orodha ya watu wenye uthubutu wa kupambana na dola kwa hoja zenye mashiko.
Ushauri wangu kwa "CHADEMA" ni kwamba huu ungekuwa wakati sahihi wa kumkaribisha rasmi Mzalendo Mwabukusi.
Ili awaongezee nguvu katika vuguvugu linaloendelea la mapambano ya kuokoa Bandari zetu na kuidai katiba mpya ya JMT.
Fanyeni usajili mpya bila kuangalia maslahi yenu binafsi bali uzalendo kwa maslahi mapana ya Tanganyika yetu.
Na hii itachagiza pia CHADEMA kuendelea kujisimika vizuri kwenye maeneo ya Nyanda za juu kusini huko.
Mwabukusi tayari ni Potential huko kusini....
za kuambiwa ongezeni na za kwenu.
Siasa ni pamoja na mikakati mizuri katika kuunda team sahihi katika wakati sahihi.
Cc: Erythrocyte
Kuhama chama ni haki ya kila mtu , maadam kusiwe na Rushwa ya uongozi ama pesa kama hii ya LijuakaliMambo ya usaliti huko upinzani ni mambo ya kawaida sana ,Maana huko kinachoangaliwa ni Tumbo lipokee chochote na kuwa na uhakika wa kupata chochote kile yaani ni usaka Tonge tu ,Ndio maana hakuna mpinzani anayeaminika mbele za watanzania.
makuwadi ua warabu yalisema wapinzan wanachelewesha maendeleo leo kila kona yamejazana yenyewe yameamua kuuza bandari badala ya kuleta maendeleo.Watu wa Mbeya wanajitoa kafara sana kwa maslahi ya Wakaskazini. Hivi Mbeya Ina wabunge wangapi wa viti maalumu ndani ya CdM?
Sugu na Mdude ni wa kaskazini?huyo Sio wa kaskazini
kumbe naye ni msaliti? mwambukusi hafai kukaribishwa chamaniMwabukusi alilelewa na kukuzwa na Chadema , amekuwa Wakili wa Chadema Mbeya , ni miongoni mwa mawakili wa Joseph Mbilinyi kwenye ile kesi ya uongo aliyobambikiwa na Magufuli na kumfunga Jela .
Kilichotokea ni hiki , James Mbatia baada ya kununuliwa na Magufuli ili kuua Chadema , akamrubuni Mwabukusi kuhamia NCCR MAGEUZI , baada ya Chukizo la Mungu NCCR ikafa , sijui kama bado Mwabukusi yuko NCCR , naishia hapa .
Hakuna asiye msaliti ndani ya CHADEMA,wao kwa wao tu hawaaminianikumbe naye ni msaliti? mwambukusi hafai kukaribishwa chamani
Huyo Mwabukusi hana lolote lile zaidi ya Usaka Tonge Tu .Leo Yuko Sumbawanga mjini na Mdude Chadema, wamekaribishwa na Mbunge wa Jimbo la Nkasi kaskazini Aida Kenani chini ya uratibu wa Mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa Rukwa Bwana Ikuwo. Mkutano wa hadhara viwanja vya Sabato unaanza saa 9 kamili.