Bandari mambo mazuri kuliko tunavyofikiria. DP World

Na huu udini wako pepo utaiskia kwenye matako tuu
Kwa "udini" kama ni Uislam, basibhujakisea, mimi bi Mujslam kweli kweli.


Hivi sababu zako za kuupinga mkataba wa ushirikiano kimaendeleo wa serikali ya Dubai na Serikali ya Tanzania ni zipi?

Mama ameupiga mwingi Kimataifa.
 
Mi Waarabu nawakubali kwenye uwekezaji.
Sio kama Wachina
Na wanajua kudhibiti uwizi

Wale wezi,wavivu wakae pembeni

Wafanyakazi bandari walizidisha dharau,kufanya kazi kwa mazoea

Ova
 
Nchi hii ukwel ni kwamba si nchi ya aman Bali ni nchi ya watu watulivu wasiojuaa mambo Kwa undani zaidi,, watanzania kumbukeni kuwa tunakoelekea mahalamia wote wanaokuj jua kbisa wanaingia Tanzania Kwa fujo kutokana na kigezo Cha sis kuwa tuna aman, baada ya miaka kumi mbele inchi hii nawambie haitakuwa na aman Tena kma tunavyojiita. Ahxante
 
Watu wa bandari wana ukwasi wa kutosha...
Sahv waibeibe ya mwishomwisho tu
Maana dp world haooo wanakuja

Ova
 
Kwa "udini" kama ni Uislam, basibhujakisea, mimi bi Mujslam kweli kweli.


Hivi sababu zako za kuupinga mkataba wa ushirikiano kimaendeleo wa serikali ya Dubai na Serikali ya Tanzania ni zipi?

Mama ameupiga mwingi Kimataifa.
Umeshalewa ndugu,naomba ukapumzike sasa,pombe haziishi.
 
Tukitaka tusitake ni lazima bandari zetu ziendeshwe na mashirika makubwa ya kuendesha bandari duniani kwa masharti yao.
 
Ningekuelewa mapema, lakini nabaki na mashaka maana unatabia ya kuchanganya ukweli, uislam, uCCM, uarabu ushabiki na vitu siriasi vya maisha.

Ni rahisi kukupredict utashabikia nini kesho kwa kuzingatia hadidu za rejea hapo juu.
Hakika,pale panapokuwa na issues zinazoshabihiana na imani yake hata kama zina maswali lukuki hawezi kuongea bila kuegemea kwenye upande wake
 
Ukiendelea na hii akili utaendelea kubaki na umasikini wako milele
 
Mimi nina swali kama ulivyoona nchi yetu imekaa vizuri kijiografia na tumepakana na nchi kama sita zisizokuwa na bandari ( land locked) bado tuna ukanda wa bahari mkubwa hapa Afrika mashariki (coastline)

Swali hivi bandari yetu inashindwa vipi na ya mombasa ? Ilitakiwa tutawale kuhusu swala la bandari

Hao dp world watatufanya tuwe washindani wakubwa ? Watapanua bandari yetu ? Ule ukiritimba kuchelewesha mizigo na rushwa wataweza ondoa ?



Kama majibu ni ndio . Wachukue hio bandari hata miaka 1000 .

Naulaumu sana ujamaa .hii nchi imepata watu wavivu,hawana upeo ,hata exposure hawana .ndio maana hata huko duniani hatujazagaa kama zilivyo nchi nyingine maana pia tuna uwoga wa kujaribu , watanzania tupo tupo tu .

Mtawala na mpinzani hakuna mwenye nafuu wote ni wale wale .

Naulaumu ujamaa
 
No one is against investment in the port and no one is against a certain company or country. What is opposed is the type of contract for the wider interests of the country.

It is very sad to see, what makes you defend such a contract is Islam which was brought by brutal slave traders who until today even a girl/woman does not have the right to ride a bicycle in their country talkless of many murders of black domestic workers in Arabia.
 
Kwa hiyo Magufuli ndio alizuia yote hayo kufanyika?
Je kabla ya Magufuli ilikuwaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…