Bandari mambo mazuri kuliko tunavyofikiria. DP World

Watakuja na wafanyakazi wao au wataendelea na waliopo?
 
Wajinga wajinga kama Magufuli
Huko kooote umeandika vizuri kufika hapa kumtaja huyu mzee tena aliyekuwa rais hadi kufa kwa matusi hivyo..

Acha nikwambie tu wewe unaupumbavuu mwingi.
 

Umeandika nothing but siasa and still hujaelezea about faida wanaypipata nchi kama nchi.
Na terms za mkataba ni kwa muda gani
 
Huyu DPW hata tax anaweza asilipe,check hapo anavyosema kodi iwe non discriminatory,maana hata serikali itapokua inatoza kodi itabidi kwanza wakae mezani wakubaliane kiasi cha kodi,
na kama serikali haitofanya hivyo hiyo kodi itakua ni discriminatory na ikiwa hivyo maana yake serikali itakua imevunja mkataba wakati kipengere cha 1 (a) amekubali kuna miongozo ya kodi alafu chini anataka bargain

Lakini kama serikali itakubali kuchukua kodi tu,je ile miondombinu ilioyowekweza pale bandarini itakwenda kwa DPW bure kabisa,wakati wamekuta miundombinu ipo tayari,maana yake wao wataanza kupata faida kupitia miundombinu iliopo sasa,

Kwanini wasipewe eneo jingine wao wakaliendeleza au kulianzisha,tafsiri nyingine waanze na mtaji wao
 
MUNGU Akubariki sana kwa UELEWA huu
 
Wewe unawapotezea watu muda tu. Upo very shallow, hata nilichokiandika hujakisoma.

Wewe hata bandari huijuwi imekaaje.
Sisi tuna deal na mkataba, sihitaji nijue bandari ikoje kujua mkataba ni wakuwagawia mabwana zenu waarabu sehemu ya Tanganyika na kuilinda Zanzibar dhidi ya mabwana zenu waarabu.
Pili siwezi soma utumbo wako unao ongozwa na mihemko ya udini katika kufikiri
 
nakubaliana na hoja yako isipokuwa maneno ya kuwatukana na kuwadharua viongozi wetu hayakubaliki.
 
Tulipo fikia ukisimama nchale, ukikaa nchale, ukikimbia nchale hakuna namna tumeshikwa pabaya kidunia hata utawala wa chama cha malaika ukishika hatamu hakuna namna ya kujitoa kwa mabeberu wamekwisha weka mifereji ya kipato kuelekea kwao.

Kizazi hiki tumefikia mwisho cha kufanya tutumie ile falsafa kwamba adui akikushinda nguvu jiunge naye.

Wapinzani wasifanye kila jambo Liwe gumu ili lisitekelezeke wakumbuke kwamba dhambi hiyo inaweza kuwakumba kwa kiwango hichohicho.
 
Duc! Achana na huyu pimbi hajui chochote zaidi ya ushabiki mavimavi!
 
Kazi kweli kweli
Lovelovie! Unajua hicho kifaizafoxy ni kipimbi mno! Yeye anajidai kana kwamba hiyo DP World ni ya mamake! Kumbe hajui chochote zaidi ya kujichatua. Angalia hata post zake hajui hata kuandika kwa ufasaha! Huyu ni wa kumkabili kwa kila namna. Mbona kabla ya ujio wao hakuwahi kuwasifia kwa lolote. Huyu ni kima tuu na boya haswa!
 
Na analazimisha watu waamini kile anaamini yeye.
Mjinga pekee ndio atakubaliana na huo mkataba.
Yeye sijui tumuweke kundi la watu wazima ovyo😁😁😁.
 
Na analazimisha watu waamini kile anamini yeye.
Mjinga pekee ndio atakubaliana na huo mkataba.
Yeye sijui tumuweke kundi la watu wazima ovyo😁😁😁.
Lovolovie! Huyo ni hayawani ana mawazo mgando na udini uliomjaa yeye anafikiri DP World watajenga misikiti na madrasa. Ni mpuuzi zaidi ya hayawani aka limbukeni.
 
Lovolovie! Huyo ni hayawani ana mawazo mgando na udini uliomjaa yeye anafikiri DP World watajenga misikiti na madrasa. Ni mpuuzi zaidi ya hayawani aka limbukeni.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Wuuuh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…