Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Mmawia amekunywa maji ya Bendera[emoji1][emoji1] Huo ndio uzalendo usiwe kama Mmawia
Hanaga fact[emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmawia amekunywa maji ya Bendera[emoji1][emoji1] Huo ndio uzalendo usiwe kama Mmawia
Mbona Waarabu wa Bwawa waliopewa bila zabuni na Magufuli huyu Babu alinywea akawa kama piriton.Hata hii kutetea rasilimali za taifa hadharani ni toba tosha kabisa
Dr Slaa, Marando, Freeman Three the hard way ( Jimmy Kelly, Jimmy Brown & Fred Williamson)Hana tofauti na Polepole wakihongwa ubalozi tu wanafunga midomo yao mpaka watakapofukuzwa ndio wanaanza tena kujifanya wanauchungu na Nchi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Pamoja na yote hayo watanzania tumekaa tu kimya tukipigania nchi mtandaoni!!
Hii nchi sijui tumerogwa !! Mimi huwa sielewi kabisa kwann watanzania tupo hivi
Mleta uzi kasema hivi:
hatuko radhi na uwekezaji wa bandari yetu Kwa yeyote yule kiufupi hakuna MTANZANIA aliyefurahishwa na hilo Kama tunaweza kulipia matengenezo yote ambayo tunayoyataka yawe kwenye bandari yetu pendwa na iwe hivyo lakini kwa swala la wawekezaji hatupo radhi
Mbona Waarabu wa Bwawa waliopewa bila zabuni na Magufuli huyu Babu alinywea akawa kama piriton.
Aache zake kutulaghai Watanganyika.
Umenena vyema kabisaBalozi Dkt. Willibrod Slaa anazungumza na Wanahabari Jijini Dar es Salaam, leo Juni 13 2023 kuhusu hati ya makubaliano yaliyoingiwa kati ya Tanzania na DP World...
Mimi nimezingatia maelezo yako ya kusema "anayepinga uwekezaji wa Bandari ni Adui wa Maendeleo" ndiyo maana nikaeleza kuwa tatizo siyo hilo, lazima Mikataba tunayoingia na Wawekezaji iwe na tija kwa Taifa letu.Mleta uzi kasema hivi:
hatuko radhi na uwekezaji wa bandari yetu Kwa yeyote yule kiufupi hakuna MTANZANIA aliyefurahishwa na hilo Kama tunaweza kulipia matengenezo yote ambayo tunayoyataka yawe kwenye bandari yetu pendwa na iwe hivyo lakini kwa swala la wawekezaji hatupo radhi
Sasa hivi yenyewe kuna watu huko twitter wanamuunganisha Raisi wangu mpendwa Samia na Waarabu wa Loliondo.Miaka inavyokwenda utakuja kusikia ni Samia ndo aliowaleta waarabu wa Bwawa ...
Halafu loliondo kila akikaa waziri wa pwani linalipuka...akitoka akiletwa mwingine husikii kabisa..Sasa hivi yenyewe kuna watu huko twitter wanamuunganisha Raisi wangu mpendwa Samia na Waarabu wa Loliondo.
Usitucheke sisi wtz ni watu wa hovyo sana. Huo ndio ukweli. Au nasema uongo ndugu zangu?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
wanajidanganyaMachifu wanatambika huko Mwanza ili Nchi itulie.
Chuki kwa Samia tena?. Rais wa nchi yetu hazungumziwi kwa miaka mingi. Ukiona mwanasiasa mpaka anatumia pesa ili apate nafasi ya kuwa mgombea, tambua huyo keshaukosa urais.
Samia na upungufu wake wote ni tofauti sana na watangulizi wake karibu wote.
Tafuta video zipo mtandaoni ili upate uelewa wa suala la bandari kabla ya kuja na mapovu humu jukwaani.
whyNaomba kucheka mkuu
Slaa ameongea ukweli wa wazi. Naona wazanzibari mnazidi kuhamaki.Lakini Padre, Dr. Wilbrod P.Slaa legitimacy yako pia iko na wasiwasi mingi. Pia huu uchambuzi wako wa kawaida sana hauna hisia za uchungu za kizalendo, me nadhani unajaribu ku-lay down trap kwa vyama vya siasa vivutiwe nawe upate nafasi ambayo unaitamani sana ya kugombea Urais2025. But for sure uchambuzi wako wa leo kuhusu Bandari haujabamba hata