Bandari na DP World: Dkt. Slaa asema ni uuzaji wa Nchi. Adai Serikali iliyopo ina uhalali wa wasiwasi
Hana tofauti na Polepole wakihongwa ubalozi tu wanafunga midomo yao mpaka watakapofukuzwa ndio wanaanza tena kujifanya wanauchungu na Nchi.
Dr Slaa, Marando, Freeman Three the hard way ( Jimmy Kelly, Jimmy Brown & Fred Williamson)

Hiyo ndio Chadema inayowamiliki Covid 19
 
Pamoja na yote hayo watanzania tumekaa tu kimya tukipigania nchi mtandaoni!!

Hii nchi sijui tumerogwa !! Mimi huwa sielewi kabisa kwann watanzania tupo hivi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mleta uzi kasema hivi:

hatuko radhi na uwekezaji wa bandari yetu Kwa yeyote yule kiufupi hakuna MTANZANIA aliyefurahishwa na hilo Kama tunaweza kulipia matengenezo yote ambayo tunayoyataka yawe kwenye bandari yetu pendwa na iwe hivyo lakini kwa swala la wawekezaji hatupo radhi

Mimi hapa mleta mada

Mkuu umeupitia mkataba vizur?
 
Mleta uzi kasema hivi:

hatuko radhi na uwekezaji wa bandari yetu Kwa yeyote yule kiufupi hakuna MTANZANIA aliyefurahishwa na hilo Kama tunaweza kulipia matengenezo yote ambayo tunayoyataka yawe kwenye bandari yetu pendwa na iwe hivyo lakini kwa swala la wawekezaji hatupo radhi
Mimi nimezingatia maelezo yako ya kusema "anayepinga uwekezaji wa Bandari ni Adui wa Maendeleo" ndiyo maana nikaeleza kuwa tatizo siyo hilo, lazima Mikataba tunayoingia na Wawekezaji iwe na tija kwa Taifa letu.
 
Hata saa mbovu huwa inakuwa sahihi mara moja kwa siku. Dr Mihogo kasema kweli tupu.
 
Sasa hivi yenyewe kuna watu huko twitter wanamuunganisha Raisi wangu mpendwa Samia na Waarabu wa Loliondo.
Halafu loliondo kila akikaa waziri wa pwani linalipuka...akitoka akiletwa mwingine husikii kabisa..
Alikaa Shamsa Mwangunga ilikuwa balaa ..Hadi wamasai wakapewa nauli kuja Dar kuandamana..akaja Philip Maige...kukatulia kabisa..kama hakuna tatizo...
 
Wewe utakuwa mpambavu au kwa makusudi unatetea upumbavu

Huyo mama ameuza nchi ni fisadi hafai hata kidogo

Ameenda uarabuni kusalimia mikataba ya hovyo

Mshangilieni nyie wajinga
Chuki kwa Samia tena?. Rais wa nchi yetu hazungumziwi kwa miaka mingi. Ukiona mwanasiasa mpaka anatumia pesa ili apate nafasi ya kuwa mgombea, tambua huyo keshaukosa urais.

Samia na upungufu wake wote ni tofauti sana na watangulizi wake karibu wote.

Tafuta video zipo mtandaoni ili upate uelewa wa suala la bandari kabla ya kuja na mapovu humu jukwaani.
 
Lakini Padre, Dr. Wilbrod P.Slaa legitimacy yako pia iko na wasiwasi mingi. Pia huu uchambuzi wako wa kawaida sana hauna hisia za uchungu za kizalendo, me nadhani unajaribu ku-lay down trap kwa vyama vya siasa vivutiwe nawe upate nafasi ambayo unaitamani sana ya kugombea Urais2025. But for sure uchambuzi wako wa leo kuhusu Bandari haujabamba hata
Slaa ameongea ukweli wa wazi. Naona wazanzibari mnazidi kuhamaki.
 
Back
Top Bottom