Bandari na unafiki wa Watanganyika


Bothlegs

Makala yako inafaa kila mtanganyika aisome. Au niseme waisomeshe maskulini mwao huko tanganyika. Lakni ukweli ni kwamba watanganyika hata nyasi zao sigeuke pesa, watakuwa mafukara tu. Ukitaka bahari ikauke, wakabidhi watanganyika.
 
Usitushukuru kwa ujinga wa kizanzibari ulio andika.
 
Watanganyika wametawaliwa na UJINGA ROHO MBAYA NA UCHOYO hawana Zaid ya hayo
 
Wee Ni mpuuz na fools"
 
WaZanzibari hawana kiswahili kibovu kama hiki cha kwako.
Wewe sio MZanzibari!!
 
WaZanzibari hawana kiswahili kibovu kama hiki cha kwako.
Wewe sio MZanzibari!!

Ndugu Narogo

Yaani mkuu mumezoea wazanizbari kusema hewallah kila wakati. hao sio wazanzibari bali ni ndugu zenu wazanzibara, watangika waliokuja zanzibar kama refugee kukimbia dhiki huko tanganyika. Sasa wazanizbar tunasema, na mutatusikia sana maana tumechoka na matusi yenu. Tukikufanyieni kheri munasema tunaiuza tanganyika yenu. wengine katika mikutano ya siri wanasema wamechoka na mashungi. Munatufanya tuseme kugha mulokuwa hamujaizoea. Poleni sana
 
Dah! Yaani Wazanzibari tumewalea kwa miaka yote hii, halafu leo mnadiriki kututukana matusi ya nguoni hadharani!
Ndio tabia ya katoto katukutu. Ukikapakata kanakunyea, ukikaacha kanalia. Siku ipo kataachwa kalie hadi kazimie, uvumilivu una mwisho.
 
makuwadi ya warabu yamechanganyikiwa baada ya kuhongwa hela za hongo lazima ziwatokee puani rudisheni hela za rushwa nyie warabu fake wa zanzibar.
 
Ndio tabia ya katoto katukutu. Ukikapakata kanakunyea, ukikaacha kanalia. Siku ipo kataachwa kalie hadi kazimie, uvumilivu una mwisho.
Sisi Wazanzibari tunaisubiri kwa hamu hiyo siku. Ila nikwambie tu kwamba hiyo siku haipo kwani bado munafikira za kikoloni, tena mkoloni mweusi. Ukiacha ukoloni muna udini na umajimbo uliopindukia mipaka.

Jitahidini kulitekeleza hilo ili tuone.
 
makuwadi ya warabu yamechanganyikiwa baada ya kuhongwa hela za hongo lazima ziwatokee puani rudisheni hela za rushwa nyie warabu fake wa zanzibar.
Vipi kuhusu nyinyi wenye ukuwadi wa sehemu mbili? Yaani ukuwadi wa Wazungu na ukuwadi wa Waroma.

Jitahidi kufikiria kabla kuandika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…