Bandari na unafiki wa Watanganyika

Duh 🙄 !!!
 
Ni kweli talanta tulizopewa hazitakiwi kufichwa ardhini bila kutunufaisha, tatizo linakuja wakati wa kutaka zizungushwe kibiashara wanaoingia mikataba wanakuwa na mawazo ya uoga na wengine wanachukua Chao mapema na kusahau faida ya kunufaisha wengi, lakini kiuhalisia talanta siyo za kufukia ardhini Bali zinatakiwa kuingizwa kwenye biashara zilete faida, iwe bara au visiwani talanta hazitakiwi kufukiwa ardhini Bali kuzungushwa kibiashara ndo kanuni ya uchumi uliobarikiwa na Mungu.
 
Selfishness ndio tatizo letu kuu Africa !!
 
Msalaba unaliwa sana tu!! Umenikomboa na kuniweka huru mbali na utumwa wa dhambi. Kwa sasa naweza kusema hapana kwa dhambi lakini si kabla ya msalaba!! Wewe si una ushirika na mapepo/majini, yaulize habari ya msalaba wa Yesu Kristo kama hayatapiga kelele kwa kihoro!! Zungumza mengine lakini msaba ni NGUVU ya Mungu iletayo ukombozi!
Turudi kwenye mada ya msingi: Hatutaki mkataba wa kinyonyaji wa bandari!! Kama nyie wazenj mnautaka waiteni huko!!
 

Mbingunikwetu

Mkuu bora ukatafute jembe ukalime,

Hakukuwa na msalaba katika siku za Yesu. Na kama msalaba kweli ulikuwepo basi ulikuwa unauwa, haukombowi mtu

Kwanza kama yesu alikuwepo basi alitundikwa juu ya mti na sio msalaba. "Christ redeemed us from the curse of the law by becoming a curse for us—for it is written, “Cursed is everyone who is hanged on a tree”" Galatian 3:13

Jambo jengine mkuu, hakujwahi kuzaliwa Myahudi katika historia ya binadamu aloitwa YESU.

Yesu wa bibiliani, yesu alokwenda juu ya maji, alogeuza maji kuwa uveli, alolisha watu elfu tano kwa samaki wawili na kipande cha mkate, alomfufua lazarus, alokwenda msalabani hakuwepo. ni utunzi wa waroma tu. Sasa mkuu myahudi alokuwa hakuwepo atakuokoa vipi weye mtanganyika?

Na kama yesu alikuwepo basi alikuja kwa kabila 12 tu za kiyahudi, sasa weye mkuu ni ipi babila yako ya kiyahudi?

"Akajibu, “Nimetumwa tu kwa ajili ya kondoo wa Israeli wal iopotea" Matayo 15:24

Maana ikiwa huna kabila katika hizo kabila 12 uzima wa milele ni ndoto yako ya mbali sana, will never happen

hebu soma ufunuo

"Kisha nikasikia idadi ya watu wenye alama ya Mungu kwenye vipaji vya nyuso zao. Walikuwa watu 144,000. Walitoka katika kila kabila la Israeli: Kutoka katika kabila la Yuda walikuwa elfu kumi na mbili Kutoka katika kabila la Rubeni walikuwa elfu kumi na mbili Kutoka katika kabila la Gadi walikuwa elfu kumi na mbili. Kutoka katika kabila la Asheri walikuwa elfu kumi na mbili Kutoka katika kabila la Naftali walikuwa elfu kumi na mbili Kutoka katika kabila la Manasse walikuwa elfu kumi na mbili. Kutoka katika kabila la Simeoni walikuwa elfu kumi na mbili Kutoka katika kabila la Lawi walikuwa elfu kumi na mbili Kutoka katika kabila la Isakari walikuwa elfu kumi na mbili" Ufunuo 7:4-8

Mkuu wazngu wamekudanganya.

Sasa njoo tuzungumzie badari na unafiki wenu watanganyika.
 
Pole!! Kipofu hata ukimwonyesha kitu kamwe hawezi kukiona!! Jesus is real in my life!! I do not need proof from someone else!! my very life is the living testimony and a proof that Jesus is real, for He has saved my life!!

Turudi kwenye mambo ya bandari: Hata kama hatuwezi kuiendeleza wenyewe kwa sasa ndo tumgawie mwarabu bure kama alivyofanya chief Mangungo! No thank you!! Mama akilazimisha atakuja kujuta!!
 
Hilo li wilaya lenu nalo mwalinganisha na Taifa kubwa? midebwedo nyie
 
Msitupangie
Yes vyote vipo Tanganyika
Kama ni hasara ya kwetu
Hatutaki mwekezaji aina hii atugeuze watumwa kwenye nchi yetu

Mbona wazito kuelewa wepesi kulazimisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…