Huu mradi utajengwa na kama hamtaki basi hameni nchi.Rais Magufuli aliukataa uhuni kwa niaba ya watanzania. Ametangulia mbele ya haki ni jukumu letu watanzania kuchukua lindo la rasilimali zetu.
Hapo miundo mbinu yote imechakaa na machines beyond economic repairUjenzi wa bandari ya bagamoyo umejaa uhuni wa kutisha.
Kulingana na mkataba, wachina walitaka kuingia makubaliano ya kujenga miundombinu yote ya bandari kwa gharama zao..
Mataga lazima mkknde midomo yenu mirefu kama mikia ya ng'ombeTena akipewa bandari ataanza uvuvi hahahahahahahaha
Mbona mkataba wa SGR na MNHP hamjatuwekea wananchi ili tuuone?Magufuli alishasema mkataba huo ni labda mtu asiyejielewa ndiyo anaweza kuuingia
Sasa hawa wanaoupigia chepuo si wauweke
Wazi nao raia wauone, wasituingize chaka
Ova
Kwani mkiweka mikataba wazi hofu yenu ni nini mtakosa fedha yenu ya udalali?Huu mradi utajengwa na kama hamtaki basi hameni nchi.
Wacheni ubaguzi nyinyi mataga
Kama aliukataa mwendazake basi lakini sasa hivi yupo rais mwingine hivyo muacheni afanye kazi zake .
Kubalini kuwa sasa tunaye rais mwingine.
Vipi kuhusu mikataba ya SGR hamjahoji kuonyeshwa?Kama mtu alikula za Mchina atapata tabu sana watanzania wameamka.
Majitu mengine sijui hamjui kusoma? Mradi ni miaka hamsini na imeandikwa hapo. Hiyo 70 umeitoa wapi?Then kwa miaka 70 hiyo watakuwa wanalipa kodi? Na kama ni hivyo kodi kiasi gani?...
Tuwekeeni na mikataba ya SGR na MNHPKwani mkiweka mikataba wazi hofu yenu ni nini mtakosa fedha yenu ya udalali?
Reli ya kwetu, fedha za kwetu na tumimtuma JPM kwenda kufanya kazi yetu.Vipi kuhusu mikataba ya SGR hamjahoji kuonyeshwa?
Hapana. Huo ni utapeli.Then kwa miaka 70 hiyo watakuwa wanalipa kodi? Na kama ni hivyo kodi kiasi gani?
Unaweza ukaja kwangu una mradi wako, nikakupa aedhi uweke mradi wako. Terms zangu ni kuwa you will have to abide by tax regulations of my specification.
Ingiza gharama zako, mimi bila kujali unapata nini, utanilipa kodi kwa chochote utakachokifanya s per tax administration laws za kwangu.
Naona kila mtu anakuja na mawazo yake, hebu acheni porojo zenu hizo, Serikali iweke hadharani mkataba husika na wananchi tuupitie pamoja na wachambuzi wa mambo ya kiuchumi watoe ushauri kutokana na kilichomo. Hizi hearsays zinachosha!!Ujenzi wa bandari ya bagamoyo umejaa uhuni wa kutisha.
Kulingana na mkataba, wachina walitaka kuingia makubaliano ya kujenga miundombinu yote ya bandari kwa gharama zao...
Kwahiyo hiyo bandari inaenda kujengwa zimbabwe?Reli ya kwetu, fedha za kwetu na tumimtuma JPM kwenda kufanya kazi yetu.
UHUNI gani. wewe mkataba umeuona na kuusoma?Rais Magufuli aliukataa uhuni kwa niaba ya watanzania. Ametangulia mbele ya haki ni jukumu letu watanzania kuchukua lindo la rasilimali zetu.
Wacheni ukabila nyinyi matagaHapana. Huo ni utapeli.
Kodi?
Ni sawa na jinsi tulivyoyakabidhi madini kwa wazungu halafu wanatuachia vipesa vya nyanya!
Serikali lazima iwe na full control ya mapato na sio kuwa mkusanya kodi pekee..
Tatizo Kuna nyumbu wanaamini Mbowe ni mbunge.Mataga kazi mnayo ila mnasahau kuwa tayari mama Samia ndiye rais wa JMT na hakuna mjadala.
Huyo hana lolote kisa mradi ulikataliwa na mwendazake ndugu yaoUHUNI gani. wewe mkataba umeuona na kuusoma?
Mbowe ubunge alishaporwa na mwendazake kwa hila
Watu wasiojulikana VIP bado wapo wakajibu ili bango maana hata JF yawezekana wapo sio kutoa maneno hukoAlafu bandari itakuwa imezeeka hahahahahahahaha
Mkataba uwekwe hadharani tukate mzizi wa fitnaHuyo hana lolote kisa mradi ulikataliwa na mwendazake ndugu yao