Bandari ya Bagamoyo aka Mbeganizhou ya Wachina

Wanasiasa na wabunge wanaoshadadia hiyo bandari kama wana nia njema na wanajua wanachokifanya nilidhani hatua ya kwanza ingekua ni kuishinikiza serikali iuweke wazi huo mkataba ili terms na conditions zake zote zijulikane then waone kwa nini JPM aliukataa.

Binafsi naona ni jambo la kheri alivyoukataa maana kama mkataba ni wa hovyo still tuko salama na tuna fursa ya kuamua kwa uhuru tuachane nao au tuendelee nao kwa terms mpya, lakini vipi kama angeukubali halafu kumbe mkataba ni wa kinyonyaji na ndio tungekua tumeshauingia na kutoka si rahisi au gharama ni kubwa?

Pamoja na mapungufu lakn tulikuwa tumefika pazuri na tunaelekea pazuri na modality ya Tanzania kwanza, Tanzania kwanza, una ulazima gani wa kukimbilia vipya tena vyenye masharti magumu ilhali una vya kwako ambavyo unaweza ukavirekebisha, ukaviboresha, ukavisimamia vizuri na vikakupa matokeo mazuri. Ktk issue kama hizi hisia na mahaba ya kivyama na kiitikadi tukifanikiwa kuweka pembeni tutafanikiwa sana.
 
Watu wasiojulikana VIP bado wapo wakajibu ili bango maana hata JF yawezekana wapo sio kutoa maneno huko Mie nashukuru inanipotezea muda Tu hakuna jipya

 
Tumeukataa huu mradi kiroho na kimwili pia ni Hadi mashariti ya kijinga yatakapoondolewa!!

Tutawafurusha hao waliozoea kuweka rehani Mali zetu Kwa kujali matumbo yao
Huo mradi unajengwa na nyinyi majizi kama hamtaki maamzi ya uongozi tulio nao basi hameni nchi mrudi kwenu burundi
 

Huu Mradi Ni Nonsense Otherwise Kama Kuna Revision Ya Terms
 
Waulizeni wazambia na kenya Mombasa karibu iondoke !! kuona picha za video! kuwa nzuri tena kwa hela zaoa!!! sio sababu ya kukubali bali kilicho nyuma ya pazia hapo ndio weledi unatakiwa sio mvuto wa bandari mweee nanai karoga watu vichwani?
 
(wachina wanapaswa kuchukua mapato yote ya bandari kwa MIAKA HAMSINI.)
Sio 50 Ndugu 99.
2070 + 49 = 3019
Hapo tunaopiga soga hapa wote hatupo.

itakua generation ingine nayo inaweza kupigwa porojo ikapenyezewa chajuu wakasign tena mkataba Mpya miaka 50+.
 
Ilitakiwa ijengwe na wachina na waoman .
Kama ulikuwa haujui.
Na lengo NI kuujenga mji wa bagamoyo.sio bandari Tu..
Kuhusu mkataba na makubaliano hakuna raia wa kawaida aliyeuona huo mkataba..
Cha msingi mkataba uangaliwe upya.
Bandari ya bagamoyo ina umuhimu wake.
haiwezekani miaka yote tukawa na bandari moja kubwa..
Kama suala NI mkataba watazungumza.ila bandari ya bagamoyo lazma ijengwe.
 
Mataga kazi mnayo ila mnasahau kuwa tayari mama Samia ndiye rais wa JMT na hakuna mjadala.
Hili ndio tatizo lilipo, mahaba ya vyama na itikadi za kisiasa, chuki au mahaba juu ya mtu fulani.

Huu mradi nahisi kuna watu wanaweza kuukubali au kuukataa kwa sababu tu JPM aliupinga. JPM is no more na hatarudi tena kuishi kwenye hili taifa so kama kuna hasara au faida itapatikana na ya sisi tuliopo sasa na watakaokuja baadae so maamuzi yetu yawe juu ya facts sio hisia na mihemko ya sijui Mataga na Machaga.

Kwa mfano:
JPM alisema wachina wanataka wakabidhiwe kila kitu for 90 years na wasiulizwe chochote.

Pia walitaka bandari zilizopo sasa zisiendelezwe eventualy biashara ya bandari dsm, tanga na mtwara ingekuaje? Yaani unawekeza sehemu moja huku unaua sehemu nyingine.

Ktk huo mkataba misamaha ya kodi waliyotaka ni ipi na kwa muda gani.

Na yatakuweko mengine mengi, sasa haya inabidi tujue yanaishaje ishaje uwazi uwepo juu ya huo mkataba na mikataba mingine ili tuwe na nafasi ya kuwahukumu wanasiasa vizuri pale wanapotaka kutuingiza shimoni.
 
Mkuu wew mkataba umeuona?
 
Sina imani kabisa na serikali ya awamu ya sita

Tatizo ndani ya serikali unafiki ni mwingi sana, leo hii wanao msifia samia ni wengi sana kwakuwa inaonekana serikali yake ni dhaifutu...
Kichwa chako kimejaa matope badala ya ubongo we mganga njaa. Roho mbaya za kichawi zinakusumbueni!

Koma kabisa kutukana raisi wetu mama Samia ukiwa nyuma ya keyboard.
 
Kabisa mkuu, hata mtoto mdogo hawezi kukubali mkataba wa aina hiyo, hizo ni propaganda za Jiwe.
 
Magu sijawahi muamini hata siku, tungeuona mkataba tujiridhishe, afterall majadiliano yalikuwa hayajafika mwisho ila mzee baba alipanic kwa mihemko

 
Montenegro wana deni la 1$bl ambalo waliingia na wa China na wameshindwa kulilipa. Wanalazimika kulipa ardhi yao yenye thamani hiyo[emoji848]!
Haya mauongo manajifunziaga wapi?

Nchi ina bandari ya kisasa kama ya Bagamoyo ishindwe kulipa dola bilioni 1?

Hata hivyo kwetu sio mkopo, ni concession. Muwage mnaeleweshwa mnaelewa!
 
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…