ANKOJEI
JF-Expert Member
- Nov 11, 2010
- 996
- 745
kwan lazima unijibu?hujui kuwa hujui, pole.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwan lazima unijibu?hujui kuwa hujui, pole.
Bandari ilikuwa ijengwe mwandali Tanga?Soma vema ukiwa umetuliza akili
Bandari ni kitu muhimu kwa maslahi ya taifa ni bora srikali ikawekeza yenyewe badala ya sekta binafsi. Hili ni suala la kiusalama tuKama tumeweza kujenga S. G. R na kununua ndege kwa kutumia trillions zetu wenyewe, kwanini tushindwe kwenye bandari.
Tanzania tujipange kuimarisha vyanzo vyefu vya fedha tujenge bandari kwa hela zetu, ikishindikana kabisa tukope hela kwenye mabenki makubwa duniani tukamilishe huo mpango maana hawa wawekezaji ni wazi wana agenda yao chafu
Hujasema nani akujibu hivyo ni wajibu kujibiwa na yeyote au unataka kupangia watu?kwan lazima unijibu?
Wasepe waende wapi? Wana pa kwenda penye uchochoro wa bwereree kama Tanzania? Nchi nyingine zinajitambua na haziwezi kuingia mkataba wa kijinga namna hiyo. Ni Tanzania tu yenye viongozi wenye uchu wameona uwezekeno wa kuhonga ili wachukue hicho kipande. Hawa ni watu hatari sana sana na wanatakiwa kupingwa kwa nguvu zote.Bandari ijengwe maana itafungua fursa zaidi kuliko iligyo sasa
Hofu yangu ni je wawekezaji wale bado wako tayari kuwekeza au ndio wameshasepa maana tayari Lamu inafanya Kazi na bandari yenye ukubwa karibu na huo inajengwa Msumbiji kwa hiyo ile potential huenda kwa sasa ikawa haipo na wawekezaji wakasita kuleta pesa zao.
Mwisho Serikali ya mama ifanye tathmnini ya mradi na kuona kama wanaweza kuendelea nao na huu ndio utakuwa legacy yako mama itakahoishi miaka na miaka,kizazi na kizazi.
Hata hiyo sgr yenu Ili iwe na tija ni lazima kupatikane bandari kubwa itakayoweza kuifanya iwe operational vinginevyo maskini wa nchi hii hakuna siku watakuja kuona unafuu wa maisha
Hizi ni propaganda za watu wenye uchu kama mafisi na hakuna faida kwa nchi. Mwarabu anatumia nguvu kubwa kupora nchi yetu kwa kuhonga viongozi wetu. Kwanza kwa usalama wa nchi ni jambo baya sana kukabidhi milki ya bandari ya nchi kwa nchi nyingine. Itatumika kutoroshea raslimali zetu. Hilo ndolo lengo kubwa na haya mengine ni visingizio tu.Km wanataka si wakajenge Mtwara wakainue na mikoa ya kusini...
kuna haja gani ya kujenga bandari mbili in a close proximity.
Tukishajenga bandari ya Bagamoyo hii ya Dar tunaifanya makumbusho au?
Na je bandari ya Dar imezidiwa mpaka tujenge nyingine?na km ndivyo kwann tusijenge wenyewe?
zero brain
ujasema nani akujibu hivyo ni wajibu kujibiwa na yeyote au unataka kupangia
Kama umesoma vizuri makala hii majibu yako yanajibiwaKm wanataka si wakajenge Mtwara wakainue na mikoa ya kusini...
kuna haja gani ya kujenga bandari mbili in a close proximity.
Tukishajenga bandari ya Bagamoyo hii ya Dar tunaifanya makumbusho au?
Na je bandari ya Dar imezidiwa mpaka tujenge nyingine?na km ndivyo kwann tusijenge wenyewe?
Wwew unaona kama mimi. Ni ujinga kumkadhi mgeni ufunguo wa nyumba yako. Bandari na Airport siyo vitu vya kuendeshwa na nchi nyingine. Huu ni wendawazimu. Hata hao wanaoshawishi ijengwe kama kina Zitto wanapaswa kuwekwa kwenye kundi la wasaliti wa nchi. Wanasaliti nchi kwa vipande vya fedha walizoahidiwa. Madhara ya kuwapa watu wengine bandari yetu waisimamie ni makubwa sana.Bandari ni kitu muhimu kwa maslahi ya taifa ni bora srikali ikawekeza yenyewe badala ya sekta binafsi. Hili ni suala la kiusalama tu
Mkakati my ass@#$%*&!
Kwa nini hao china wasitumie bandari ya dar ambayo ipo tayari na marekebisho yake hayataitaji pesa nyingi?
Hii bandari kujengwa ni hatari sana kwa usalama wa raslimali za nchi yetu. Unamjua mwarabu na mchina wewe? Wenzako wameshaona mbali na lengo kubwa la kujenga bandari hii ni kuitumia kutolea malighafi za viwanda vyao. Hata kwenye hiyo zone wakijenga viwanda lakini bado mali itakayozalishwa itachukuliwa juu kwa juu na kwenda kuuzwa sehemu nyingine. Wanajua hakuna wa kuwazuia kufanya hivyo kwa sababu watatumia rushwa.Hoja MUFILISI
Eti bandari ya bagamoyo itaua bandari ya dar.
Kwani bagamoyo ipo KENYA?.
mapato si yataingia serikalini.?.
Hili nalo la muhimu kuangalia. Ni sawa na Dreamliner inaishia kwenda Mwanza.According to prof assad, profitability ya ndege hutegemea loading capacity na masaa mangapi ndege iko hewani.
Je, loading capacity ya meli kubwa kubwa (refer zitto) itatoka wapi wakati nchi yetu na majirani zake ni maskini? Nani ataleta meli? na Meli hizo zitabeba nini kutoka wapi na kwenda wapi?
Bandari ni kitu muhimu kwa maslahi ya taifa ni bora srikali ikawekeza yenyewe badala ya sekta binafsi. Hili ni suala la kiusalama tu