Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii komenti imefanya kitimoto changu, konyagi ndogo mixer Pepsi kushuka vzuri sana.Mkakati my ass@#$%*&!
Kwa nini hao china wasitumie bandari ya dar ambayo ipo tayari na marekebisho yake hayataitaji pesa nyingi?
Hizo Trilioni 23 ni matumizi ya serikali yote ikiwemo na misaada tunayopewa. Kwa kifupi huwezi kutengeneza huo mradi ndani ya miaka 6.Kama tumeweza kujenga S. G. R na kununua ndege kwa kutumia trillions zetu wenyewe, kwanini tushindwe kwenye bandari.
Tanzania tujipange kuimarisha vyanzo vyefu vya fedha tujenge bandari kwa hela zetu, ikishindikana kabisa tukope hela kwenye mabenki makubwa duniani tukamilishe huo mpango maana hawa wawekezaji ni wazi wana agenda yao chafu
Hizo tumechangia robo zingine ni mkopo na bado haijaisha.Sawa ujenzi wa Bwala la umeme ni 7trn, SGR ni 7trn, tukiamua tunaweza huo mradi ni 23trn tu.
Mapato gani?Hoja MUFILISI
Eti bandari ya bagamoyo itaua bandari ya dar.
Kwani bagamoyo ipo KENYA?.
mapato si yataingia serikalini.?.
Kwani lazima uendelezee bandari hapo ilipo? Pwani yote hii ya Dar?Bandari ya Dar haina eneo la kutosheleza mahitaji ya huo mradi
Tuoneshe hicho kipengele kwenye mkataba,propaganda za JiweYaani itakuwa ni aidha China , Oman air Korea kusini ndani ya Tz. Jw watalinda mipaka vipi Sasa wakati Kuna sehemu hawaruhusiwi kufika
TUNAHITAJI MAENDELEO YANAYOKUJA KWA KUTUMIA AKILI NA SIO KUDANGANYWA KUWA TUNALETEWA MAENDELEO KUMBE NI MUENDELEZO ULE ULE WA KUTUNYONYA KWA KUWATUMIA VIONGOZI WETU MAFISADI!!Maneno meeengi wala sikuyasoma.
Ila vizuri zaidi mtoa mada ungeuliza:
TUNAHITAJI MAENDELEO AU TUKAE TU, TUKISUBIRI KUDRA YA MOLA?
Utajuaje kwamba unanyonywa kama hukujaribu hata mradi enyewe.TUNAHITAJI MAENDELEO YANAYOKUJA KWA KUTUMIA AKILI NA SIO KUDANGANYWA KUWA TUNALETEWA MAENDELEO KUMBE NI MUENDELEZO ULE ULE WA KUTUNYONYA KWA KUWATUMIA VIONGOZI WETU MAFISADI!!
Na deni la taifa linaongezeka kwa nn?Kama tumeweza kujenga S. G. R na kununua ndege kwa kutumia trillions zetu wenyewe, kwanini tushindwe kwenye bandari.
Tanzania tujipange kuimarisha vyanzo vyefu vya fedha tujenge bandari kwa hela zetu, ikishindikana kabisa tukope hela kwenye mabenki makubwa duniani tukamilishe huo mpango maana hawa wawekezaji ni wazi wana agenda yao chafu
Ref viwanda 700 vitakavyojengwa eneo law bandarAccording to prof assad, profitability ya ndege hutegemea loading capacity na masaa mangapi ndege iko hewani.
Je, loading capacity ya meli kubwa kubwa (refer zitto) itatoka wapi wakati nchi yetu na majirani zake ni maskini? Nani ataleta meli? na Meli hizo zitabeba nini kutoka wapi na kwenda wapi?
Utajuaje kwamba unanyonywa kama hukujaribu hata mradi enyewe.
The safest man is a dead man!