Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mleta mada kachukua nakala ya BBCMleta mada umewahi kuuona huo mkataba?
Umeusoma wewe mwenyewe au umehadithiwa?
Kama umeona huo mkataba, tuonyeshe na sisi huo mkataba ili tuusome kwanza. Na kama umehadithiwa, basi achana kwanza na hizo hadithi, jipe muda ya kuutafuta huo mkataba kwanza.
Kama ulisikia Ndugai uwanja wa majadiliano upo juu ya hayo masharti ila ukweli utabaki kuwa huo maradi unafaida kubwa.Maneno mengi ambayo ni upuuzi mtupu. Hayati JPM aliweka wazi masharti ambayo aliyaita ni kichaa tu anaye weza kusaini huo mkataba. Kwa maneno mengine vichaa ndio walioandaa mkataba na vichaaa ndio wanaoweza kuutetea huu mradi.
Bandiko lako limejaa maneno faida kubwa, faida kubwa ,faida kubwa, faida kubwa. Husemi lolote kuhusu masharti ya wawekezaji wa mradi huu. Ugomvi uko kwenye masharti semeni chochote kuhusu masharti maana yanajulikana na yalitwa ya hovyo na Watanzania wakakubaliana na Hayati, kasoro mijizi na mafisadi ndio inaendelea kumpinga.
Njoo upate futru hapaKwamba Bagamoyo itakuwa ni centre ya kupokea meli kubwa na kisha kupakua mizigo na kupakia kwenye meli ndogo kuzimbaza barani Afrika na Mashariki ya mbali.
Kwamba hata mizigo ya Tanzania itahudumiwa na bandari ya bagamoyo kisha mizigo kupakiwa kwenye malori kwenda mikoa ya Pwani na Bara.
Sasa bandari za Dar es salaam, Tanga na Mtwara zitafanya kazi gani kwa sababu hata Malawi, Zambia Uganda Rwanda, Burundi na Congo watahudiwa na Bandari ya Bagamoyo!
Ramadhan Kareem.
Tuutafute wote, lakini bado ukweli utabaki kuwa, maradi unafaida kubwa sana suala la masharti linazungumzika mbona kwenye madini tulikaa tukazingumza sasa tunaona faida yakeMleta mada umewahi kuuona huo mkataba?
Umeusoma wewe mwenyewe au umehadithiwa?
Kama umeona huo mkataba, tuonyeshe na sisi huo mkataba ili tuusome kwanza. Na kama umehadithiwa, basi achana kwanza na hizo hadithi, jipe muda ya kuutafuta huo mkataba kwanza.
😰😰😰😰😰😰😰😰Kama ulisikia Ndugai uwanja wa majadiliano upo juu ya hayo masharti ila ukweli utabaki kuwa huo maradi unafaida kubwa.
Una faida kubwa kwa nani?Kama ulisikia Ndugai uwanja wa majadiliano upo juu ya hayo masharti ila ukweli utabaki kuwa huo maradi unafaida kubwa.
Kama ulisikia Ndugai uwanja wa majadiliano upo juu ya hayo masharti ila ukweli utabaki kuwa huo maradi unafaida kubwa.
Hii pekee haitoshi kumwamini Magufuli kama alisema ukweli na sahihi. Why?Nikukumbushe tu aliyesema masharti ya proposal ya ujenzi wa bandari ya Bagamoyo ni mabovu alikuwa ni Rais wa JMT, kwa maneno mengine mtu aliyekuwa na access ya taarifa zote zinazohusu taifa wakati wowote; na kwa taarifa yako tu, si kuwa alikuwa anakuwa briefed tu, alikuwa anasoma yeye mwenyewe page kwa page most of the sensitive documents. Unahitaji niongeze sauti???
Uwekezaji ni biashara sio msaada.Sasa kwa nini wasishughulikie hayo masharti yakaboreshwa kwa faida za pande zote mbili. Wamekazana na kuitaka serikali ikubali kusaini huo mkataba. Ninge muelewa Ndungai kama angesema kwa uwazi kwamba masharti ya bandari ya Bagamoyo yana walakini mkubwa. Bunge liko tayari kusaidiana na serikali kuona ni namna gani masharti haya yanaboreshwa ili mradi uendelee kwa sababu baada ya kuboreshwa masharti utakuwa na faida kubwa.
Spika kapigia chapuo presentetion ya muwekezaji wa Kichina hapo unapata picha gani? Mradi hauna faida kama masharti ya kitapeli yata achwa ya endelee kama yalivyo. Hatuweze kuwa na ITPL nyingine ya Bandari ya Bagamoyo. Ukionja asali unachonga mzinga hakuna huo ujinga tena kwa Tanzania ya sasa.
Hapo ndio serikali inatakiwa kuwa makini haya maswala ya viwanda ni aspect za FDI zenye rules nyingine.1. Faidi kwa wananchi pamoja na bandari kutajengwa viwanda zaidi 700 ambapo kutazalisha ajira zaidi ya 250,000
2. Mwekezaji ndiyo anaweka fedha yake trilioni 23, sisi tunaweka 48b tu za kulipa fidia wananchi
3. Masharti yanazungumzika
1. Faidi kwa wananchi pamoja na bandari kutajengwa viwanda zaidi 700 ambapo kutazalisha ajira zaidi ya 250,000
2. Mwekezaji ndiyo anaweka fedha yake trilioni 23, sisi tunaweka 48b tu za kulipa fidia wananchi
3. Masharti yanazungumzika
Umeiweka vizuri sana, Magufuli alililisema hili hadharani, na siyo siri kuwa Kikwete alikuwa madarakani wakati mchakato huu unaanza na pia China inahusika na mradi huu. Kama ni hivyo, kwanini China haijajitokeza hadharani kukanusha? China hawajawahi kuwa na unafiki, kila siku wanaparurana na Marekani huko kwenye MSM. Kwa nini Kikwete hajatoka hadharani kukanusha? Bila shaka wanajua alichosema Magufuli ndio ukweli. Hata yule Kakoko wa bandari alisema the same, sijaona aliyekanusha.Hii pekee haitoshi kumwamini Magufuli kama alisema ukweli na sahihi. Why?
Kabla yake, Kikwete alikuwa Rais wa Tanzania na aliubariki ule mkataba. Kama tunaweza kumwamini Magufuli kwa aliyoyasema kama Rais, basi tujenge sababu pia ya Kumwamini Kikwete kwa kuwa yeye pia aliidhinisha uwekezaji ule akiwa Rais.
Upande wa pili tunajua Magufuli aliyasema yale mbele ya umma ili kujenga sababu za msingi za kuukataa ule uwekezaji. Kifupi Rais Magufuli alikuwa kipropaganda. Why?
Kama utatazama uwekezaji aliofanya Magufuli kule Chato basi utagundua Magufuli hakuwa mtu mkweli wala sahihi katika kupinga au kutetea uwekezaji fulani. He was not fair.