xng hua
JF-Expert Member
- Sep 24, 2016
- 3,302
- 5,379
kigamboniBandari ya Dar haina eneo la kutosheleza mahitaji ya huo mradi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kigamboniBandari ya Dar haina eneo la kutosheleza mahitaji ya huo mradi
Bandar ya dar ili waingie wachina inabid ticts watoke na hapo ndipo pagumuMkakati my ass@#$%*&!
Kwa nini hao china wasitumie bandari ya dar ambayo ipo tayari na marekebisho yake hayataitaji pesa nyingi?
According to prof assad, profitability ya ndege hutegemea loading capacity na masaa mangapi ndege iko hewani.
Je, loading capacity ya meli kubwa kubwa (refer zitto) itatoka wapi wakati nchi yetu na majirani zake ni maskini? Nani ataleta meli? na Meli hizo zitabeba nini kutoka wapi na kwenda wapi?
Kwamba Bagamoyo itakuwa ni centre ya kupokea meli kubwa na kisha kupakua mizigo na kupakia kwenye meli ndogo kuzimbaza barani Afrika na Mashariki ya mbali.
Kwamba hata mizigo ya Tanzania itahudumiwa na bandari ya bagamoyo kisha mizigo kupakiwa kwenye malori kwenda mikoa ya Pwani na Bara.
Sasa bandari za Dar es salaam, Tanga na Mtwara zitafanya kazi gani kwa sababu hata Malawi, Zambia Uganda Rwanda, Burundi na Congo watahudiwa na Bandari ya Bagamoyo!
Ramadhan Kareem.
Umeuona huo mkataba?1. Faidi kwa wananchi pamoja na bandari kutajengwa viwanda zaidi 700 ambapo kutazalisha ajira zaidi ya 250,000
2. Mwekezaji ndiyo anaweka fedha yake trilioni 23, sisi tunaweka 48b tu za kulipa fidia wananchi
3. Masharti yanazungumzika
Kama ni fix, basi hii ndio fully fix ya kuwaibia watu ikiwa kweli hicho kipengere kipo kwenye mkataba.huu mradi unakuja na package ya viwanda 500 - 700......hiyo ndio feeder ya hiyo bandari..
Hizi hadithi ziliimbwa sana Mtwara wakati wa uchimbaji wa bomba la gesi.hizo bandari zipo toka uhuru tumezifanyia nini?..
mbili ni kama zimekufa, hiyo moja tia maji tia maji kila siku tunashikana uchawi....
package ya viwanda 500 - 700 mzunguko wake ni zaidi ya hizo bandari zote tatu...ajira 200k serikali itachukua social security + Paye....mkoa wa Pwani + dar es salaam utakuwa busy maradufu..na biashara nyingine zitachangamka balaa...
Mnama hata inapotokea mtihan wa necta umevuja sio km unaletewa mtihan km mtihan unaweza letewa swali mbili tatu ktk karatasi ya kawaida ukazisolv bila kujua km ni mtihan husikaKatika hili la bandari ya Bagamoyo ngoja niwe neutral kwa sasa, maana ninasikia kila upande ukisema ya kwake lakini hakuna upande uliotupa huo mkataba hadharani tukauona na kuusoma.
Kwanini watu wasiuchapishe huo mkataba na kuuvujisha mtandaoni ili sote tukasoma na kuchambua sisi mwenyewe?
Kama mkataba ni siri, hao wanaotuambia uzuri au ubaya wa huo mkataba wao waliusoma wapi? Kwanini hawataki kutupa na sisi tukausoma?
MY TAKE
Hili suala kwa vyovyote vile ni suala la kimaslahi binafsi kwa wanasiasa (haijarishi ni upande wa kupinga au kutetea), na watanzania tunatumika tu kama ngazi.
Umeshaambiwa bandari ya Dar ina eneo dogo na baadhi ya meli haziwez kutua nanga paleKwa nini hao china wasitumie bandari ya dar ambayo ipo tayari na marekebisho yake hayataitaji pesa nyingi?
Sasa hivi nina sikia vipo 4000 viwanda Nchi tamu sana hiiRef viwanda 700 vitakavyojengwa eneo law bandar
Kama ni propaganda za jiwe,waambie hao wapigadebe wakanushe waje na vipengele vya huo mkataba maana jiwe kaisha kufa kama sio kweli,sasa kama hauamini jiwe utamwamini nani? maana yeye ndiye aliyeusoma na kutuelezea yaliomo.Tuoneshe hicho kipengele kwenye mkataba,propaganda za Jiwe
Soma vizuri makala mradi huo inaenda sambamba na uZilezi akili za kuachia makanikia ya kisafirishwa. Huku ukisema wananchi watafaidika na msaada wa vyandarua. Vyandarua vitasaidia kupambana na mbu wa Malaria, kutengeneza vichanja vifaranga wa kuku wasichukuliwe na mwewe, vipanga na kunguru na watazitumia kama nyavu za kivulia samaki. Zote hizi ni faida za vyandarua.
Nani aliye kudanganya kuwa viwanda vinajengwa tu kwa sababu bandari iko karibu?
Zilezi akili za kuachia makanikia ya kisafirishwa. Huku ukisema wananchi watafaidika na msaada wa vyandarua. Vyandarua vitasaidia kupambana na mbu wa Malaria, kutengeneza vichanja vifaranga wa kuku wasichukuliwe na mwewe, vipanga na kunguru na watazitumia kama nyavu za kivulia samaki. Zote hizi ni faida za vyandarua.
Nani aliye kudanganya kuwa viwanda vinajengwa tu kwa sababu bandari iko karibu?
Zilezi akili za kuachia makanikia ya kisafirishwa. Huku ukisema wananchi watafaidika na msaada wa vyandarua. Vyandarua vitasaidia kupambana na mbu wa Malaria, kutengeneza vichanja vifaranga wa kuku wasichukuliwe na mwewe, vipanga na kunguru na watazitumia kama nyavu za kivulia samaki. Zote hizi ni faida za vyandarua.
Nani aliye kudanganya kuwa viwanda vinajengwa tu kwa sababu bandari iko karibu?