Bandari ya Bagamoyo: Waziri Mwambe asema Wachina walisema Dar hadi Pangani, na sio Mtwara hadi Tanga

Bandari ya Bagamoyo: Waziri Mwambe asema Wachina walisema Dar hadi Pangani, na sio Mtwara hadi Tanga

nchi za Magharibi wakaja wakatia fitna na kufadhili ujenzi wa barabara ya Dar - Tunduma; mwisho wake imeua TAZARA.
Hiyo barabara ilijengwa kabla ya TAZARA

The Tanzam Highway leads from Lusaka in Zambia to Dar es Salaam in Tanzania. The highway was built from 1968 to 1973 in several stages and was intended to provide seaport access for Zambia and to expand the transport options for Zambia, Malawi and the then Zaire

The Tanzam Highway is about 2400 km long and is paved. The road leads largely through very mountainous areas to an altitude of over 2000 m. It starts in Dar es Salaam, the largest city of Tanzania, and passes through the regions of Coast, Morogoro, Iringa, Njombe, Mbeya and Songwe. The highway crosses the Mikumi National Park between Morogoro and Iringa. In Zambia it is part of the Great North Road and is marked T2; in Tanzania it bears the label T1.

In the vicinity of Iringa, the highway passes by the site of a battle near Ilula-Lugalo, where a monument commemorates the defeat of the German colonial troops on the Hehe on 17 August 1891.

In Zambia, the Great North Road crosses the Kapiri Mposhi and Nakonde areas. The distance between Nakonde and Kapiri Mposhi is approximately 832 km.

Within Tanzania, the Tanzam Highway connects with four major routes:

  • in Chalinze, the main road to Tanga and to Kilimanjaro, Arusha and Nairobi
  • in Morogoro, the road to Dodoma in the west, then to Singida, Tabora, Mpanda, Shinyanga, Bariadi, Geita, Mwanza, Musoma, Bukoba and Kigoma
  • in Makambako there is a road up to Songea, going on to Mtwara
  • Uyole/Mbeya is on the road to Malawi through Tukuyu, Rungwe and Kasumulu, Kyela.
West from Makambako, Tanzam frequently runs along the TAZARA Railway.

This road is the main link between East Africa and Southern Africa.

 
1960 Omani kulikuwa na Barabara ya lami kilomita 40 tu Nchi nzima, walikuwa ni Masikini wa kutupwa na waliponyang'anywa Zanzibar ndio wakazidi kuwa zoflehali.

Leo hii wametuacha mbaali sana,swali langu hivi tumelaaniwa na nani?
 
Tuachwe kulishwa matango pori,eti ni mkataba wa ovyo kabisa, eti mbona mkataba wenyewe una manufaa mengi mno?eti Bagamoyo port itazuia uwekezeji katika bandari zozote mwambao wetu. n.k.Weka mkataba wenyewe hapa tuusome.Sisi the people ndio tutaamua
 
Mwaka huu umekuwa na viroja vyake. Mtu mzima inaruhusiwa kubadili gia angani.



Lakini kuruka kimanga 😁😁!



Bwana Kassim Majaliwa, January Makamba, Vigogo wa Tanesco nk, hili la kuruka kimanga ni kwa kutuonaje hasa?

IMG_20211119_154513_412.jpg


IMG_20211118_181728_474.jpg


IMG_20211119_155159_079.jpg


You owe us explanations!
 
Hiyo barabara ilijengwa kabla ya TAZARA

The Tanzam Highway leads from Lusaka in Zambia to Dar es Salaam in Tanzania. The highway was built from 1968 to 1973 in several stages and was intended to provide seaport access for Zambia and to expand the transport options for Zambia, Malawi and the then Zaire....
Historia ya TAZARA ni ndefu zaidi.

Mwalimu Nyerere watu wa kwanza kuwaomba Reli ya TAZARA walikuwa USA, wakamgomea kwamba hakuna justification lakini walifanya hivyo maana walijua itaenda kusaidia mapambano ya UHURU Kusini mwa Afrika. Ndio wakampa offer ya barabara, ni haikuwa kipande kizima. Ilikuwa kwa stages fupi fupi.

Nyerere took the deal ya barabara, lakini akaenda kwa Wachina kuomba TAZARA; wakampa mkopo wa 50yrs bila riba. TAZARA ilivyosogea, The West nao wakaleta "msaada" kumalizia TAZAM highway. Kuna mengi zaidi nyuma ya pazia.
 
SERIKALI YAMKANA HAYATI MAGUFULI

Waziri Mwambe amesema haya ''Kuna jambo niliweke sawa ilisemwa kuwa wachina walisema kusiendelezwe bandari yoyote kutoka Mtwara hadi Tanga,sio kweli. Hayo maneno sijui yalitoka wapi, kilichosemwa ni kwamba kuanzia Dar es Salaam hadi Pangani kusiendelezwe bandari''...
Sasa maana yake ukiacha kutumia ya Dar au Tanga lazima uende Bagamoyo, kwani ya Mtwara haina Reli na pia ni Bandari iliyokuwa inapata Meli chache.

Na itahitaji muda mrefu kuiimarisha, kama miaka 20 na hapo upate kiongozi mwenye uthubutu sio aliyewekwa mfukoni au mwenye hisa Oman au kwenye hiyo Bandari
 
SERIKALI YAMKANA HAYATI MAGUFULI

Waziri Mwambe amesema haya ''Kuna jambo niliweke sawa ilisemwa kuwa wachina walisema kusiendelezwe bandari yoyote kutoka Mtwara hadi Tanga,sio kweli. Hayo maneno sijui yalitoka wapi, kilichosemwa ni kwamba kuanzia Dar es Salaam hadi Pangani kusiendelezwe bandari...
Dar hadi pangani naana yake hata bandari ya dar isiendelezwe.

Yaani hatutakiwi tutengeneze ajira zingine zinazotokana na bandari kisa bandari ya bagamoyo!

Yeye China anaweza kukubali tuseme USA au nchi za magharibi zinazowekeza China zimuwekee masharti kana hayo?
 
1960 Omani kulikuwa na Barabara ya lami kilomita 40 tu Nchi nzima, walikuwa ni Masikini wa kutupwa na waliponyang'anywa Zanzibar ndio wakazidi kuwa zoflehali.

Leo hii wametuacha mbaali sana,swali langu hivi tumelaaniwa na nani?
Jibu ni CCM
 
Back
Top Bottom