Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jibu swali acha kurukaruka kama maharage jikoniNdio maana ya majadiliano
Axha chuki panya buku weweAcha kabisa, hao wanaopiga wanavijiji kwa ajiri ya pombe na wanawake au sare za kijeshi? au kuna wengine
Nitamshangaa Mabeyo akiendelea kukalia kimya ujinga huu.Hii nchi bila jeshi kutunusuru tumekwisha. It's time for the army to intervene.
Mnajadiliana nini wakati mlishaweka jiwe la Msingi na mkazindua ili muanze ujenzi? Ina maana hamkuliona hilo?Ndio maana ya majadiliano
Tatizo linaanzia hapa, mtu anapokana msimamo wa serikali kwa lugha nyepesi, watu wanashindwa kuwa na imani na yale tunayoambiwaKama Ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo hautaathiri Maendeleo ya Bandari za Dar,Tanga na Mtwara sioni ni sababu gani inazuia isijengwe.
Itaathiri bandari ya Dar na Tanga, ndio maana unaona hapo waziri anajitetea kuwa sio Mtwara hadi Tanga bali ni Dar hadi Tanga.Kama Ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo hautaathiri Maendeleo ya Bandari za Dar,Tanga na Mtwara sioni ni sababu gani inazuia isijengwe.
Katika mambo machache ambayo nilimuunga mkono dhalim mwendazake ni kuukataa huu mradi wa ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo. Naona Msoga Gang wameurudisha tena kwa mbwembwe nyingi.SERIKALI YAMKANA HAYATI MAGUFULI
Waziri Mwambe amesema haya ''Kuna jambo niliweke sawa ilisemwa kuwa wachina walisema kusiendelezwe bandari yoyote kutoka Mtwara hadi Tanga,sio kweli. Hayo maneno sijui yalitoka wapi,...
Huyu jamaa boya kweli ina maana hayo majadiliano yanakuja baada ya Magufuli kuwafungua akili watanzania kilichomo ndani ya huo mkataba?Mnajadiliana nini wakati mlishaweka jiwe la Msingi na mkazindua ili muanze ujenzi? Ina maana hamkuliona hilo?
Sasa hivi wanaenda kwenye majadiliano wakati walishaweka jiwe la Msingi ili kuanza ujenzi.Katika mambo machache ambayo nilimuunga mkono dhalim mwendazake ni kuukataa huu mradi wa ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo. Naona Msoga Gang wameurudisha tena kwa mbwembwe nyingi.
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Unaliogopa jeshi kwa sababu unajua watakubinya mbupu wakiamua kuwashughulikia wanasiasa uchwara.Kwa lipi hilo hadi jeshi liingilie kati? Ukishashiba ugali ni rahisi sana kuja kutapika hapa JF, Ni wakati sasa Samia apige pini hii mitandao ya jamii kama mtangulizi wake, watapikaji (bila ushahidi wowote) wamekuwa wengi sana, jobless....
We yule Kikwete hata ukimuangalia usoni unaona yuko timamu??Kikwete alikuwa kirusi kwa nchi hii.
How comes masharti kama hay yapo hapa nchini?
Akija mwigine akasema awekeze kwenye kilimo cha mpunga na hakuna mtu mwingine kulima kwa miaka tisini si tumekwisha?.
Wasanii sana hawa wanatuona Watanzania wote ni mazuzu.Sasa hivi wanaenda kwenye majadiliano wakati walishaweka jiwe la Msingi ili kuanza ujenzi.
Sijui wanajadiliana nini ikiwa walitaka kuanza ujenzi
Ukute unaishi kwa shemeji yakoKwa lipi hilo hadi jeshi liingilie kati? Ukishashiba ugali ni rahisi sana kuja kutapika hapa JF, Ni wakati sasa Samia apige pini hii mitandao ya jamii kama mtangulizi wake, watapikaji (bila ushahidi wowote) wamekuwa wengi sana, jobless....
Umemuuliza swali zuri sanaUnakubali masharti hayo anayosema waziri kuwa tusiendeleze dar Hadi Tanga?