Bandari ya Bagamoyo: Waziri Mwambe asema Wachina walisema Dar hadi Pangani, na sio Mtwara hadi Tanga

Bandari ya Bagamoyo: Waziri Mwambe asema Wachina walisema Dar hadi Pangani, na sio Mtwara hadi Tanga

Kwa lipi hilo hadi jeshi liingilie kati? Ukishashiba ugali ni rahisi sana kuja kutapika hapa JF, Ni wakati sasa Samia apige pini hii mitandao ya jamii kama mtangulizi wake, watapikaji (bila ushahidi wowote) wamekuwa wengi sana, jobless....
Pengine tatizo lililopo hadi watu wanatapika ovyo ni kutokana na namna viongozi wasivyokuwa na msimamo. Hawafanyi maamuzi Yao kwa maslahi mapana ya Taifa. Ni ajili ya kawaida kuona viongozi wanayumba. Huu mradi wa bandari ya Bagamoyo utaajengwa, haifanyiki kwa maslahi ya Taifa.
Kwanza una masharti yenye kuzuia uendelezaji wa bandari zilizopo ( hapa kwa tushindanishe bandari ya Dar es salaam au Tanga- Pangani), wakati zote zipo chini ya TPA?
Lakini tunayo tayari bandari ya Dar. Bagamoyo na Dar es Salaam ni ukanda mmoja.
Pili ieleweke kuwa wakati kiongozi mmoja (Hayati JPM), anaukataa mradi huu pamoja na sababu alizotoa, wapo viongozi waliopo madarakani leo, walikuwa na JPM, na hawakusema lolote. Huu unaitwa usaliti. Viongozi wasaliti wanakosa imani kwa wananchi.
 
Kama Ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo hautaathiri Maendeleo ya Bandari za Dar,Tanga na Mtwara sioni ni sababu gani inazuia isijengwe.
Ivi kwaakiliyako weunadhani wataruhusu hizo bandari kutumika!!,nani atakubali kutumia matirioni yake mengi kujenga bandari hapo bagamoyo alafu akuruhusu uendelee kushusha mizigo katika bandari za Mtwara, Dar,na Tanga kwa bei poa, wakati yeye ametumia matirion kuwekeza. Akiruhusu huo ujinga pesazake zitarudi vipi??.

Simply ni hawawezi kuruhusu,labda walainishe lainishe maneno tu kuzugazuga kwamba tutaendelea na shughuli zetu katika bandari hizo alafu hapo badae ujenzi ukikamilika wanatia pini.
 
Kumbe kusiendelezwe? hapo sawa nilidhani wasifanye kabisa biashara,Kuendeleza means expansion ila renovation lazima iwepo kama nayo wamezuia basi hawatutakii mema.
Renovation ya bandari ni expansion. Au unafikiri renovation ya bandari ni kupaka rangi ofisi?
 
Ivi kwaakiliyako weunadhani wataruhusu hizo bandari kutumika!!,nani atakubali kutumia matirioni yake mengi kujenga bandari hapo bagamoyo alafu akuruhusu uendelee kushusha mizigo katika bandari za Mtwara, Dar,na Tanga kwa bei poa, wakati yeye ametumia matirion kuwekeza. Akiruhusu huo ujinga pesazake zitarudi vipi??.

Simply ni hawawezi kuruhusu,labda walainishe lainishe maneno tu kuzugazuga kwamba tutaendelea na shughuli zetu katika bandari hizo alafu hapo badae ujenzi ukikamilika wanatia pini.
Kweni huo Mkataba umeuona ndugu?
 
Hu
SERIKALI YAMKANA HAYATI MAGUFULI

Waziri Mwambe amesema haya ''Kuna jambo niliweke sawa ilisemwa kuwa wachina walisema kusiendelezwe bandari yoyote kutoka Mtwara hadi Tanga,sio kweli. Hayo maneno sijui yalitoka wapi, kilichosemwa ni kwamba kuanzia Dar es Salaam hadi Pangani kusiendelezwe bandari''

Nimeona na kusikia maneno ya waziri Mwambe kuhusu ujenzi wa bandari ya bagamoyo na kilichosemwa sio Mtwara hadi Tanga bali ni Dar hadi Pangani.

Kwanza namkumbusha waziri Mwambe kuwa Pangani pia ipo Tanga.

Pia hata kama ni Dar hadi Tanga, pia sio masharti mazuri. Kwanini ndani ya nchi yako upangiwe uendeleze wapi na wapi usiendeleze?

Sababu waliyotoa ni kupata ushindani endapo bandari zitaendelezwa ukanda huo, Ila mbona wao wanakuja kuleta ushindani kwa bandari ya Dar?

Hilo lilikua moja ya sharti, vipi kuhusu mengine mbona waziri umekua kimya?

Na-support ujenzi wa bandari ila tutangulize maslahi ya taifa kwanza na naomba hata hayo masharti ya kutoendeleza Dar hadi Tanga msiyakubali.

Kazi iendelee
Huu mradi utakuwa ni mradi wa viongozi wa serikali ya CCM na sio mradi wa serikali ya CCM.
 
SERIKALI YAMKANA HAYATI MAGUFULI

Waziri Mwambe amesema haya ''Kuna jambo niliweke sawa ilisemwa kuwa wachina walisema kusiendelezwe bandari yoyote kutoka Mtwara hadi Tanga,sio kweli. Hayo maneno sijui yalitoka wapi, kilichosemwa ni kwamba kuanzia Dar es Salaam hadi Pangani kusiendelezwe bandari''

Nimeona na kusikia maneno ya waziri Mwambe kuhusu ujenzi wa bandari ya bagamoyo na kilichosemwa sio Mtwara hadi Tanga bali ni Dar hadi Pangani.

Kwanza namkumbusha waziri Mwambe kuwa Pangani pia ipo Tanga.

Pia hata kama ni Dar hadi Tanga, pia sio masharti mazuri. Kwanini ndani ya nchi yako upangiwe uendeleze wapi na wapi usiendeleze?

Sababu waliyotoa ni kupata ushindani endapo bandari zitaendelezwa ukanda huo, Ila mbona wao wanakuja kuleta ushindani kwa bandari ya Dar?

Hilo lilikua moja ya sharti, vipi kuhusu mengine mbona waziri umekua kimya?

Na-support ujenzi wa bandari ila tutangulize maslahi ya taifa kwanza na naomba hata hayo masharti ya kutoendeleza Dar hadi Tanga msiyakubali.

Kazi iendelee
Rubbish, ipo siku watanzania wakiamka mtajua pa kujichimbia.
 
SERIKALI YAMKANA HAYATI MAGUFULI

Waziri Mwambe amesema haya ''Kuna jambo niliweke sawa ilisemwa kuwa wachina walisema kusiendelezwe bandari yoyote kutoka Mtwara hadi Tanga,sio kweli. Hayo maneno sijui yalitoka wapi, kilichosemwa ni kwamba kuanzia Dar es Salaam hadi Pangani kusiendelezwe bandari''

Nimeona na kusikia maneno ya waziri Mwambe kuhusu ujenzi wa bandari ya bagamoyo na kilichosemwa sio Mtwara hadi Tanga bali ni Dar hadi Pangani.

Kwanza namkumbusha waziri Mwambe kuwa Pangani pia ipo Tanga.

Pia hata kama ni Dar hadi Tanga, pia sio masharti mazuri. Kwanini ndani ya nchi yako upangiwe uendeleze wapi na wapi usiendeleze?

Sababu waliyotoa ni kupata ushindani endapo bandari zitaendelezwa ukanda huo, Ila mbona wao wanakuja kuleta ushindani kwa bandari ya Dar?

Hilo lilikua moja ya sharti, vipi kuhusu mengine mbona waziri umekua kimya?

Na-support ujenzi wa bandari ila tutangulize maslahi ya taifa kwanza na naomba hata hayo masharti ya kutoendeleza Dar hadi Tanga msiyakubali.

Kazi iendelee
 
1960 Omani kulikuwa na Barabara ya lami kilomita 40 tu Nchi nzima, walikuwa ni Masikini wa kutupwa na waliponyang'anywa Zanzibar ndio wakazidi kuwa zoflehali.

Leo hii wametuacha mbaali sana,swali langu hivi tumelaaniwa na nani?
Unaweza ikawa laana au upeo wetu ni mdogo wa kuchanganua mambo(iq)
 
Ivi kwaakiliyako weunadhani wataruhusu hizo bandari kutumika!!,nani atakubali kutumia matirioni yake mengi kujenga bandari hapo bagamoyo alafu akuruhusu uendelee kushusha mizigo katika bandari za Mtwara, Dar,na Tanga kwa bei poa, wakati yeye ametumia matirion kuwekeza. Akiruhusu huo ujinga pesazake zitarudi vipi??.

Simply ni hawawezi kuruhusu,labda walainishe lainishe maneno tu kuzugazuga kwamba tutaendelea na shughuli zetu katika bandari hizo alafu hapo badae ujenzi ukikamilika wanatia pini.
Hii hoja ina uzito mkubwa katika biashara ya usafirishaji wa mizigo kwa meli kimataifa. Mwenye maamuzi ni mwenye meli wakati mwenye bandari anasubiri kupokea/kupakua tu mizigo.

Tunakubaliana kuwa China inaongoza katika biashara ya mizigo katika ukanda wa Afrika Mashariki, Kusini na Kati. Hivyo, watakapomaliza kujenga bandari ya Bagamoyo upo uwezekano wa mizigo mingi kutoka China kupokelewa hapo Bagamoyo. Bila shaka itakuwa mizigo mingi kwa ajili ya Tanzania na majirani zake kama Congo DRC, Zambia na malawi. Kama hali itakuwa hivyo bandari ya Dar , kwa mfano, itapokea mizigo kutoka wapi kama siyo kufa taratibu. Bagamoyo inaweza kuwa "mtego wa panya" kwa bandari zote za Tanzania zikiwemo bandari za Zanzibar. Hii ni hoja ya kibiashara, ni busara tutafakari kwa kina.
 
Kwa lipi hilo hadi jeshi liingilie kati? Ukishashiba ugali ni rahisi sana kuja kutapika hapa JF, Ni wakati sasa Samia apige pini hii mitandao ya jamii kama mtangulizi wake, watapikaji (bila ushahidi wowote) wamekuwa wengi sana, jobless....
Unarudi kule kule kwa mwanzo, ambako nilidhani ulishapatoka na kuwa hasa "MpendaTz".

Kama kuna kuchagua kati ya kuiuza Tanzania na kuikabidhi Tanzania kwa hao unaowaogopa, ambao nao ni waTanzania wenzako, tena pengine wenye mapenzi makubwa na nchi yao hadi kutoa uhai wao juu yake...!

Niachie hapo kama hutaki kuelewa hutakubali kuelewa.

Lakini inabidi nisisitize, kama watawala wanafikia hatua ya kutoona madhara ya matendo yao juu ya nchi yao, kuna njia gani tena iliyo bora ya kuzuia matendo hayo? Sipendekezi iwe hivyo, lakini kuna kikomo cha kuvumilia.
 
Natamani ningekuwa na uwezo niibukie bungeni niwaulize wabunge walio wengi wa CCM.

Waliamuaje kuhusu Mradi wa bandari ya Bagamoyo wakati wa awamu ya 4.

Waliamua nini juu ya jambo hilohilo katika awamu ya 5.

Wameamua nini juu ya jambo hilo katika awamu ya 6.

Wanajisikiaje juu ya maamuzi yao hizo awamu zote na wanatuchukuliaje sisi wawakilishi wao?

Bahati mbaya sina uwezo huo na hata kama ningekuwa nao huenda ningepuuzwa kama takataka za jalalani.

Napata hofu yasitutokee kama yalivyo watokea wenzetu katika nchi za bara hili la Afrika. Kushindwa kulipa madeni na kuingia katika mtego wa kuporwa ardhi na mali nyinginezo.

Wacha tusubiri tuone kama ilivyo jadi yetu.
 
Hii hoja ina uzito mkubwa katika biashara ya usafirishaji wa mizigo kwa meli kimataifa. Mwenye maamuzi ni mwenye meli wakati mwenye bandari anasubiri kupokea/kupakua tu mizigo...
Hakika kabisa, wakisha jenga mizigo karibu yote itapitia huko, utashangaa mbaka sisi wenyewe tukalipia garama za bandari kwa wachina kwenye nchiyetu wakati bandari zetu tunazo.
 
SERIKALI YAMKANA HAYATI MAGUFULI

Waziri Mwambe amesema haya ''Kuna jambo niliweke sawa ilisemwa kuwa wachina walisema kusiendelezwe bandari yoyote kutoka Mtwara hadi Tanga,sio kweli. Hayo maneno sijui yalitoka wapi, kilichosemwa ni kwamba kuanzia Dar es Salaam hadi Pangani kusiendelezwe bandari'...
Magufuli alikuwa kubwa la uongo,

Twend na Samia Hadi 2045
 
Back
Top Bottom