Mpandisha mishahara
JF-Expert Member
- Mar 1, 2014
- 1,742
- 1,558
Baada ya wewe kushindwa kuichukua?Hii nchi si jeshi wachukue tuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baada ya wewe kushindwa kuichukua?Hii nchi si jeshi wachukue tuu
Una akili sana hapo wanaoelekeza meli zote kutoka kwao zifikie hapo huko kwingine empty na ndo zitakuwa taratibuHii hoja ina uzito mkubwa katika biashara ya usafirishaji wa mizigo kwa meli kimataifa. Mwenye maamuzi ni mwenye meli wakati mwenye bandari anasubiri kupokea/kupakua tu mizigo.
Tunakubaliana kuwa China inaongoza katika biashara ya mizigo katika ukanda wa Afrika Mashariki, Kusini na Kati. Hivyo, watakapomaliza kujenga bandari ya Bagamoyo upo uwezekano wa mizigo mingi kutoka China kupokelewa hapo Bagamoyo. Bila shaka itakuwa mizigo mingi kwa ajili ya Tanzania na majirani zake kama Congo DRC, Zambia na malawi. Kama hali itakuwa hivyo bandari ya Dar , kwa mfano, itapokea mizigo kutoka wapi kama siyo kufa taratibu. Bagamoyo inaweza kuwa "mtego wa panya" kwa bandari zote za Tanzania zikiwemo bandari za Zanzibar. Hii ni hoja ya kibiashara, ni busara tutafakari kwa kina.
Hamna kitu kinaweza ua reli maana reli ni njia rahisi kusafirisha mizigo mingi na mizito.. barabara ni njia ya kusafirisha watu ila reli ni ya mizigo.Wachina wamejifunza na historia. Walivyowekeza kwenye TAZARA, nchi za Magharibi wakaja wakatia fitna na kufadhili ujenzi wa barabara ya Dar - Tunduma; mwisho wake imeua TAZARA. Wana uhakika gani kuwa baada ya kujenga Bagamoyo port, USA hawatakuja na bandari ya Pangani?
Anyways, sio kazi ya Mchina kulinda maslahi ya Mtanzania. Ni kazi yetu.
Huyo mwambe naye anasema ujinga. Sasa utaweza kukubali bandari ya dar iache kuendelezwa?SERIKALI YAMKANA HAYATI MAGUFULI
Waziri Mwambe amesema haya ''Kuna jambo niliweke sawa ilisemwa kuwa wachina walisema kusiendelezwe bandari yoyote kutoka Mtwara hadi Tanga,sio kweli. Hayo maneno sijui yalitoka wapi, kilichosemwa ni kwamba kuanzia Dar es Salaam hadi Pangani kusiendelezwe bandari''
Nimeona na kusikia maneno ya waziri Mwambe kuhusu ujenzi wa bandari ya bagamoyo na kilichosemwa sio Mtwara hadi Tanga bali ni Dar hadi Pangani.
Kwanza namkumbusha waziri Mwambe kuwa Pangani pia ipo Tanga.
Pia hata kama ni Dar hadi Tanga, pia sio masharti mazuri. Kwanini ndani ya nchi yako upangiwe uendeleze wapi na wapi usiendeleze?
Sababu waliyotoa ni kupata ushindani endapo bandari zitaendelezwa ukanda huo, Ila mbona wao wanakuja kuleta ushindani kwa bandari ya Dar?
Hilo lilikua moja ya sharti, vipi kuhusu mengine mbona waziri umekua kimya?
Na-support ujenzi wa bandari ila tutangulize maslahi ya taifa kwanza na naomba hata hayo masharti ya kutoendeleza Dar hadi Tanga msiyakubali.
Kazi iendelee
Sema mradi wa familia ya kikwete full stopHu
Huu mradi utakuwa ni mradi wa viongozi wa serikali ya CCM na sio mradi wa serikali ya CCM.
Kwanza hiyo bandari si lazima kukopa kwa masharti yasiyokua na tija kwa taifa. Tunaweza pia kuijenga wenyewe kwa taratibu.SERIKALI YAMKANA HAYATI MAGUFULI
Waziri Mwambe amesema haya ''Kuna jambo niliweke sawa ilisemwa kuwa wachina walisema kusiendelezwe bandari yoyote kutoka Mtwara hadi Tanga,sio kweli. Hayo maneno sijui yalitoka wapi, kilichosemwa ni kwamba kuanzia Dar es Salaam hadi Pangani kusiendelezwe bandari''
Nimeona na kusikia maneno ya waziri Mwambe kuhusu ujenzi wa bandari ya bagamoyo na kilichosemwa sio Mtwara hadi Tanga bali ni Dar hadi Pangani.
Kwanza namkumbusha waziri Mwambe kuwa Pangani pia ipo Tanga.
Pia hata kama ni Dar hadi Tanga, pia sio masharti mazuri. Kwanini ndani ya nchi yako upangiwe uendeleze wapi na wapi usiendeleze?
Sababu waliyotoa ni kupata ushindani endapo bandari zitaendelezwa ukanda huo, Ila mbona wao wanakuja kuleta ushindani kwa bandari ya Dar?
Hilo lilikua moja ya sharti, vipi kuhusu mengine mbona waziri umekua kimya?
Na-support ujenzi wa bandari ila tutangulize maslahi ya taifa kwanza na naomba hata hayo masharti ya kutoendeleza Dar hadi Tanga msiyakubali.
Kazi iendelee
Renovation ya bandari ni expansion. Au unafikiri renovation ya bandari ni kupaka rangi ofisi?
Who the faki are you ?Kwa lipi hilo hadi jeshi liingilie kati? Ukishashiba ugali ni rahisi sana kuja kutapika hapa JF, Ni wakati sasa Samia apige pini hii mitandao ya jamii kama mtangulizi wake, watapikaji (bila ushahidi wowote) wamekuwa wengi sana, jobless....
Mazuzu jeshini wapo, sawa na huku uraiani. Usisahau hata hivyo kwamba wataalamu (professionals) wa kila fani wapo pia jeshini.Yawezekana kukawa ndiko kwenye mazuzu mengi.
Jeshi limejengwa kwa nidhamu ya kuogopa viongozi kuliko walivyo raia.Mazuzu jeshini wapo, sawa na huku uraiani. Usisahau hata hivyo kwamba wataalamu (professionals) wa kila fani wapo pia jeshini.
Magufuli kwa miaka yake michache kajitahidi sana kufanya yaliyoshindikana kwa watangulizi wake. Mzee Mwinyi amewahi kushuhudia hili. Lakini mara nyingi tulimsikia akisema nchi imechezewa sana akishindwa kuwataja au kuwachukulia hatua hao walioichezea nchi.
Jeshi likikamata nchi japo kwa mwaka 1, nina hakika hao wanaosemekana kuichezea nchi wataanikwa hadharani na kuchukuliwa hatua stahiki.
Umewahi kujiuliza, pamoja na kusemwa kuwa baadhi ya pesa ya escrow kusombwa toka benki kwa magari ya Ikulu mpaka leo haijulikani nani alichukua pesa ile?!
Jeshi?Hii nchi bila jeshi kutunusuru tumekwisha. It's time for the army to intervene.
Watu wa aina yako hata tairi ya gari liki basti mnalala chini kwa hofu mkihisi majambazi,sasahivi umevimbiwa maharage ya mbeya unaombea jeshi liingilie kati kwenye jambo lakipuuzi!Hii nchi bila jeshi kutunusuru tumekwisha. It's time for the army to intervene.