jembelamkono
JF-Expert Member
- Nov 19, 2015
- 2,733
- 2,012
Samia mwenyewe kavurugwa,hajielewiRais Samia avunje baraza la mawaziri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Samia mwenyewe kavurugwa,hajielewiRais Samia avunje baraza la mawaziri
Kama nchi hatuna matatizo makubwa kiasi hicho kwa sasa hadi jeshi kuingilia kati!! Jeshi lichukue nchi kwa mabavu sababu ya Bandari ya Bagamoyo? Mgao wa umeme? Mgao wa maji? Hayo matatizo yapo TZ pekee?Unarudi kule kule kwa mwanzo, ambako nilidhani ulishapatoka na kuwa hasa "MpendaTz".
Kama kuna kuchagua kati ya kuiuza Tanzania na kuikabidhi Tanzania kwa hao unaowaogopa, ambao nao ni waTanzania wenzako, tena pengine wenye mapenzi makubwa na nchi yao hadi kutoa uhai wao juu yake...!
Niachie hapo kama hutaki kuelewa hutakubali kuelewa.
Lakini inabidi nisisitize, kama watawala wanafikia hatua ya kutoona madhara ya matendo yao juu ya nchi yao, kuna njia gani tena iliyo bora ya kuzuia matendo hayo? Sipendekezi iwe hivyo, lakini kuna kikomo cha kuvumilia.
Who the fook are u too?
Ndivyo mlivyodanganywa na wapinzani wa mradi...
Are you a fkn lesbian? Coz I knw you got 2 holes downthere
Nilijua tu watu kama nyiny hamuwez kujua faida ya kuikosoa serikali kupitia hizi social networks , Sasa kama unasubir mpaka dada yako ajitawanye ili shemeji yako afurahi ndio atoe matumizi ili wewe ule, uvae ununue bando unawezaje kujua umuhimu wa social networks?Acha uzoba wewe, kuishi kwa shemeji kuna ubaya gani? Ushamba ukizidi ni mzigo
Acha kufoka hovyo kama ng'ombe, andika kwa vituo.kama unahamu sana kutawaliwa na jeshi hamia Sudan, Somalia,
Utawala usiokuwa na kibaliWamevurugwa,damu ya mtu asie na hatia inawatesa
Huo mgao wa maji na umeme unatokana na mikakati ya kifisadi ya genge la watu wachache wasiozidi hata mia.Jeshi lichukue nchi kwa mabavu sababu ya Bandari ya Bagamoyo? Mgao wa umeme? Mgao wa maji? Hayo matatizo yapo TZ pekee? Itakuwa ni stupidiest reason ever ya mapinduzi since dunia iumbwe!!
Naunga hoja mkono ipo haja ya kuisafisha nchi kwa kuondoa hilo genge la mafisadi ambalo limeshajimilikisha nchi hii.Huo mgao wa maji na umeme unatokana na mikakati ya kifisadi ya genge la watu wachache wasiozidi hata mia.
Maana gesi yetu imeuzwa yote kwa wachina. Madini yote yamekabidhiwa kwa wazungu. Miradi mikubwa ya umeme inahujumiwa ili mafisadi yapate mahali pa kutafuna.
Ujenzi wa bandari ya Bagamoyo umewekewa masharti kwamba, wachina wataitumia kwa zaidi ya miaka hamsini wakikusanya mapato yote na kuyachukua, kisha ndipo wawakabidhi ninyi iwe yenu. Wewe unaona hilo ni jambo la mzaha?
Hili genge la mchwa linahitaji military intervention. An immediate military action to keep them at bay and hold them responsible without mercy.
Najua ukisikia jeshi unahisi kuhara. Unaandika kwa miherufi mikubwa na kwa hofu kama roho inataka kukutoka.
We hara tu. Kama unafikiri utaendelea kuwa mwizi siku zote, ni bora uanze kufikiri upya kabla haujachelewa.
UNAJUA KUCHOCHEA UHAINI NI KOSA LA JINAI? YAANI WEWE HAPO ULIPO UNATAKIWA USHUGHULIKIWEHii nchi bila jeshi kutunusuru tumekwisha. It's time for the army to intervene.
Si hadi upate hiyo ruhusa. Wao wachina wameshaweka bayana kuwa wao wakishajenga hiyo bandari watadeal nayo wao tu.Hiyo ndo target yao kubwa mtwara hawana shida nayo maana haina potential population. Lengo bandari ya dar ifi natural death halafu kampun zetu zile za clearing and forwarding zihamia kwa mchina
Yule ni dalali tu anabwabwaja. Ukitazama hata anavyoongea roho inamsuta. Yupo pale kutetea ugali wake kama puppet.Umemsoma waziri mwenye dhamana lakini au unabwabwaja tu hapa
Babu ile sio bandari ni mkoa..... Hivi umeona ramani yake?!Unaakili sana ungekuwa karibu ungechoma nyama hata kilo moja .ukishaauwa bandari ya dar maana yake umeshashatrngeneza monopoly, tunajua kabisa hiyo bandari itakuwa na ufanisi na wa hali ya juu ikilinganishwa na bandari ya dar .kwa hiyo itapokea mizigo mengi sana