Bandari ya Bagamoyo: Waziri Mwambe asema Wachina walisema Dar hadi Pangani, na sio Mtwara hadi Tanga

Bandari ya Bagamoyo: Waziri Mwambe asema Wachina walisema Dar hadi Pangani, na sio Mtwara hadi Tanga

Kunamahala viongozi wa Afrika wanashindwa kutumia uwezo wao wakufikiria wao wenyewe mpaka washikiliwe na watu wa nnje ya bara lao.
 
Umemsoma waziri mwenye dhamana lakini au unabwabwaja tu hapa
Wewe mtu anakwambia hakuna mkataba uliosainiwa wala hakuna chochote kilichofanyika ila nenda katazame sasa hivi bagamoyo watu wanalipwa fidia kupisha ujenzi wa bandari, sasa watu wanalipwa fidia na nani na kwann kama mkataba bado?! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Unatakiwa kuwa mpumbavu kuwasikiliza hawa mafala wa chama cha Maboya.
 
Kikwete alikuwa kirusi kwa nchi hii.

How comes masharti kama hay yapo hapa nchini?

Akija mwigine akasema awekeze kwenye kilimo cha mpunga na hakuna mtu mwingine kulima kwa miaka tisini si tumekwisha?.
Tokea tupa Uhuru hata miaka 80 hatuja fika Leo tuna wapa ardhi na bahar wage wamiliki miaka 99

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu wakampondwa na wengine wakamwambia anashauriwa vibaya
Wajukuuu wetu watatudharau sana. Maana bora sisi mababu zetu akina mkwawa at least walibishana hadi kifo na mkoloni kututetea wajukuu zao.

Ila sisi tunacheka na nyani kwa namna za kidiplomasia tena tunasign mikataba kwa peni na kubariki kabisa mikataba hiyo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Wajukuuu watasema tulikuwa na mibabu michoko balaa.... Mibabu imegawa rasilimali na imekufa masikini mifala sana mizee ya miaka hiyo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwani huyu Mwambe ana uhusiano wa kindugu na yule Mwambe aliyedefect cdm? Kama ni hivyo basi hakuna la ajabu.

Ila kwa hali ilivyo, kama wazo la ujenzi litaendelea kwa staili hii ya 'kuunda timu ya majadiliano', hii nchi itagawanyika either kikabila, kidini, kikanda.
Kwa vyovyote vile hii itakuwa si vita ya maslahi ya Watanzania wote bali vita ya kiuchumi ya kikundi fulani. Kama kweli rais wa awamu ya nne aliingia mkataba wenye utata na aliyefuata (awamu ya tano) akatueleza wazi ubaya wa mkataba huo. Na huyu wa sasa (awamu ya tano lakini anajiita awamu ya sita) ambaye alikuwa namba mbili wa wakati tukielezwa mabaya ya mkataba huu na hakusema lolote lakini leo anaunda 'timu ya majadiliano'. (wote hawa ni ccm na ccm ina wanachama wasiozidi 6m na wafanya maamuzi hawazidi 100)

Anyway, wengi haya mambo hatuyaelewi lakini kinachonishangaza ni pale kampuni ya China eti inashirikiana na kampuni ya Oman wapi na wapi, kwani hawa jamaa na mapesa yao miaka yote hii walikosa pa kuiwekeza isipokuwa Bagamoyo tu?
Na sio kwamba wanaleta pesa zao bali wanaikopesha Tanzania ambayo kimsingi wananchi hawauhitaji huo mkopo isipokuwa viongozi ndio wanaosisitiza (na kiongozi aliyetangulia alikataa).
Je, tuendele kuamini nia na uwezo wa viongozi ambao pamoja na kuwa na maji, gesi, upepo na bahari wameshindwa hata kuondoa mgao wa umeme pamoja na kuongeza deni la taifa kwa trillion 40 kwa miaka miwili, sasa kweli hawa hawa wataweza kusimamia uwekezaji wa zaidi ya trillion 10 huku deni la taifa likifikia trillion 80?
Mwenye kuelewa maamuzi ya miradi kama ya nssf-azimio Kigamboni ilikwamaje atupe mwanga
 
Kikwete ni rais kilaza na mwizi ambaye Tanzania hajawahi kuwa naye. Aliangalia maslahi binafsi badala ya maslahi ya umma.
Hapo alichofanya ni kuwa wajukuu waje warithi bandari na si vinginevyo ila hiyo bandari sisi haituhusu kwa namna yoyote. Maana hadi muda wa kuitumia ukiisha sisi ni long gone au ni wazee wa kutembea na fimbo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ndivyo mlivyodanganywa na wapinzani wa mradi...

Mkaambiwa kila aina ya uongo...

Wana-Propaganda wakatoa hadi mifano ya Bandari ya Sri Lanka...

Matokeo yake, leo hii kila mmoja anaongea lake kuhusu jambo lilelile na ni watu wa kutoka kundi lile..

Kwa mfano, Deusdedit Kakoko aliyekuwa Mkurugenzi wa Bandari yeye alisema "...naomba tuelewane manake watu wanachanganya sana. Tena wengine ni watu wakubwa sana. Bandari ile haitakuwa mshindani wa bandari zilizopo. Bandari ile ni kwa ajili ya export."

Now tell me: Wewe una kampuni ya kusafirisha mafuta, kwahiyo una tankers kibao kwa ajili hiyo. Unaanzaje kumwekea nongwa mmiliki wa mabasi wakati sio competitor wako?

In addition, wakati inasainiwa MoU (SIO MKATABA), serikali pia ikaingia mkataba na World Bank kwa ajili ya uendelezaji wa Bandari ya Dar es salaam. Sasa kama Mchina alitaka isijengwe bandari nyingine yoyote, how come tena Serikali iliingia mkataba wa uendelezaji wa Bandari ya Dar es salaam?
Wewe tutarudi hapa miaka kadhaa utaikana hii comment ni swala la muda.
 
Nilijua tu watu kama nyiny hamuwez kujua faida ya kuikosoa serikali kupitia hizi social networks , Sasa kama unasubir mpaka dada yako ajitawanye ili shemeji yako afurahi ndio atoe matumizi ili wewe ule, uvae ununue bando unawezaje kujua umuhimu wa social networks?
Hahaha, social networks haimaanishi kuwavunjia watu heshima au kuandika tu for the sake of kuandika! Mfano, mtu anasema ni wakati mwafaka sasa jeshi kuipindua serikali!!! What kind of nonsense is that? And wewe unashangilia na kufurahia sababu eti ni social networks!!!!!
 
Acha kufoka hovyo kama ng'ombe, andika kwa vituo.

Najua ukisikia neno jeshi kinyeo kinakucheza, unatetemeka mpaka visigino. Unaandika kwa miherufi mikubwa huku unatweta kwa majasho.

Maana wale jamaa hawana mchezo. Huwa wana namna nzuri mno ya kushughulika na wanasiasa legevu kama wewe. I always love it. It is refreshing and quite a good show.

We endelea kutafuna tu nchi kama nzige, let's hope you don't get crushed in the ass when the tables turn.

Enjoy the cake.
Unamjua mwenye Jeshi au unajamba jamba tu hapa?
 
Huo mgao wa maji na umeme unatokana na mikakati ya kifisadi ya genge la watu wachache wasiozidi hata mia.

Maana gesi yetu imeuzwa yote kwa wachina. Madini yote yamekabidhiwa kwa wazungu. Miradi mikubwa ya umeme inahujumiwa ili mafisadi yapate mahali pa kutafuna.

Ujenzi wa bandari ya Bagamoyo umewekewa masharti kwamba, wachina wataitumia kwa zaidi ya miaka hamsini wakikusanya mapato yote na kuyachukua, kisha ndipo wawakabidhi ninyi iwe yenu. Wewe unaona hilo ni jambo la mzaha?

Hili genge la mchwa linahitaji military intervention. An immediate military action to keep them at bay and hold them responsible without mercy.

Najua ukisikia jeshi unahisi kuhara. Unaandika kwa miherufi mikubwa kama unataka kukata roho.

We hara tu. Kama unafikiri utaendelea kuwa MWIZI siku zote, ni bora uanze kufikiri upya kabla haujachelewa.
Stories za vijiweni huko Buguruni kwenu unakoishi, Nonsense....
 
Bado kama ndiyo mashart ni hayo bado niya ovyo tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi mwenyewe nashangaa sasa huyo waziri ndiyo kasema nini mbona sasa ndiyo kathibitisha kuwa magufuli alisema ukweli .....au alikuwa anatumia mbinu ya kuthibitisha kuwa jpm ni mkweli ?
La sivyo huyu waziri ni KIELELEZO MADHUBUTI CHA UZUZU WA WATU TUNAO WAITA WAESHIMIWA SERIKALINI
 
Hakika kabisa, wakisha jenga mizigo karibu yote itapitia huko, utashangaa mbaka sisi wenyewe tukalipia garama za bandari kwa wachina kwenye nchiyetu wakati bandari zetu tunazo.
Lazima tulipie mfano mizingo ya jwtz, mizigo ya idara za serikal itabid kila idara ilipe galama kwa wachina kwa miaka 99

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama wao wanajenga bandari Bagamoyo, Pangani inawahusu nini? Chonde chonde....Ni dhambi kama tutaanza kugawa ownership ya Tanzania vipande vipande kwa nchi za nje kwa kitu ambacho kinaepukika.
Huu mradi mbona unakomaliwa sana????
Tukisema maraisi ni wapumbavuu tuna ambiwa tumetukana sasa imefika hatua wawekezaji watakuja kusema wanafungua shamba la kufuga mifugo hivyo serikali ipige marufuku mtu mwingine yoyote kufuga !!!! Huu ni upumbavu ,vipi tuingie mikataba ya uwekezaji inayo zuia ushindani wa biashara???
 
Eneo la mradi serikali iwajibike kuwafidia wananchi watakaoondolewa halafu limilikshwe kwa mradi.
Magufur alisha kataa aliwaambia wananchi wa bagamoyo kama muekezaji ana taka ardhi aje aongee na wananchi waelewane bei na siyo kuitumia serikali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ujinga ni pale tunaposhabikia kuuwa lango kuu la uchumi wa nchi hii kwa sababu ten pacent ya mchina hivi kama hiyo bandari ya bagamoyo haturuhusiwi tra kukusanya kodi na wakati huo mchina hataki uendeleze lango letu kuu la uchumi ni wapi sasa tutapata chanzo kipya cha kodi? Nafikiri wangetusaidia hili swali
 
Back
Top Bottom