Bandari ya Dar es Salaam ina changamoto za Mafanikio

Bandari ya Dar es Salaam ina changamoto za Mafanikio

Hii mada ni MISLEADING, inatetea UZEMBE na kuufanya kuwa ni FURSA.

Nauliza maswali 2. Kwanza mwaka 2023 tonnage za output ya copper ya Zambia ilifika 800+, lakini zilizopita Dar port ambayo ndiyo iko karibu na Zambia kuliko port zingine ni 198 tonnes tu. Je hiyo zaidi ya 75% ilipita wapi na sababu ni nini?

Pili, Julai 2023 Hichilema wa Zambia alisema hivi;
Screenshot_20240119_051526_Chrome.jpg


Unafikiri alikuwa ana maanisha nini?

Wakati wajinga fulani nchini Tanzania wakipigana kufa na kupona kuzuia jitihada za Serikali kuifanya Bandari ya Dar es Salaam kuwa na ufanisi ili kukamata soko la Afrika Mashariki na Kati huku Serikali ikiendelea kupata shida kutokana na wajinga hao kuendelea kusisitiza ujinga wao, mataifa yaliyokuwa yanategemea Bandari ya Dar es Salaam sasa yameanza kuchukua hatua za kuondokana na Bandari hiyo ambayo imekuwa ikisifika kwa kutokuwa na ufanisi na kuchelewesha mizigo.

Julai 2023 Marais wa Zambia na Congo walikubaliana kutumia Bandari ya Lobito ya nchini Angola huku wakitengeneza corridor mpya ya usafirishaji ijulikanayo kama corridor ya Lobito!

Tukisema watanzania tafuteni exposure muondokane na ujinga mtuelewege jamani! Sasa endeleeni na tantalia zenu kukataa uwekezaji wa kufanya mabadiliko ya kweli bandarini huku wale wateja mliokuwa mnawategemea wakizidi kuwakimbia
 
Katika yote haya nilichojifunza ni kwamba kazi kubwa imefanyika kuanzia 2016-2021 bila utashi wa mtu flani haya yote yasingekua yanaelezwa hapa.
 
Katika yote haya nilichojifunza ni kwamba kazi kubwa imefanyika kuanzia 2016-2021 bila utashi wa mtu flani haya yote yasingekua yanaelezwa hapa.
Siyo kweli, 25 Year Dar es Salaam Port Improvement Master Plan ilianza mwaka 2012. Huyo marehemu unayetaka kumpa sifa aliikuta tu na kuiendeleza.
 
hii mbaya sana kwa afya ya nchi yetu, kutuleta udini ni kuligawa taifa


ushauri wa bure ni bora kukaa kimya kama huna cha kuchangia hoja
Kwamba sioni au? acha ujinga ukweli lazima usemwe tulimsema Magu kujaza kanda moja na huyu tutamsema kwa udini wake
 
Nimeongeza maarifa makubwa juu ya Bandari yetu ya DSM. Pamoja na mradi wa DMGP kuleta faida kubwa ya kuongezeka kwa Meli na shehena. Rai yangu kwa Mamlaka ya Bandari (TPA) waongeze ufanisi, vifaa na mashine za kupakia na kupakua shehena.

Kwa huduma ya Clearing & Forwarding kwa mizigo aina yote, karibu Ruaha Freight Ltd,
Wasiliana nasi;

Ruaha Freight Ltd,
Umati building 3rd Floor, Room No 18 Samora Avenue / zanaki street Dar es Salaam. P.O.Box 62442
Dar es Salaam
.
Email: info@ruahafreight.com
Website: www.ruahafreight.com
Tel: +255222128447

Mob: +255718 866 651 (call or whatsapp).
Ni shule nzito kwa kweli imetolewa
 
Hii mada ni MISLEADING, inatetea UZEMBE na kuufanya kuwa ni FURSA.

Nauliza maswali 2. Kwanza mwaka 2023 tonnage za output ya copper ya Zambia ilifika 800+, lakini zilizopita Dar port ambayo ndiyo iko karibu na Zambia kuliko port zingine ni 198 tonnes tu. Je hiyo zaidi ya 75% ilipita wapi na sababu ni nini?

Pili, Julai 2023 Hichilema wa Zambia alisema hivi;View attachment 2876011

Unafikiri alikuwa ana maanisha nini?

Wakati wajinga fulani nchini Tanzania wakipigana kufa na kupona kuzuia jitihada za Serikali kuifanya Bandari ya Dar es Salaam kuwa na ufanisi ili kukamata soko la Afrika Mashariki na Kati huku Serikali ikiendelea kupata shida kutokana na wajinga hao kuendelea kusisitiza ujinga wao, mataifa yaliyokuwa yanategemea Bandari ya Dar es Salaam sasa yameanza kuchukua hatua za kuondokana na Bandari hiyo ambayo imekuwa ikisifika kwa kutokuwa na ufanisi na kuchelewesha mizigo.

Julai 2023 Marais wa Zambia na Congo walikubaliana kutumia Bandari ya Lobito ya nchini Angola huku wakitengeneza corridor mpya ya usafirishaji ijulikanayo kama corridor ya Lobito!

Tukisema watanzania tafuteni exposure muondokane na ujinga mtuelewege jamani! Sasa endeleeni na tantalia zenu kukataa uwekezaji wa kufanya mabadiliko ya kweli bandarini huku wale wateja mliokuwa mnawategemea wakizidi kuwakimbia
Mara zote katika nyuzi mbalimbali kuhusiana na masuala ya Bandari hua nasema kuwa TPA wanapaswa kuongeza ufanisi kwenye eneo la upakuaji na upakiaji shehena, kuboresha huduma kwa wateja (customer care). Lakini pia Serikali kupuguza vikwazo vya barabarani, kiforodha na kuondoa msongamano kwenye mpaka wetu wa Tunduma. TPA na Serikali wakiboresha maeneo hayo yaliyoainishwa, bado Bandari yetu ni bora ukiringanisha na Lobito Port, Bandari yetu ina-advantage ukaribu kutoka mji mkuu wa Zambia Lusaka ukulinganisha na Lobito Port, tofauti ya Kilometer 50 katika gharama za usafirishaji ni kubwa.

"Kwa huduma ya Clearing & Forwarding (Local & Transit) kwa mizigo aina yote, karibu Ruaha Freight Ltd,
Wasiliana nasi;

Ruaha Freight Ltd,
Umati building 3rd Floor, Room No 18 Samora Avenue / zanaki street Dar es Salaam. P.O.Box 62442
Dar es Salaam
.
Email: info@ruahafreight.com
Website: www.ruahafreight.com
Tel: +255222128447

Mob: +255718 866 651 (call or whatsapp).''
 
Siyo kweli, 25 Year Dar es Salaam Port Improvement Master Plan ilianza mwaka 2012. Huyo marehemu unayetaka kumpa sifa aliikuta tu na kuiendeleza.
Kwani asingekua na utashi wa kuendeleza Leo yangekua hayo?watu si wanampango wa kuhamishia bagamoyo
 
Siyo kweli, 25 Year Dar es Salaam Port Improvement Master Plan ilianza mwaka 2012. Huyo marehemu unayetaka kumpa sifa aliikuta tu na kuiendeleza.
Na wewe kwann unampa sifa mtu Ambae kakuta Kila kitu kimekamirika.
 
Mara zote katika nyuzi mbalimbali kuhusiana na masuala ya Bandari hua nasema kuwa TPA wanapaswa kuongeza ufanisi kwenye eneo la upakuaji na upakiaji shehena, kuboresha huduma kwa wateja (customer care). Lakini pia Serikali kupuguza vikwazo vya barabarani, kiforodha na kuondoa msongamano kwenye mpaka wetu wa Tunduma. TPA na Serikali wakiboresha maeneo hayo yaliyoainishwa, bado Bandari yetu ni bora ukiringanisha na Lobito Port, Bandari yetu ina-advantage ukaribu kutoka mji mkuu wa Zambia Lusaka ukulinganisha na Lobito Port, tofauti ya Kilometer 50 katika gharama za usafirishaji ni kubwa.

"Kwa huduma ya Clearing & Forwarding (Local & Transit) kwa mizigo aina yote, karibu Ruaha Freight Ltd,
Wasiliana nasi;

Ruaha Freight Ltd,
Umati building 3rd Floor, Room No 18 Samora Avenue / zanaki street Dar es Salaam. P.O.Box 62442
Dar es Salaam
.
Email: info@ruahafreight.com
Website: www.ruahafreight.com
Tel: +255222128447

Mob: +255718 866 651 (call or whatsapp).''
Una hoja
 
Hii mada ni MISLEADING, inatetea UZEMBE na kuufanya kuwa ni FURSA.

Nauliza maswali 2. Kwanza mwaka 2023 tonnage za output ya copper ya Zambia ilifika 800+, lakini zilizopita Dar port ambayo ndiyo iko karibu na Zambia kuliko port zingine ni 198 tonnes tu. Je hiyo zaidi ya 75% ilipita wapi na sababu ni nini?

Pili, Julai 2023 Hichilema wa Zambia alisema hivi;View attachment 2876011

Unafikiri alikuwa ana maanisha nini?

Wakati wajinga fulani nchini Tanzania wakipigana kufa na kupona kuzuia jitihada za Serikali kuifanya Bandari ya Dar es Salaam kuwa na ufanisi ili kukamata soko la Afrika Mashariki na Kati huku Serikali ikiendelea kupata shida kutokana na wajinga hao kuendelea kusisitiza ujinga wao, mataifa yaliyokuwa yanategemea Bandari ya Dar es Salaam sasa yameanza kuchukua hatua za kuondokana na Bandari hiyo ambayo imekuwa ikisifika kwa kutokuwa na ufanisi na kuchelewesha mizigo.

Julai 2023 Marais wa Zambia na Congo walikubaliana kutumia Bandari ya Lobito ya nchini Angola huku wakitengeneza corridor mpya ya usafirishaji ijulikanayo kama corridor ya Lobito!

Tukisema watanzania tafuteni exposure muondokane na ujinga mtuelewege jamani! Sasa endeleeni na tantalia zenu kukataa uwekezaji wa kufanya mabadiliko ya kweli bandarini huku wale wateja mliokuwa mnawategemea wakizidi kuwakimbia
Hoja yako nini hapa mkuu?
 
Kwani asingekua na utashi wa kuendeleza Leo yangekua hayo?watu si wanampango wa kuhamishia bagamoyo
Na Bagamoyo sasa kama Magufuli angeendeleza mawazo ya JK ilikuwa ndiyo optimal solution ya mambo ya bandari Tanzania. Lakini mshenzi yule alikuwa na ulemavu wa kutosikia ushauri wa mtu mwingine.
 
Na wewe kwann unampa sifa mtu Ambae kakuta Kila kitu kimekamirika.
Kajifunze MEMKWA kuandika kwanza kabla hujaanza kubishana na wenye akili wa JF. Hakuna neno "kimekamirika", bali kuna "kimekamilika"

Tunabishana na watu mbumbumbu sana humu
 
Hoja yako nini hapa mkuu?
Nikusaidie nini kama hujaweza kuelewa nilichoandika ? Hoja yangu ni kwamba UZEMBE, INNEFICIENCY kutokana na miundombinu chakavu kuna kimbiza wateja wa Zambia. Zambia na DRC ndiyo wateja wakubwa.

Nyinyi mnasifia FOLENI ya meli. Your are twats
 
Hii mada ni MISLEADING, inatetea UZEMBE na kuufanya kuwa ni FURSA.

Nauliza maswali 2. Kwanza mwaka 2023 tonnage za output ya copper ya Zambia ilifika 800+, lakini zilizopita Dar port ambayo ndiyo iko karibu na Zambia kuliko port zingine ni 198 tonnes tu. Je hiyo zaidi ya 75% ilipita wapi na sababu ni nini?

Pili, Julai 2023 Hichilema wa Zambia alisema hivi;View attachment 2876011

Unafikiri alikuwa ana maanisha nini?

Wakati wajinga fulani nchini Tanzania wakipigana kufa na kupona kuzuia jitihada za Serikali kuifanya Bandari ya Dar es Salaam kuwa na ufanisi ili kukamata soko la Afrika Mashariki na Kati huku Serikali ikiendelea kupata shida kutokana na wajinga hao kuendelea kusisitiza ujinga wao, mataifa yaliyokuwa yanategemea Bandari ya Dar es Salaam sasa yameanza kuchukua hatua za kuondokana na Bandari hiyo ambayo imekuwa ikisifika kwa kutokuwa na ufanisi na kuchelewesha mizigo.

Julai 2023 Marais wa Zambia na Congo walikubaliana kutumia Bandari ya Lobito ya nchini Angola huku wakitengeneza corridor mpya ya usafirishaji ijulikanayo kama corridor ya Lobito!

Tukisema watanzania tafuteni exposure muondokane na ujinga mtuelewege jamani! Sasa endeleeni na tantalia zenu kukataa uwekezaji wa kufanya mabadiliko ya kweli bandarini huku wale wateja mliokuwa mnawategemea wakizidi kuwakimbia
ZAmbia, DRC na Angola haziwezi kuacha kuupigia chapuo huu mradi hapo kuna zaidi $16 bil. Unazungumzia ujenzi wa reli, barabara, airports n.k lakini ukweli ni kwamba biashara ya Lobito ni soko la Ulaya na Marekani ni shortest route. Vilevile ni kutunishiana misuli kwa asili ya Wamarekeni na China ni siasa za kimkakati kati ya China na Marekani.
-> Lobito haina mahusiano na ufanisi wa bandari yetu, Lobito ni mkakati wa wababe wenyewe.
 
BANDARI YA DSM NA CHANGAMOTO ZA MAFANIKIO
  • Ni baada ya ukamilishaji wa mradi wa DMGP, uimarishaji wa mifumo na utekelezaji wa maelekezo na matamanio ya Rais Dkt. Samia katika mapinduzi ya Bandari
  • Sasa meli zinamiminika kila siku, wateja wameongezeka, mapato juu, mfungamano wa ajira umeimarika
  • Imevutia uwekezaji wa makampuni makubwa ya kimataifa ikiwemo DP WORLD, COSCO, APM, na nyinginezo
Na. Shaibu Sufiani
Unaposikia Meli zimekaa foleni zinasubiri kuingia bandari ya Dar es salaam usilalamike, shangilia kwani huo ni Uchumi wa Taifa unaimarika

Unapopita kandoni mwa Bahari ya hindi ukaona meli 10 au zaidi zimepanga foleni zinasubiri kuingia mshukuru Mungu mwambie Alhamdullilah uwekezaji wa maboresho ya bandari ya Dar es salaam umelipa na sasa wateja wengi wameongezeka maradufu

IKO HIVI
Kama ambavyo wamiliki wa nyumba za kulala wageni wanavyojisikia pale vyumba vinapojaa na huku wateja wakiendelea kuulizia vyumba, au washabiki wa mpira wanapofurika uwanja wa mpira kushangilia timu yao hadi kukosa viti, ama waumini wa dini wanapokwenda katika nyumba za ibada na kukuta nafasi zimejaa na ili wahudumiwe ni lazima kwanza wahudumiwe wenzao wenzao ndipo wao pia wahudumiwe,

Hivyo ndivyo ilivyo Babdari ya Dar es salaam kwa sasa, kwa miezi kadhaa mfululizo kuanzia mwezi wa 10 hadi hii Januri, MAGATI yote 12 ya Bandari hiyo kila siku kila saa yanakuwa yamejaa meli zikishusha na kupakia aina mbambaku za shehena kama vile Magari, Mizigo mchanganyiko, mbolea, makasha(Contena), Mafuta nakadharika, huku idadi kubwa ya meli ikiendelea kusubiri wenzao wamalize kushusha mizigo ili wao pia waingia

Inawezekana mtu wa kawaida akaona ni makusudi, au akaona kuna uzembe au kuna njama au namna yoyote navyoweza kuhisi yeye, lakini ukweli ni kwamba hakuna uwekezaji usiokuwa na matunda Chanya

Uwekezaji wa Tanzania katika uboreshaji wa Badari ya Dar kupitia mradi wa DMGP ulikuwa na lengo mahsusi kuhusiana na kuboresha miundombinu ili bandari iweze kuleta tija zaidi kwa Taifa katika kutoa huduma za kibandari

Fuatana nami hapa ili kufahamu kila kitu kuhusiana na uwekezaji huo mkubwa kuwahi kufanyika nchini

HALI YA BANDARI ZETU ZIKOJE
View attachment 2875557
Tunaarifiwa kuwa kabla ya mwaka 2015 hali ya bandari zetu hasa bandari tegemeo ya Dar es salaam haikuwa na uwezo mkubwa wa kiushindani ambapo meli zilizokuwa zinakuja ni ndogo kwa sababu ya kina huku Meli za Magari zikiwa zinahudumiwa katika eneo la mizigo mchanganyiko (General Cargo), na hazikuwa nyingi, ambapo pia hakukuwa na mpangilio wa maeneo ya kufanyia kazi kulingana na aina za mizigo huku Vifaai vya kuhudumia meli vikiwa duni, Magati yalikuwa na kina kifupi (chini ya mita 9) kiasi cha makusanyo ya mapato kutokuwa makubwa kutokana na uchache wa shehena iliyokuwa inahudumiwa kulingana na soko, Kwa ujumla UFANISI ulikuwa DUNI,

NINI KILIFANYIKA
Kutokana nachangamoto hizo, Serikali kwa kushirikiana na Mamlaka ya usimamizi wa Bandari nchini (TPA) iliamua kutafuta fedha ili kufanya maboresho ya Bandari (DMGP-mpango ulioanza kutafuta fedha miaka ya 2011 hadi 2016 uliposainiwa mkataba wa maboresho ya bandari)

DMGP NI NINI

Dar es Salaam Maritime Gateway Project (Mradi wa maboresho ya Bandari ya Dar es salaam)
Uchambuzi, upembuzi na utafiti 2010 kwa serikali kutafuta pesa hadi mkataba uliposainiwa na mradi kuanza kazi 2016/2017

View attachment 2875560

MAENEO YA MRADI WA MABORESHO YA BANDARI YA DSM

UJENZI WA MAGATI


- Gati jipya la Magari (RO-RO) na Yard yake limejengwa ukubwa wa Gati ni mita 300 Ukubwa wa YARD ni mita za mraba 72,000 lenye uwezo wa kutunza magari zaidi ya 6000 kwa wakati mmoja

2.UIMARISHWAJI GATI ZILIZOKUWEPO
Katika magati yaliyokuwepo,
Magati 7 yameimarishwa, Gati namba 1 hadi 7 ziliimarishwa kwa kuongezewa kingo ya urefu wa mita 15 kuelekea baharini, Kumewekwa vikingio vya meli vya kisasa (Fenda), Katika kila Gati zilizoimarishwa maeneo ya kuwekea shehena yameboreshwa, Mifumo ya kuzimia moto,Hydraut,Bankering na taa(Tower lights zimewekwa kuwezesha huduma kutolewa sa 24

NB; gati namba 5 hadi namba 7 zimeimarishiwa yadi yake ya kutunza shehena za makasha zinazoweza kutunza makasha zaidi ya 10,000 kwa wakati mmoja

3 . UONGEZAJI WA KINA – DRAFTING
Kina cha Bahari kilikuwa kidogo kiasi cha meli kubwa au zilizobeba mzigo mkubwa kushindwa kuingia, hivyo mradi ulifanikisha:-
  • Uchimbaji wa kina cha Bahari umefanyika kufikia mita 14.5 kutoka chini ya mita 9 za awali kwenye maeneo tofauti tofauti,
  • Mwanzoni meli kubwa zenye tani kuanzia 30,000 zilibidi kwanza zikapunguze mzigo gati namba 7 ndio ziweze Kwenda gati nyinginezo
4. MLANGO WA KUGEUZIA MELI
Aidha eneo la kuingilia meli (Entrance channel) halikuwa kubwa hivyo kuleta ugumu wa upitishaji wa meli kuingia na kutoka bandarini ndipo mradi ukafanikisha maboresho pia ya upanuzi wa mlango wa kuingiza meli na Kuboresha eneo la kugeuza meli – Turning Base

MATOKEO YA MABORESHO
Kukamilika kwa maboresho haya kumeleta matokoe makubwa ambayo kwa kiasi kingine matokeo hayo yanageuka kuwa changamoto. Hata hivyo changamoto hizi za kimafanikio hazipaswi kuwafanya wadau wa maendeleo na wadau watumiaji wa bandari kurudi nyuma na badala yake kusonga mbele kutafuta suluhu bora zaidi katika kufanikisha.
View attachment 2875561
Miongoni mwa matokeo ya moja kwa moja ya maboresho ya mradi wa DMGP ni pamoja na

KUONGEZEKA KWA SHEHENA

Tunaarifiwa kuwa shehena zinazoshuka Bandari ya Dar es Salaam zimeongezeka kutoka chini ta Tani milioni 13 mwaka 2016 hadi zaidi ya tani milioni 21 kwa mwaka 2022/23

Shehena za Shehena za Makasha zimepanda hdi kufikia wastani wa makasha 90,000 kwa mwezi tofauti na awali

Huku Shehena za magari zimeongezeka hadi kufikia wastani wa gari 200,000 kwa mwaka

View attachment 2875562
KUONGEZEKA KWA MAPATO TPA NA TRA
Taarifa zinaonyesha kuwa Makusanyo ya Bandari (Port Charges), yameongezeka hadi kufikia zaidi ya bilioni 106 kila mwezi sawa na wastani wa zaidi ya Trilioni 1.2 kwa mwaka

Vile vile Makusanyo ya Kodi yanayokusanywa na TRA kama forodha kupitia Bandarini yamepanda kufikia 40% ya makusanyo yote ya kila mwezi ya TRA

Maana yake nini, maana yake ni kwamba kwa kadri meli zinavyozidi kuwa nyingi, ndivyo makusanyo yanazidi kuongezeka

KUONGEZEKA KWA IDADI YA MELI
Idadi ya meli zinazoingia Bandarini Dar zimeongezeka maradufu kufikia wastani wa meli 90 kwa mwezi kutoka chini ya meli 60 huko nyuma ambapo kuna nyakati zimewahi kufika zaidi meli 100 katika kipindi cha mwezi mmoja

ONGEZEKO LA WATUMIAJI WA BANDARI
Maboresho pia yamepelekea kuongezeka kwa watumiaji wapya wa bandari mbapo nchi kama Zimbawe zimeongeza kuitumia bandari ya DSM hasa katika usafirishaji wa Magari sambamba na kampuni kadhaa kubwa za meli kuanzisha safari zake kuja Dar es salaam

ONGEZEKO LA AJIRA/FURSA
Maboresho yameongeza mnyororo wa thamani ambapo katika ajira za moja kwa moja na zisizo za moja kwa moja ambapo inakadiriwa zaidi yamakampuni 8000 yanatoa huduma mbalimbali bandarini, Maelfu ya madereva wa malori wamepata ajira, wenye malori nao wameongezeka na wameongeza vipato

Aidha wauzaji bidhaa na huduma kama mama lishe, migahawa, petrol stations, wauza vipuri, wazabuni na wengine wengi wamepata ajira katika bandari ya DSM.

Ni kwa sababu ya maboresho haya ndipo leo tunasikia kuna meli 36 zipo nje zinasubiri kuingia zikingojea meli zilizotangulia katika Gati 12 zilizopo hivi sasa zimalize kuhudumiwa nazo ziingie.

Ni vyema na haki kumpongeza Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa namna bora anavyoitazama sekta ya uchukuzi hasa eneo la bandari katika jicho pan ana bora ambapo hakuna namna hivi sasa uwekezaji mkubwa wa upanuzi ama uongezaji wa magati unahitajika.
View attachment 2875556
View attachment 2875563
Hesabu ya kawaida inaonyesha kuwa kama bandari yote ya Dar ina jumla ya magati 12 (Ukijumlisha na magati ya kushushia mafuta), nak ama kwa wakati mmoja meli zinazoingia nchini kutaka kuhudumiwa ni zaidi ya meli 40, hivyo kwa kila wakati lazima kuwepo na meli zaidi ya 20 zikisubiri wenzake wamalize,

Hii inatokana na ukweli kuwa meli moja ili imalize kuhudumiwa kwa kushuisha na kupandisha mizigo melini huchukua wastani wa siku moja hadi tano kutegemea na aina ya shehena iliyobeba

Tuendelee kuelimishana na kufahamishana juu ya umuhimu wa uwekezaji mkubwa unaohitajika kufanyika katika Bandari zetu huku tukirejea maneno yanayosema Kuongezeka kwa Meli nchini sio dhambi ni neema.

Shaibu Sufiani

Tuwasiliane :- shaibusufiani@gmail.com
Hakika DMGP ndio ilikuwa game changer, serikali yetu iendeleze maono hayo. Tuongeze gati ili tuendelee kula matunda ya bandari yetu niyakwetu tumepewa na mungu.
 
Mara zote katika nyuzi mbalimbali kuhusiana na masuala ya Bandari hua nasema kuwa TPA wanapaswa kuongeza ufanisi kwenye eneo la upakuaji na upakiaji shehena, kuboresha huduma kwa wateja (customer care). Lakini pia Serikali kupuguza vikwazo vya barabarani, kiforodha na kuondoa msongamano kwenye mpaka wetu wa Tunduma. TPA na Serikali wakiboresha maeneo hayo yaliyoainishwa, bado Bandari yetu ni bora ukiringanisha na Lobito Port, Bandari yetu ina-advantage ukaribu kutoka mji mkuu wa Zambia Lusaka ukulinganisha na Lobito Port, tofauti ya Kilometer 50 katika gharama za usafirishaji ni kubwa.

"Kwa huduma ya Clearing & Forwarding (Local & Transit) kwa mizigo aina yote, karibu Ruaha Freight Ltd,
Wasiliana nasi;

Ruaha Freight Ltd,
Umati building 3rd Floor, Room No 18 Samora Avenue / zanaki street Dar es Salaam. P.O.Box 62442
Dar es Salaam
.
Email: info@ruahafreight.com
Website: www.ruahafreight.com
Tel: +255222128447

Mob: +255718 866 651 (call or whatsapp).''

Mara zote katika nyuzi mbalimbali kuhusiana na masuala ya Bandari hua nasema kuwa TPA wanapaswa kuongeza ufanisi kwenye eneo la upakuaji na upakiaji shehena, kuboresha huduma kwa wateja (customer care). Lakini pia Serikali kupuguza vikwazo vya barabarani, kiforodha na kuondoa msongamano kwenye mpaka wetu wa Tunduma. TPA na Serikali wakiboresha maeneo hayo yaliyoainishwa, bado Bandari yetu ni bora ukiringanisha na Lobito Port, Bandari yetu ina-advantage ukaribu kutoka mji mkuu wa Zambia Lusaka ukulinganisha na Lobito Port, tofauti ya Kilometer 50 katika gharama za usafirishaji ni kubwa.

"Kwa huduma ya Clearing & Forwarding (Local & Transit) kwa mizigo aina yote, karibu Ruaha Freight Ltd,
Wasiliana nasi;

Ruaha Freight Ltd,
Umati building 3rd Floor, Room No 18 Samora Avenue / zanaki street Dar es Salaam. P.O.Box 62442
Dar es Salaam
.
Email: info@ruahafreight.com
Website: www.ruahafreight.com
Tel: +255222128447

Mob: +255718 866 651 (call or whatsapp).''
Utitiri wa wadau/mamlaka mbalimbali pale bandarini ambazo hazipo chini ya mamlaka ya bandari ni moja ya jinamizi linalopaka matope mamlaka ya bandari kuonekana kuwa hawana ufanisi. Idadi ya wadau wa bandari ni zaidi ya 30... anza na TRA, TBS na wengineo na kila mdau ana master/bosi wake mwisho wa siku uzembe wa taasisi moja unapaka matope mamlaka ya bandari.
 
Utitiri wa wadau/mamlaka mbalimbali pale bandarini ambazo hazipo chini ya mamlaka ya bandari ni moja ya jinamizi linalopaka matope mamlaka ya bandari kuonekana kuwa hawana ufanisi. Idadi ya wadau wa bandari ni zaidi ya 30... anza na TRA, TBS na wengineo na kila mdau ana master/bosi wake mwisho wa siku uzembe wa taasisi moja unapaka matope mamlaka ya bandari.
Ifanyeni mifumo isomane!! Jibu kama hilo ni la kijinga na kipumbavu kwa mteja wa DRC au Zambia. Kwani TRA na TBS ziko nchi gani?
 
ZAmbia, DRC na Angola haziwezi kuacha kuupigia chapuo huu mradi hapo kuna zaidi $16 bil. Unazungumzia ujenzi wa reli, barabara, airports n.k lakini ukweli ni kwamba biashara ya Lobito ni soko la Ulaya na Marekani ni shortest route. Vilevile ni kutunishiana misuli kwa asili ya Wamarekeni na China ni siasa za kimkakati kati ya China na Marekani.
-> Lobito haina mahusiano na ufanisi wa bandari yetu, Lobito ni mkakati wa wababe wenyewe.
Hujaelewa hoja ya Huihui2 kuhusu Lobito. Ameiweka hapo Lobito kuonyesha hatari inayotukabili kama hatuta fanya improvement ya operations zetu pale TPA
 
Na Bagamoyo sasa kama Magufuli angeendeleza mawazo ya JK ilikuwa ndiyo optimal solution ya mambo ya bandari Tanzania. Lakini mshenzi yule alikuwa na ulemavu wa kutosikia ushauri wa mtu mwingine.
Kwani jk mwenyewe kilimshinda nini kuijenga kwa miaka 10 aliyokaa madarakani?kati ya jk na magufuri aliekaa madarakani miaka 5.5 nani kafanya makubwa ambayo kamwe yatachukua hata miaka 30 kufanywa na wengine
 
Back
Top Bottom