Bandari ya Dar es Salaam ina changamoto za Mafanikio

Bandari ya Dar es Salaam ina changamoto za Mafanikio

Changamoto kubwa za bandari yetu kwa sasa ni tatizo la mtandao kwenye utoaji mizigo, baadhi ya muda kuingia na kushusha makasha au mzigo wa kichele gari zinatumia muda mrefu(truck turnround time),muda wa ushushaji mizigo kwa kutumia vifaa vilivyopo (Terminal 2 makasha yanashuka/kupakiwa kwa kutumia shore crane, ingawa kuna Ship to Shore Gantry Crane yenye speed kubwa ambayo haitumiki).

Facilities ndogo ya kutunza Refeers containers(makasha ya ubaridi).

Naamini itafika wakati hizo foleni hazitokuwepo maana maboresho yanaendelea kwenye mifumo ya tehama na vifaa vimeletwa vya kisasa zaidi
mdau uko vyema sana. kifupi tunapaswa tushangilie mafanikio huku tukichukua tahadhari na hatua za haaka kuhakikisha neema hii iliyotufikia haigeuki kuwa laana
 
Typo error, I meant copper. Ila Hujajibu swali, rudi tena soma na uelewa kisha ujibu hoja
Huwezi kupata faida mzigo unaokwenda Asia kutoka Zambia/DRC ukaupitishia Angola. Utendaji wa bandari umeboreka sana, ufanisi ni mkubwa, kazi zinafanywa masaa 24 kwa siku saba za wiki na Mama Samia anaongeza Magati.
 
mdau uko vyema sana. kifupi tunapaswa tushangilie mafanikio huku tukichukua tahadhari na hatua za haaka kuhakikisha neema hii iliyotufikia haigeuki kuwa laana
Ili ufanisi wa bandari yetu uwe mkubwa inabidi watu wa kila sekta wapambane kuelekea kilele cha mafanikio.

Watumiaji wa bandari yetu wanapofika waingie kwa urahisi na kutoka kwa wakati.Polisi,Tanroad,TBS,GCLA,TFDA,TRA,Jiji,Clearing Agents na TPA.
 
Kwani jk mwenyewe kilimshinda nini kuijenga kwa miaka 10 aliyokaa madarakani?kati ya jk na magufuri aliekaa madarakani miaka 5.5 nani kafanya makubwa ambayo kamwe yatachukua hata miaka 30 kufanywa na wengine
JPM alijuwa anatawala wajinga zaidi 90%, akatisha vyomba vya habari visimkosoe, halafu akawajaza UWONGO wake tu. Kujitoa kwenye umateka wa akili wa Magufuli kunahitaji uwe na akili kubwa.

Siyo kosa lako Monomer kumuona JPM alfanya kazi kubwa kwa miaka 5.5 kuliko JK wa miaka 10, shida ni udogo wa akili yako.
 
Cha kukuongezea tu nikwamba baada ya mkapa kumteua magufuri kua naibu waziri wa ujenzi,magufuri ndie alipeleka ushauri kwa rais mkapa namna wanaweza kufanya ili kuifungua Tanzania kwa bara bara za lami na huyo huyo akiwa naibu waziri na waziri kamili ndicho kipindi hasa bara bara nyingi za lami kuunganisha mikoa zikawa zinajengwa kwa fujo.Sina takwimu sahihi za kilomita zilizojengwa yeye akiwa msimizi lakini maarifa hayana mwisho ntatafta tu nikupe Kama hutaki
Unapofanya comparisons lazima uweke parameter zilizo sawa. Tunaongelea marais halafu wewe unaleta Naibu Waziri. Akili za sekondari za kata hizi
 
Unapofanya comparisons lazima uweke parameter zilizo sawa. Tunaongelea marais halafu wewe unaleta Naibu Waziri. Akili za sekondari za kata hizi
Acha undezi hapa tunaongelea impact ya mtu aliyo ileta kwa watanzania.
 
JPM alijuwa anatawala wajinga zaidi 90%, akatisha vyomba vya habari visimkosoe, halafu akawajaza UWONGO wake tu. Kujitoa kwenye umateka wa akili wa Magufuli kunahitaji uwe na akili kubwa.

Siyo kosa lako Monomer kumuona JPM alfanya kazi kubwa kwa miaka 5.5 kuliko JK wa miaka 10, shida ni udogo wa akili yako.
Sifa anazo mwagiwa hayati LOWASA na hao viongozi wa ccm Leo huko nyumba alikua anapewa jk kumbe maskini ya mungu sio zake.Sasa sijui unataka kusemaje
 
Sifa anazo mwagiwa hayati LOWASA na hao viongozi wa ccm Leo huko nyumba alikua anapewa jk kumbe maskini ya mungu sio zake.Sasa sijui unataka kusemaje
Unayo marking scheme ku confirm kuwa kila wanayosema ni ya kwake? Kwa taarifa yako UDOM ni wazo la Benjamin Mkapa na alipokuwa anaondoka mwaka 2005 December tayari alikwisha convert ukumbi wa Chimwaga kuwa UDOM. Na pale ndipo Chuo kilipoanzia.

Walichofanya JK na Lowassa ni kukipanua zaidi ya namna Mkapa alivyofikiri
 
Acha undezi hapa tunaongelea impact ya mtu aliyo ileta kwa watanzania.
Impact ya JPM ni negative kwa Watanzania na ndiyo maana Mungu alimnyakua na kumtupa jehanam. Alitaka kututia umasikini
 
Unayo marking scheme ku confirm kuwa kila wanayosema ni ya kwake? Kwa taarifa yako UDOM ni wazo la Benjamin Mkapa na alipokuwa anaondoka mwaka 2005 December tayari alikwisha convert ukumbi wa Chimwaga kuwa UDOM. Na pale ndipo Chuo kilipoanzia.

Walichofanya JK na Lowassa ni kukipanua zaidi ya namna Mkapa alivyofikiri
Mbona msibani waombolezaji hawasemi hivyo,kati ya wao na wewe nani anaejua zaidi na msema kweli.
 
Mbona msibani waombolezaji hawasemi hivyo,kati ya wao na wewe nani anaejua zaidi na msema kweli.
Msibani ni politics za msiba tu. Maana msibani hata akina Nape na Makonda waliomtukana wakamdhalilisha leo wanamsifia.

Ila kuhusu UDOM stick na nilichoandika mimi kwenye post #130
 
Msibani ni politics za msiba tu. Maana msibani hata akina Nape na Makonda waliomtukana wakamdhalilisha leo wanamsifia.

Ila kuhusu UDOM stick na nilichoandika mimi kwenye post #130
Asa waliokua wajumbe wa mkutano mkuu wa chama na kamati kuu ya nec wamesema vile wewe ni nani hadi nikuamini au wewe ndie jk mwenyewe
 
Asa waliokua wajumbe wa mkutano mkuu wa chama na kamati kuu ya nec wamesema vile wewe ni nani hadi nikuamini au wewe ndie jk mwenyewe
Wataje hao wajumbe wa NEC ambao ni mburura niwaumbue hapa
 
Back
Top Bottom