Johnson Fundi
JF-Expert Member
- Jan 11, 2011
- 1,386
- 1,207
subiri mkataba uwekwe bungeni,utakuwa public document, ukiihitaji utaipata mradi ufuate utaratibu na kulipa ada. hauwezi kuwekwa humu JFKama kina masilahi hivyo mbona tunafichwa fichwa vitu sio open
Ni swala la muda tuUnajua wakati mwingine ni vizuri kuongea vitu ukiwa na Ushahidi hasa kwenye jambo nyeti kama hilo la bandari, otherwise ziendelee kuwa tetesi.
Unapokuwa unawaachia wageni bandari manake hapo utakuwa umeamua kujivua nguo wewe mwenyewe, manake utakuwa wazi upande huo wa majini na ni rahisi maadui kupenetrate kupitia njia hiyo. Na ni hatari sana Kwa usalama wa Nchi.
Ila hapa kuna ukweli aisee, pamoja na yote watu wamekuwa brainwashed sanaaa........yaani wameaminishwa jamaa ni malaika kabisa na hivyo hakuwa na lolote alilolikosea.Magufuli alikuwa hastahili kuwa Rais wa nchi. Uharibifu alioufnya vichwani mwa Watanzania itachukua miaka mingi kuufuta
Umepewa wewe?Asante,
Pia huelewi unachosema. Aliepewa TICTS Sio DP World.
Baki kwenye Madera na vidole juu huko kisiju.
Hajui chochote huyo... Anaitaja 10T kama maharagwe jikoni!Una matatizo ya akili? Mapato ya bandari kwa mwezi 10T??? Wewe ni zaidi ya mpumbavu
Unaijua 10T??
Wasted sperm.Mapungufu ya Jiwe yalikuwa ni hatari na yalikuwa yakilipeleka taifa la Tz kwenye hasara kubwa kuliko hata hasara ya bandari zote kupatiwa mjomba wake Samia wa kule Oman
Afafanue halafu uende baharini kuokota kiroba?Mhh...hebu fafanua kidogo kuliko kuongea juu juu kama umeshikiwa bastola
Unamaanisha nini.. ukisema kapewa muarabu?Jamani kwema
Jiwe alikuwa anamapungufu mengi ila kwenye vitu vinavyo vinahusu masilai ya taifa alikuwa mkali kupitiliza alijitahidi kubolesha miondombinu kila idala majini (bandari zote), inchi kavu na angani
Masikini Jiwe ameondoka watu wanaanza kugawana na wajomba zake kweli [emoji22][emoji22][emoji22][emoji22] kwenye ajira watu wengine wataumia wengine watanufaika, system za mapato zote anapewa mtu sisi tunageuka kuwa ndugu watazamaji
rest easy Jembe
Ndio, nimepewa mimi.Umepewa wewe?
Mkuu cheo chako ni kipi kwa sasaBora utulie akili za kimaskini sisi tuliopo kweny system tunajua magufuli alikuwa Bora kuliko raisi wote hata pale bandari mapato yalikuwa juu .... Kingine jitambue wale walioingia kweny system kipind cha jiwe walikuwa Wana uwezo tangu afariki michezo ya ovyo imerudi
Jiwe alikuwa anaiba kimpango wake ila sawa wanagawana watu kibao kaaa kwa kutulia hujui kitu kima wa blue !!!
Hahahahaha eti nsonyoWewe uharibifu ulifanyiwa huko kwenye nsonyo. Huna akili