Hayo mambo hayahitaji Elimu Muislamu na Muislamu hawaelewani na Wanachinjana kila siku.Wewe Galatia kaa pembeni haya mambo hauna elimu nayo acha ushabiki bange .
Semenya acha maskhara yako.Katika hadith ya wagatha al makuntar makaveli anatutahadharisha kabisa umma wa uislam kukaa kimya kwenye hii sintofaham. Tukiendelea na huu ukimya tutakosa janah na firdaus hivihivi siku ya qyamah.
View attachment 2941774
100 others
Mdogo wangu nakutakia swaumu njema🙌🏿👊🏿👌🏿 😅Mambo kuhusu mashia yamesemwa sana na yanasemwa na Masheikh kila siku mpaka vitabu vya kutahadharisha kuhusu wao vipo vingi sana.
Wewe Galatia kaa pembeni haya mambo hauna elimu nayo acha ushabiki bange .
#Nimemaliza
Mkuu please source na link ya msumbijiHayo mambo hayahitaji Elimu Muislamu na Muislamu hawaelewani na Wanachinjana kila siku.
Jana nimeona Waisilamu wakiwachinja Waisilamu wenzao huko Msumbiji.
Haiitaji Ilmu kujua ni kwanini wanachinjana angalia Madhehebu ya Kikristo au ya Kihindu yako mengi sana lakini sio rahisi kuwaona wakichinjana.
Nadhani itakuwa ni very hard kwasababu nimeiona hiyo habari kwenye mkutano lakini ngoja kiitafute.Mkuu please source na link ya msumbiji
Ni dhambi (kabira) kuwatukana maswahaba. Ni dhambi isiyosameheka kuwatukana wake wa mtume peace be upon him hasa Ayesha kumuita kahaba.
Kumbuka Ali na wafuas wake walivyotaka kuwa caliph bila kufuata taratib za Allah.
Umma wa uislamu tusiendelee kukaa kimya wakati deen yetu kwenye dunya inatiwa unajis. Tutakosa janah na firdaus hivihivi tukiwaachia hawa makafir wa kishia kufanya kufr (blasphemy)
adriz Mufti kuku The Infinity mjingamimi hydroxo imhotep Jagina Sol de Mayo Accumen Mo
Unajibu kinyongeeeee. Nimeshakupata.Mbona hukunijibu , hao mashia wako makundi mangapi ?? Mbona ukristo yako kuliko hivyo ??
kwenye uislamu waislamu wote wanafanya hija pamoja na kusali pamoja Makkah na Madina , sasa wewe unafikiri unaweza kuleta fitna wakati huu ?? Umeishiwa , tafuta jengine
Unajibu kinyongeeeee. Nimeshakupata.
umejipata mwenyewe , unafikiri unamfanyia muislamu kumbe unajidanganya mwenyewe , kila mtu atabeba mzigo wake
Hii swaumu inakupeleka resi kichiz
Hii swaumu inakupeleka resi kichiz
Hii swaumu inakupeleka resi kichiz
Mbona mnapenda kuchanganya mambo kwa kutumia TIkTok Clips mimi nimeweka hiyo Vid inayoongelea UGAIDI unavyoisumbua AFRIKA wewe umeenda kuniwekea random Video kutoka Tiktok.HAO AIPAC NDIWO MAMBA WENYEWE WANAKULA NA HUKU KUJIFANYA WANALIA SIKILIZA MANENO YAO HAYA HAPA CHINI
View attachment 2941837
Mbona mnapenda kuchanganya mambo kwa kutumia TIkTok Clips mimi nimeweka hiyo Vid inayoongelea UGAIDI unavyoisumbua AFRIKA wewe umeenda kuniwekea random Video kutoka Tiktok.
Mbona uelewa wako mdogo hivi?
Acha kuchanganya mada tulikuwa tunaongelea Ugaidi Barani AfrikaUjumbe haujafika ?? au masikio yako yameshindwa kuisikia ??
Ugaidi na hayo wanayoyafanya unafikiri ni kitu gani ??Acha kuchanganya mada tulikuwa tunaongelea Ugaidi Barani Afrika
Acha kuchanganya mada tulikuwa tunaongelea Ugaidi Barani Afrika