Bandari ya Eliat kusini mwa Israel hatarini kufungwa kutokana na mashambulio ya Houth

Wewe Galatia kaa pembeni haya mambo hauna elimu nayo acha ushabiki bange .
Hayo mambo hayahitaji Elimu Muislamu na Muislamu hawaelewani na Wanachinjana kila siku.

Jana nimeona Waisilamu wakiwachinja Waisilamu wenzao huko Msumbiji.

Haiitaji Ilmu kujua ni kwanini wanachinjana angalia Madhehebu ya Kikristo au ya Kihindu yako mengi sana lakini sio rahisi kuwaona wakichinjana.
 
Mambo kuhusu mashia yamesemwa sana na yanasemwa na Masheikh kila siku mpaka vitabu vya kutahadharisha kuhusu wao vipo vingi sana.

Wewe Galatia kaa pembeni haya mambo hauna elimu nayo acha ushabiki bange .

#Nimemaliza
Mdogo wangu nakutakia swaumu njema🙌🏿👊🏿👌🏿 😅
 
Mkuu please source na link ya msumbiji
 

Mbona hukunijibu , hao mashia, wako makundi mangapi ?? Mbona ukristo yako kuliko hivyo ??

kwenye uislamu waislamu wote wanafanya hija pamoja na kusali pamoja Makkah na Madina , sasa wewe unafikiri unaweza kuleta fitna wakati huu ?? Umeishiwa , tafuta jengine
 
Unajibu kinyongeeeee. Nimeshakupata.
 
Hii swaumu inakupeleka resi kichiz

Tuiache Biblia itueleze:

Yesu akaondoka huko, akaenda kando pande za Tiro na Sidoni. Na tazama, mwanamke Mkananayo wa mipaka ile akatokea, akampazia sauti akisema, Unirehemu, Bwana, Mwana wa Daudi; binti yangu amepagawa sana na pepo. Wala yeye hakumjibu neno. Nao wanafunzi wake wakamwendea, wakamwomba, wakisema, Mwache aende zake; kwa maana anapiga kelele nyuma yetu. Akajibu, akisema, Sikutumwa ila kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli. Naye akaja akamsujudia, akisema, Bwana, unisaidie. akajibu, akasema, Si vema kukitwaa chakula cha watoto na kuwatupia mbwa. Akasema, Ndiyo, Bwana, lakini hata mbwa hula makombo yaangukayo mezani za bwana zao. Ndipo Yesu akajibu, akamwambia, Mama, imani yako ni kubwa; na iwe kwako kama utakavyo. Akapona binti yake tangu saa ile.

Mathayo 15.21-28

Kwa maneno yasiotatanisha Yesu Kristo anasema kuwa yeye hakutumwa ila kwa "kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli."

Hakuwajia Waarabu, wala Wazungu, wala Wahindi, wala Waafrika, wala Machina.

Kama hayo hayakutosha kuonyesha kuwa yeye hakuwajia wasio Mayahudi anazidi kufahamisha kwa mfano wa kumkata mtu kiu:

Si vema kukitwaa chakula cha watoto na kuwatupia mbwa.
 
HAO AIPAC NDIWO MAMBA WENYEWE WANAKULA NA HUKU KUJIFANYA WANALIA SIKILIZA MANENO YAO HAYA HAPA CHINI

View attachment 2941837
Mbona mnapenda kuchanganya mambo kwa kutumia TIkTok Clips mimi nimeweka hiyo Vid inayoongelea UGAIDI unavyoisumbua AFRIKA wewe umeenda kuniwekea random Video kutoka Tiktok.

Mbona uelewa wako mdogo hivi?
 
Mbona mnapenda kuchanganya mambo kwa kutumia TIkTok Clips mimi nimeweka hiyo Vid inayoongelea UGAIDI unavyoisumbua AFRIKA wewe umeenda kuniwekea random Video kutoka Tiktok.

Mbona uelewa wako mdogo hivi?

Ujumbe haujafika ?? au masikio yako yameshindwa kuisikia ??

ugaidi unafanywa na wazungu na sio Afrika tu dunia nzima

hizo video zinazowaonyesha wayahudi wakisomba almasi Kongo wamezitoa zote youtube
 
Acha kuchanganya mada tulikuwa tunaongelea Ugaidi Barani Afrika
Ugaidi na hayo wanayoyafanya unafikiri ni kitu gani ??

serikali ya nigeria ililalamika hivi karibuni kuwa Ufaransa wanawapa silaha hao Boko haram au hujasikia ??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…