Bandari ya Eliat kusini mwa Israel hatarini kufungwa kutokana na mashambulio ya Houth

Bandari ya Eliat kusini mwa Israel hatarini kufungwa kutokana na mashambulio ya Houth

Kama kweli ulisoma niwekee aya moja tu iliyokopiwa kutoka biblia
Story zote za Torati Zaburi Injili na Mitume wote kasoro Muhammad zimekopiwa kutoka kwenye Vitabu vya Kiyahudi na Kikristo Swala tano zimekopiwa kutoka kwenye Dini ya Zoroastra.

Sasa unataka mpaka niandike Kiarabu halafu nijishike shavu nianze kughani ndio ujue kuwa nimesoma?
 
Story zote za Torati Zaburi Injili na Mitume wote kasoro Muhammad zimekopiwa kutoka kwenye Vitabu vya Kiyahudi na Kikristo Swala tano zimekopiwa kutoka kwenye Dini ya Zoroastra.

Sasa unataka mpaka niandike Kiarabu halafu nijishike shavu nianze kughani ndio ujue kuwa nimesoma?

ndio nikakuambia niwekee aya moja tu iliyokopiwa , kwani nilikuambia wapi uandike kiarabu ?? Ni kwa kuwa huna wala hujasoma kitu unajaribu kukimbia tu
 
ndio nikakuambia niwekee aya moja tu iliyokopiwa , kwani nilikuambia wapi uandike kiarabu ?? Ni kwa kuwa huna wala hujasoma kitu unajaribu kukimbia tu
Sijakaririshwa ujinga natumia common sense, Characters zilizomo katika Torati Injili na Zaburi zimekopiwa na kuongezewa vikorombwezo ndio maana hawataki kurani isomwe katika Lugha zingine.

Hata leo Mchina anakopi bidhaa halafu anaiongezea vikoromwezo na kuandika Made in China.

Miaka 1500 sio mingi ki hivyo Mohamed kaja kakopi kopi halafu akaanza kuwalazimisha Waarabu kuwa yeye ndio Mtume wa mwisho WHY?!

Halafu wewe Mwafrika mwenzangu unachukulia Siriasi.
 
Sijakaririshwa ujinga natumia common sense, Characters zilizomo katika Torati Injili na Zaburi zimekopiwa na kuongezewa vikorombwezo ndio maana hawataki kurani isomwe katika Lugha zingine.

Hata leo Mchina anakopi bidhaa halafu anaiongezea vikoromwezo na kuandika Made in China.

Miaka 1500 sio mingi ki hivyo Mohamed kaja kakopi kopi halafu akaanza kuwalazimisha Waarabu kuwa yeye ndio Mtume wa mwisho WHY?!

Halafu wewe Mwafrika mwenzangu unachukulia Siriasi.
Ndivyo unavyoambiwa kanisani kwenu ? Mwambie huyo aliyekuambia hivyo akusaidie ulete Aya moja tu iliyokopiwa ? Usizunguke mbuyu
 
Indoctrination inakufanya unakuwa Mjinga.
Mimi ni mjinga ndiyo nikakuomba wewe uliyosema umeusoma uislamu, unipe walau Aya moja tu iliyokopiwa kutoka kwenye biblia, usinikimbie Mimi mjinga Tafadhali
 
Mimi ni mjinga ndiyo nikakuomba wewe uliyosema umeusoma uislamu, unipe walau Aya moja tu iliyokopiwa kutoka kwenye biblia, usinikimbie Mimi mjinga Tafadhali
Aya ya nini? Musa Issa Yusufu Nuhu Ibrahim yote hayo yamekopiwa kutoka kwenye Biblia za Kikristu na Kiyahudi.

Unaposema Mariam Bikira na kisa kizima cha Issa kimekopiwa kutoka kwenye Bibilia.

Kisa cha Nuhu na Safina na Mafuriko Kuruani imekopi kutoka kwenye Vitabu vya Kikristo na Kiyahudi.

Listi ni Ndeeeefu sana sasa wewe umekalia Aya ooh!! Nionyeshe Ayaa.

Watu wenye Hekima tunajua ndio maana tunawaambia msijifanye Extremists na kufikia kuchinja Binadamu wenzenu kwa hadithi za kukopi.
 
Aya ya nini? Musa Issa Yusufu Nuhu Ibrahim yote hayo yamekopiwa kutoka kwenye Biblia za Kikristu na Kiyahudi.

Unaposema Mariam Bikira na kisa kizima cha Issa kimekopiwa kutoka kwenye Bibilia.

Kisa cha Nuhu na Safina na Mafuriko Kuruani imekopi kutoka kwenye Vitabu vya Kikristo na Kiyahudi.

Listi ni Ndeeeefu sana sasa wewe umekalia Aya ooh!! Nionyeshe Ayaa.

Watu wenye Hekima tunajua ndio maana tunawaambia msijifanye Extremists na kufikia kuchinja Binadamu wenzenu kwa hadithi za kukopi.

Hivyo visa vimekopiwa , Mimi mjinga naomba aya moja tu iliyokopiwa , Mimi mjinga nitakupa aya zilizokopiwa kwenye biblia kutoka dini za kikigiriki na Egypt au nikupe ??

Mimi mjinga nimeomba aya moja tu kutoka kwako msomi , unaniambia vipo visa vimekopiwa , ndio nipe hivyo visa kwa aya moja tu kutoka biblia

Msomi nipe aya moja tu ya bikira Maria iliyokopiwa au kiswahili kinakupiga chenga ??
 
Enzi hizo Dini zetu tulikuwa tunazo kabla ya Jihadi kuja kutuvamia.

Kwakweli sisi Waafrika Weusi tuzifufue Dini zetu za kale.

MUACHA ASILI NI MTUMWA Wahenga hawakuongopa.
Sio dini tu.Unatakiwa ufuate dini ya haki
 
Hivyo visa vimekopiwa , Mimi mjinga naomba aya moja tu iliyokopiwa , Mimi mjinga nitakupa aya zilizokopiwa kwenye biblia kutoka dini za kikigiriki na Egypt au nikupe ??

Mimi mjinga nimeomba aya moja tu kutoka kwako msomi , unaniambia vipo visa vimekopiwa , ndio nipe hivyo visa kwa aya moja tu kutoka biblia

Msomi nipe aya moja tu ya bikira Maria iliyokopiwa au kiswahili kinakupiga chenga ??
Sikatai kuwa Uyahudi na Ukristo haujakopi baadhi ya mambo kutoka kwenye Dini za kale.

Ninachokushangaeni ninyi ni ninyi mnaotaka kukataa kuwa HATA kuruani imekopi kutoka ktk Uyahudi na Ukristo.
 
Sikatai kuwa Uyahudi na Ukristo haujakopi baadhi ya mambo kutoka kwenye Dini za kale.

Ninachokushangaeni ninyi ni ninyi mnaotaka kukataa kuwa HATA kuruani imekopi kutoka ktk Uyahudi na Ukristo.

Si ndio nikakuambia msomi utupe sisi wajinga walau aya moja iliyokopiwa kutoka biblia ??
 
Nini maana yake?


Tukiangalia dini za uongo na imani mbalimbali za upotovu duniani, na moyo wa kuzipenda unaowafanya wafuasi zake waziunge mkono imani hizo, inaonesha ushahidi madhubuti kuwa watu hao hawawezi kuugundua ukweli kwa sababu ya upofu wa misimamo yao juu ya imani zao.

Ufuasi wao king`ang`anizi, kwa kawaida hauegemei ufahamu wa kiakili juu ya mafundisho, bali unategemea utamaduni wenye nguvu na vishawishi vya kihisia.

Kwa kuwa walilelewa katika familia au jamii maalum, wao wanashikamana madhubuti na imani ya jamii hizo, wakiamini kuwa, wanauunga mkono ukweli.

Njia pekee inayoweza kuufikia ukweli juu ya kitu chochote kile ni kukijongelea kitu hicho kupitia mfumo maalamu na kwa kutumia akili.

Kwanza, tuupime ushahidi kisha tunauhukumu kwa akili alizotupa Mungu.

Katika ulimwengu wa maada, kimsingi ni akili ndizo zinazowapambanua wanadamu na wanyama, akili ifanyayo kazi vizuri katika silika (maumbile) yake.

Baada ya kuubainisha ukweli bila kupendelea, hapo ndipo tujibebeshe majukumu ya ukweli huo kihisia.

Ndio, kuna nafasi ya kuwa na msimamo wa kihisia, lakini msimamo wa kihisia lazima uje baada ya ufahamu wa kiakili juu ya kadhia husika, kisha ndipo mtu ajiandae kiakili na kiroho kuutetea ukweli huo kwa juhudi.
 
Si ndio nikakuambia msomi utupe sisi wajinga walau aya moja iliyokopiwa kutoka biblia ??
Aya ya nini wakati characters za kwenye Bible zimekopiwa kama Stori za Moses stori za Adam Stori za Solomon Stori za Abraham nk hizi stori zimekopiwa sasa wewe unaleta Stori za Aya.

Kama unashindwa kunielewa basi utakua Mtu mwenye Fuvu gumu sana.
 
Aya ya nini wakati characters za kwenye zimekopiwa kama Stori za Moses stori za Adam Stori za Solomon Stori za Abraham nk hizi stori zimekopiwa sasa wewe unaleta Stori za Aya.

Kama unashindwa kunielewa basi utakua Mtu mwenye Fuvu gumu sana.

Lete basi aya inayohusu Adam au Abraham au yeyote iliyokopiwa , Quran imekuja kuweka sawa hizo stories kwani stories ziliandikwa na watu kama biblia inavyosema

Jeremiah 8:8 Mwasemaje, Sisi tuna akili, na torati ya Bwana tunayo pamoja nasi? Lakini, tazama, kalamu yenye uongo ya waandishi imeifanya kuwa uongo.
 
Tukiangalia dini za uongo na imani mbalimbali za upotovu duniani,
Hakuna kitu kinachoitwa Dini ya Ukweli au Dini zimekuwepo kabla ya Uyahudi Ukristo na Uisilamu.

Misri ya kale walikuwa na Dini zao Ugiriki ya kale walikuwa na Dini zao Roma ya kale walikuwa na Dini zao.

Unaposema Uisililamu ni Dini ya "Kweli" kwasababu Mungu hajawahi kujitokeza hadharani na kusema dini fulani ndio yangu.

Wala Muhammad hajawahi kumuona Allah yeye anadai aliijiwa na "Gabriel" ambayo ni character kutoka kwenye Bible.

Na hata huyo Gabriel yukoje mara aseme ni Malaika mara anasema alimuendea usingizini nk.nk.
 
Quran imekuja kuweka sawa hizo stories kwani stories ziliandikwa na watu kama biblia inavyosema
Ahaa!!! sasa tumeanza kuelewana naona umekiri kuwa Quruani imekopi vitu vingi sana kutoka kwenye Bible.

Inasemekana Mungu hafanyi makosa sasa Muhammad anataka kumkosoa Mungu?
 
Hakuna kitu kinachoitwa Dini ya Ukweli au Dini zimekuwepo kabla ya Uyahudi Ukristo na Uisilamu.

Misri ya kale walikuwa na Dini zao Ugiriki ya kale walikuwa na Dini zao Roma ya kale walikuwa na Dini zao.

Unaposema Uisililamu ni Dini ya "Kweli" kwasababu Mungu hajawahi kujitokeza hadharani na kusema dini fulani ndio yangu.

Wala Muhammad hajawahi kumuona Allah yeye anadai aliijiwa na "Gabriel" ambayo ni character kutoka kwenye Bible.

Na hata huyo Gabriel yukoje mara aseme ni Malaika mara anasema alimuendea usingizini nk.nk.


Katika uislamu Allah kaweka wazi

Na anayetaka dini isiyokuwa Uislamu haitakubaliwa kwake, na yeye Akhera atakuwa miongoni mwa waliokhasirika.} [Al `Imran 3:85]

{Hakika Dini mbele ya Mwenyezi Mungu ni Uislamu.} [Al `Imran 3:19]

Sasa tuwekee maneno yanayosema kutoka dini yeyote kuwa hiyo dini ndiyo inayokubalika

Kwa kukuongezea


View: https://www.tiktok.com/@mabelchinwetv/video/7347016470250949934?is_from_webapp=1&sender_device=pc
 
Ahaa!!! sasa tumeanza kuelewana naona umekiri kuwa Quruani imekopi vitu vingi sana kutoka kwenye Bible.

Inasemekana Mungu hafanyi makosa sasa Muhammad anataka kumkosoa Mungu?

Nimekuandikia wapi kuwa Quran imekopi nionyeshe neno kukopy katika maandishi yangu , mbona unaanza kunipakazia ??

Ombi langu liko palepale lete aya moja kutoka biblia ambayo imo ndani ya Quran
 
Back
Top Bottom