Bandari ya Eliat kusini mwa Israel hatarini kufungwa kutokana na mashambulio ya Houth

Bandari ya Eliat kusini mwa Israel hatarini kufungwa kutokana na mashambulio ya Houth

Dini za mizimu zina umuhimu gani na matarajio zikupeleke wapi/
.
Nani unayemuabudu kwenye hizo dini.Jee kweli wana sifa za kuabudiwa ?
Dini ya kuabudu bila kufosiwa kwa upanga.
 
Nimekuandikia wapi kuwa Quran imekopi nionyeshe neno kukopy katika maandishi yangu , mbona unaanza kunipakazia ??

Ombi langu liko palepale lete aya moja kutoka biblia ambayo imo ndani ya Quran
Nimekuonyesha STORI zililizokopiwa kuanziaa Moses hadi Jesus kuzaliwa na Bikira Maria wewe unataka AYA ambayo ni kitu kidogo.

Naona umechemka Mzee.
 
Nimekuonyesha STORI zililizokopiwa kuanziaa Moses hadi Jesus kuzaliwa na Bikira Maria wewe unataka AYA ambayo ni kitu kidogo.

Naona umechemka Mzee.

Hicho kitu kidogo mbona hukiweki ??
 
Tuwekee maneno kama hayo kutoka kitabu cha dini yoyote nyengine zaidi ya uislamu
Aya na Hadith haziwezi kuifanya Dini kuwa ya "Kweli" waandishi ni Binadamu kama mimi na wewe.
 
Uhuru una mipaka yake.Hata serikali kuna maeneo inahitajika ili kuzuia matatizo kwa watu.
Dini ya kulazimishana kwa Upanga na Majambia sio Dini huo ni uzushi wa Mwanadamu.
 
Back
Top Bottom