Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dini ya kuabudu bila kufosiwa kwa upanga.Dini za mizimu zina umuhimu gani na matarajio zikupeleke wapi/
.
Nani unayemuabudu kwenye hizo dini.Jee kweli wana sifa za kuabudiwa ?
Nimekuonyesha STORI zililizokopiwa kuanziaa Moses hadi Jesus kuzaliwa na Bikira Maria wewe unataka AYA ambayo ni kitu kidogo.Nimekuandikia wapi kuwa Quran imekopi nionyeshe neno kukopy katika maandishi yangu , mbona unaanza kunipakazia ??
Ombi langu liko palepale lete aya moja kutoka biblia ambayo imo ndani ya Quran
Indoctrination inakufanya unakuwa Mjinga Ujinga sio tusi.{Hakika Dini mbele ya Mwenyezi Mungu ni Uislamu.} [Al `Imran 3:19]
Nimekuonyesha STORI zililizokopiwa kuanziaa Moses hadi Jesus kuzaliwa na Bikira Maria wewe unataka AYA ambayo ni kitu kidogo.
Naona umechemka Mzee.
Indoctrination inakufanya unakuwa Mjinga Ujinga sio tusi.
Aya na Hadith haziwezi kuifanya Dini kuwa ya "Kweli" waandishi ni Binadamu kama mimi na wewe.Tuwekee maneno kama hayo kutoka kitabu cha dini yoyote nyengine zaidi ya uislamu
Aya na Hadith haziwezi kuifanya Dini kuwa ya "Kweli" waandishi ni Binadamu kama mimi na wewe.
Uwezo wako wa kufikiri ndio umeishia hapo?Hiyo ndiyo aya iliyokopiwa kutoka biblia ??
Uwezo wako wa kufikiri ndio umeishia hapo?
Dini ya kulazimishana kwa Upanga na Majambia sio Dini huo ni uzushi wa Mwanadamu.Uhuru una mipaka yake.Hata serikali kuna maeneo inahitajika ili kuzuia matatizo kwa watu.