Bandari ya Eliat kusini mwa Israel hatarini kufungwa kutokana na mashambulio ya Houth

Bandari ya Eliat kusini mwa Israel hatarini kufungwa kutokana na mashambulio ya Houth

Ugaidi na hayo wanayoyafanya unafikiri ni kitu gani ??

serikali ya nigeria ililalamika hivi karibuni kuwa Ufaransa wanawapa silaha hao Boko haram au hujasikia ??
Kwanini Ufaransa isiwape silaha Wakristo wa Nigeria au Waisilamu ndio wapenzi wa kuchinja wenzao?
 
Kwanini Ufaransa isiwape silaha Wakristo wa Nigeria au Waisilamu ndio wapenzi wa kuchinja wenzao?

Suala hilo waulize hao wafaransa

unafikiri hapo kua ni dini ? hao wanaokamatwa mbona wengi ni waislamu au hujaona
 
Suala hilo waulize hao wafaransa

unafikiri hapo kuan dini ?+ hao wanaokamatwa mbona wengi ni waislamu au hujaona
Acheni kujidanganya Uisilamu umefeli pakubwa Dini imetekwa na Extremists.
 
Acheni hizo Propaganda za Kitoto mbona hakuna Kikundi cha Kigaidi cha Kikristo?


Hapo kuna propaganda gani ?? na nimekuwekea video , hapo chini kuna maneno yake

Usome uislamu kwanza halafu utaniambia , sio usikilize maneno ya watu,

Ni kama mimi nimeusoma ukristo kwa hivyo sina wasiwasi na ukristo

Robert Dickson Crane. He is a convert from the United States who initially thought Islam was very bad. "I never thought about Islam seriously. All I knew about Islam was that good Muslims had to kill Christians and that Muslim heaven was like a brothel. I was so sick of it," he said. Robert Dickson Crane is a graduate of Harvard Law School. He served as foreign policy advisor to President Richard Nixon from 1963 to 1968,
 
usome uislamu utaelewa kuliko kuambiwa
Uisilamu ni Ideology iliyocoppy kutoka kwenye Uyahudi Ukristo na Zoroastranism hakuna jipya mpaka watu waanze kuchinja Watu.
 
Uisilamu ni Ideology iliyocoppy kutoka kwenye Uyahudi Ukristo na Zoroastranism hakuna jipya mpaka watu waanze kuchinja Watu.


hujausoma uislamu ndio ukaleta maneno ya watu wengine
 
Hapo kuna propaganda gani ?? na nimekuwekea video , hapo chini kuna maneno yake

Usome uislamu kwanza halafu utaniambia , sio usikilize maneno ya watu,

Ni kama mimi nimeusoma ukristo kwa hivyo sina wasiwasi na ukristo

Robert Dickson Crane. He is a convert from the United States who initially thought Islam was very bad. "I never thought about Islam seriously. All I knew about Islam was that good Muslims had to kill Christians and that Muslim heaven was like a brothel. I was so sick of it," he said. Robert Dickson Crane is a graduate of Harvard Law School. He served as foreign policy advisor to President Richard Nixon from 1963 to 1968,
Hamjui kujenga HOJA ila Mumekaririshwa kutangaza Dini ya Mwarabu.
 
Upuuzi tu, Dini gani mpaka ujifunze Lugha ya Kiarabu ndio umsome Mungu.

Nani kakwambia Mungu ni Racist?

Mimi sijakuambia kuhusu dini au uingie uislamu nimekuambia usome uislamu na utafahamu kwa nini ujifunze lugha ya kiarabu ??
 
Mimi sijakuambia kuhusu dini au uingie uislamu nimekuambia usome uislamu na utafahamu kwa nini ujifunze lugha ya kiarabu ??
Nimesoma Uisilamu nimegundua ni Waasisi walikopi kutoka kwenye Vitabu vya Kiyahudi Kikristo na Kizoastra.

Sijui kama utanielewa? Wewe ndio soma Dini yako.
 
Uisilamu umeasisiwa Miaka 1500 iliyopita kwa kuchukua visa kwenye Dini zilizotangulia Waarabu wenyewe walikuwa wanaabudu Masanamu kama leo Wahindu walichofanya ni kuchukua Mapanga na KULAZIMISHA Watu wajiunge nao.
 
Nimesoma Uisilamu nimegundua ni Waasisi walikopi kutoka kwenye Vitabu vya Kiyahudi Kikristo na Kizoastra.

Sijui kama utanielewa? Wewe ndio soma Dini yako.

Kama kweli ulisoma niwekee aya moja tu iliyokopiwa kutoka biblia
 
Back
Top Bottom