Bandari ya Zanzibar imeshapita IGA na Oman kwa sasa ni mikataba ya HGA

Bandari ya Zanzibar imeshapita IGA na Oman kwa sasa ni mikataba ya HGA

Am out for what u think bout, wat i need to know... Port contract is taking for how long? That's all!
Now they are working on HGA,.after HGA you'll see many contracts.

But one for variety of port impvements has been rushed on an MoU style, done deal 👇🏾
 
Zanzibar hamuisikii ikiongelewa kwa kuwa yanayofanyika Zanziba sasa hivi ni tayari wapo hatua za utendaji. Mikataba imefikia hatua za kibiashara, siyo IGA tena.

Mikataba ya Kibiashara hatuwezi kuivujisha sisi lakini kwa kuwa wenyewe watendaji wamewachia, sasa hatuna "obligations" za " Non Disclosure agreements": Wale wambea, majibu yenu hayo:


On January 28, Tanzania’s Zanzibar and Oman Investment Authority signed a memorandum of understanding on Thursday to implement a port master plan on the Indian Ocean coastline of the archipelago. The agreement calls for the development of major ports in the coastal areas of Mangapwani and Bumbwini in the Zanzibar Islands.

f75c6c5fa093c7916415572b2365e63b.jpg


According to the memorandum, the two parties will cooperate to build a large modern port in Mangapwani, about 25 kilometers north of Malindi Port on San Island, for loading and unloading containers, general cargo, and oil and gas.

a749066a033b02dc2019bb93786da965.jpg


Mwini said that this is a major measure taken by the San government to develop the blue economy. It will develop San into a commercial and tourist center in East and Central Africa through the construction of necessary infrastructure in the future. He instructed Sang's relevant government departments to immediately conduct a feasibility study on this multi-billion-dollar project and make sure to make it a success. He also said that the Sang government will retain the plan of the previous government to build a new port in Mpiga Duri (about 3 kilometers north of Malindi Port) and build the port into a fishing port. The existing Malindi Port will be transformed into a special tourist port.Editor/Huang Lij

Somma zaidi na Chanzo: Zanzibar, Tanzania and Oman sign agreement on port development master plan--Seetao.
Hivi zanzibar watu million moja kwanini mnataka kubebwa bebwa na bara? Hivi kweli nyie ni wakushindwa kulipa umeme?
 
Hivi zanzibar watu million moja kwanini mnataka kubebwa bebwa na bara? Hivi kweli nyie ni wakushindwa kulipa umeme?

Si unauzima tu. Ulilazimishwa kuuwasha?
 
Zanzibar hamuisikii ikiongelewa kwa kuwa yanayofanyika Zanziba sasa hivi ni tayari wapo hatua za utendaji. Mikataba imefikia hatua za kibiashara, siyo IGA tena.

Mikataba ya Kibiashara hatuwezi kuivujisha sisi lakini kwa kuwa wenyewe watendaji wamewachia, sasa hatuna "obligations" za " Non Disclosure agreements": Wale wambea, majibu yenu hayo:


On January 28, Tanzania’s Zanzibar and Oman Investment Authority signed a memorandum of understanding on Thursday to implement a port master plan on the Indian Ocean coastline of the archipelago. The agreement calls for the development of major ports in the coastal areas of Mangapwani and Bumbwini in the Zanzibar Islands.

f75c6c5fa093c7916415572b2365e63b.jpg


According to the memorandum, the two parties will cooperate to build a large modern port in Mangapwani, about 25 kilometers north of Malindi Port on San Island, for loading and unloading containers, general cargo, and oil and gas.

a749066a033b02dc2019bb93786da965.jpg


Mwini said that this is a major measure taken by the San government to develop the blue economy. It will develop San into a commercial and tourist center in East and Central Africa through the construction of necessary infrastructure in the future. He instructed Sang's relevant government departments to immediately conduct a feasibility study on this multi-billion-dollar project and make sure to make it a success. He also said that the Sang government will retain the plan of the previous government to build a new port in Mpiga Duri (about 3 kilometers north of Malindi Port) and build the port into a fishing port. The existing Malindi Port will be transformed into a special tourist port.Editor/Huang Lij

Somma zaidi na Chanzo: Zanzibar, Tanzania and Oman sign agreement on port development master plan--Seetao.
Memorandum of understanding sio mkataba. Hata kwenye IGA yetu inatajwa MoU iliyoingiwa kati ya TPA na DPW. Usipotekeleza MoU haupelekwi mahakamani na wala hakuna arbitration. IGA ni mkataba na tusipoutekeleza tunapelekwa Johannesburg.

Lakini unastahili sifa kwa jitihada zako za kutetea msimamo wako. Bahati mbaya ni kuwa hazina logic.

Amandla...
 
Now they are working on HGA,.after HGA you'll see many contracts.

But one for variety of port impvements has been rushed on an MoU style, done deal 👇🏾
Hii ni habari ya MoU iliyosainiwa Aprili mwaka jana wakati wa ziara ya Mhe. Rais Dubai. Na imetajwa kwenye IGA. Sisi hatubishi kuwa kuna uwezekano wa kuingiwa HGA nyingi za thamani kubwa kubwa. Tatizo letu ni masharti yaliyomo katika IGA ambayo ndio yanaongoza HGA. Hata HGA ziwe nzuri vipi, IGA itabakia kuwa na dosari kubwa.

Amandla...
 
Hii ni habari ya MoU iliyosainiwa Aprili mwaka jana wakati wa ziara ya Mhe. Rais Dubai. Na imetajwa kwenye IGA. Sisi hatubishi kuwa kuna uwezekano wa kuingiwa HGA nyingi za thamani kubwa kubwa. Tatizo letu ni masharti yaliyomo katika IGA ambayo ndio yanaongoza HGA. Hata HGA ziwe nzuri vipi, IGA itabakia kuwa na dosari kubwa.

Amandla...
Sasa tatizo lako si unakwenda kuipinga serikali yako mahakamani.


Hakuna JF au mtaani mwenye nguvu ya kuufuta makubaliano ya Kimataifa.

Labda huelewi au wengi wenu hamuelewi kuwa makubaliano yakishakuwa IGA yanakuwa automatic chini ya udhamini wa nchi wanachama wa Umoja wa Mataifa.

Maana yake huwezi kuweka au kuandika mikataba hiyo kwa kupenda kwako bila kufata sheria na kanuni za Umoja wa Mataifa zinazilinda kila nchi husika.

Hapo ndipo ukaona tulpokiuka mikataba ya wawekezaji na makandarasi wa nje, tukaumizwa mahakama za nchi tofauti duniani, yaani hapo ukikiuka masharti, au wewe Tanzania au Dubai basi kinachomlinda kila mmoja wenu ni Umoja wa Mataifa.

Sasa nyinyi kama hamziamini mahakama a Tanzania si nendeni ofisi za Umoja wa Mataifa mkapeleke malalmiko yenu kuwa kuna misingi ya Kimataifa imekiukwa.


Hivi kwa akili zenu fupi mnaelewa mnachokiongea au mnabwabwaja na kuhorola bila mpango.


Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Memorandum of understanding sio mkataba. Hata kwenye IGA yetu inatajwa MoU iliyoingiwa kati ya TPA na DPW. Usipotekeleza MoU haupelekwi mahakamani na wala hakuna arbitration. IGA ni mkataba na tusipoutekeleza tunapelekwa Johannesburg.

Lakini unastahili sifa kwa jitihada zako za kutetea msimamo wako. Bahati mbaya ni kuwa hazina logic.

Amandla...
Mou siyo mkataba? kawaulize Makanisa ya Kimataifa yrenye matawi yake Tanzania kama hayana MoU na serikali ya Tanzania.

Mpaka nnacheka mlivyo mapoyoyo.
 
Nani kakwambia Zanzibar ina mamlaka ya kuingia IGA na nchi nyingine?. Hujui kuwa mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa ni mambo ya muungano?. Tutakukumbusha Zanzibar ilipojaribu kujiunga na OIC kilichotokea!.

Labda kama serikali za CCM siku hizi zimeamua kufumbia macho uvunjwaji wa katiba waziwazi!
 
Sasa tatizo lako si unakwenda kuipinga serikali yako mahakamani.


Hakuna JF au mtaani mwenye nguvu ya kuufuta makubaliano ya Kimataifa.

Labda huelewi au wengi wenu hamuelewi kuwa makubaliano yakishakuwa IGA yanakuwa automatic chini ya udhamini wa nchi wanachama wa Umoja wa Mataifa.

Maana yake huwezi kuweka au kuandika mikataba hiyo kwa kupenda kwako bila kufata sheria na kanuni za Umoja wa Mataifa zinazilinda kila nchi husika.

Hapo ndipo ukaona tulpokiuka mikataba ya wawekezaji na makandarasi wa nje, tukaumizwa mahakama za nchi tofauti duniani, yaani hapo ukikiuka masharti, au wewe Tanzania au Dubai basi kinachomlinda kila mmoja wenu ni Umoja wa Mataifa.

Sasa nyinyi kama hamziamini mahakama a Tanzania si nendeni ofisi za Umoja wa Mataifa mkapeleke malalmiko yenu kuwa kuna misingi ya Kimataifa imekiukwa.


Hivi kwa akili zenu fupi mnaelewa mnachokiongea au mnabwabwaja na kuhorola bila mpango.


Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
IGA inazungumzia English law wewe unazungumzia sheria za Umoja wa Mataifa ambazo hata hazipo. IGA inazungumzia arbitration kufanyika Johannesburg wewe unazungumzia Umoja wa Mataifa. Halafu bila aibu unawaita wenzako wajinga. Aliyekutafsiria IGA amekuchuuza.

Amandla...
 
Mou siyo mkataba? kawaulize Makanisa ya Kimataifa yrenye matawi yake Tanzania kama hayana MoU na serikali ya Tanzania.

Mpaka nnacheka mlivyo mapoyoyo.
Tangu lini MoU imekuwa ni mkataba? Seriously?
Amandla...
 
Hata bagamoyo lilikuwepo, hata Tabora, Kigoma, yalikuwepo. Soma historia yako vizuri.

Machifu ndiyo walikuwa wanauza nguvu kazi na vidosho na WlhamduliLlah wameelekea dunia nzima siyo Zanzibar tu.

Sasa ndugu yangu, uwe na Bandari kubwa ya pekee Unguja na uwe na soilko kubwa halafu soko la watumwa lisiwepo? Na enzi hizo ni kama sasa tumelainisha tu, tunawaita "watumishi" wa, wa, wa, Siku hizo watumwa. Ni yale yale tu.

Hivi sasa hakuna watu wanaosafirishwa kwenda nchi za nje kwa baraka za serikali yetu? Why?

Tumewatupa huko? Hatuwahitaji?

Au ndiyo "utumwa mambo leo"?
Kweli saa mbovu muda mwingine inaseme kweli

Wewe bi Mkubwa sometimes unazungumza madini

Nakupa five Kwa hili
 
Kuhusu Fiji ni kweli kabisa, kuna kabila huko linaitwa "Korobebe" linasemekana lilitokea Tanganyika zamani, Inaweza kuwa waha hawa au Wamanyema hawa, kabisa: Jisomee:


Ratu-Marika-Saukuru.jpg

Ratu Marika Saukuru, the head of the Ne Clan in Korobebe Village in Nadi. Picture: VILIAME RAVAI
The story of how the iTaukei people came to inhabit Fiji initially is a contentious subject.
Some accounts tell of how the ancestors of the first Fijians — Lutunasobasoba and Degei — travelled from Lake Tanganyika in Africa to Fiji.

Huwa sikisii.


Chanzo na soma zaidi:
Watu wa Rufiji hao.
 
Watu wa Rufiji hao.
Tena sawa kabisa, maana waalivyotoka Lake Tanganyika walifata mto rufiji mpaka Pwani. Siku hizo hakuna barabara, ni misitu tu, njia nyepesi na nzuri ilikuwa ni kufata maji.
 
Huu Muungano ni wa kisanii sana. Zanzibar wanawezaje kuwa na mipango yao tofauti juu ya uendelezaji wa bandari wakati bandari ni suala la Muungano?
 
Huu Muungano ni wa kisanii sana. Zanzibar wanawezaje kuwa na mipango yao tofauti juu ya uendelezaji wa bandari wakati bandari ni suala la Muungano?
Huu Muungano utatuletea vita ya sisi kwa sisi.
 
Huu Muungano ni wa kisanii sana. Zanzibar wanawezaje kuwa na mipango yao tofauti juu ya uendelezaji wa bandari wakati bandari ni suala la Muungano?
Sasa mtawaelewa Wazanzibari wakati miaka yote wanasema huu Muungano una mapungufu makubwa sana.
Tatizi ni serikali mbili, inatakiwa ziwe serikali tatu. Kila mmoja na yake na mengine ya Muungano. Kwa serikali mbili lazima ilete utata wa mambo kama hayo.
 
Kwa ID yako wewe ni mama FaizaFoxy, naomba sana turejee kwenye hoja yako ya msingi kwenye huu uzi wako badala ya kuhamisha mada. Pia rejea kwenye maswali ya msingi kuhusu utata kwenye vifungu vya mkataba wa IGA.

Japo uliweka maelezo ya Dr Possy (ambatanisho), ni maelezo na tafsiri yake binafsi ya mkataba ambayo mahakamani yanapingwa. Isitoshe, ama unakwepa kujibu au huna majibu ya hoja za bandiko langu #7
Makubaliano hayo ya IGA yamefata sheria za wapi? Unaongelea nchi mbili hapo, moja Tanzania moja Dubai.

Makubaliano ya ujengwaji bandari mpya Zanzibar yamefata IGA ys sheria za wapi?
 
Mkuu Odhiambo cairo, umeleta hoja inayofikirisha ya Utanganyika. Nasema hivyo kwa sababu ya tukio la uwekezaji bandari za Tanzania bara chini ya utawala wa Mtanzania kutoka Visiwani kama ilivyokufa Siasa ya Ujamaa na Kujitegemea enzi za Utawala wa Awamu ya Pili kwa Azimio la Zanzibar.

Naamini kwamba WaTanzania bara wengi hawapendi wala wasingependa kuitwa waTanganyika, kama waTanzania au waTanzania wa Visiwani wanavyopenda kujiita au kuitwa waZanzibari, na hawajiiti waTanzania.

Kwa sababu hiyo na hizo ulizotaja Mkuu Odhiambo cairo, ukweli inabidi usemwe kuwa suala la uwekezaji katika bandari za Tanzania bara, kwa mkataba (IGA) wenye vifungu tata, chini ya utawala wa Mzanzibari, wakati makubaliano ya IGA ni kati ya JMT na Serikali ya Dubai, ni dhahiri kunaleta hisia ya Utanganyika.

Moyoni, naomba sana tusifikishwe kuanza kujiita waTanganyika au waZanzibari kukapelekea kudai Tanganyika ndani ya Muungano wa Serikali mbili, moja ikiwa haina jina. Waanzilishi wa Muungano, pamoja na kuwa na nia njema, tofauti hiyo hawakuiona, na kama waliona, hawakutilia maanani, kuwa ingekuja kuleta madhara.

Mungu aipushe mbali fikra potofu, na kama ulivyoshauri Mkuu Odhiambo cairo Viongozi wa upande moja wanaposhiriki jambo lenye effect upande wa pili wanatakiwa kuwa waangalifu na wazalendo
Hao wanaoonekana kuwa wachache wanaofanya maamuzi ya wengi huwa na ulinzi wa katiba inayotumika.

Ni dhana ya ubaguzi kumtazama kiongozi kwa msingi wa wapi anapotokea na kuacha picha kubwa ya kile anachokifanya tena chenye kuacha urathi wa kudumu miaka ijayo.

Kwanini utangulize asili ya mtu unapotumia nguvu nyingi kuupinga mkataba wa kibiashara?. Vipi kuhusu uzanzibari wake pale anapofanya mambo chanya yenye kuyagusa maisha ya hao hao wanaoleta ubaguzi leo hii?.
 
Back
Top Bottom