Bandari ya Zanzibar imeshapita IGA na Oman kwa sasa ni mikataba ya HGA

Bandari ya Zanzibar imeshapita IGA na Oman kwa sasa ni mikataba ya HGA

Makubaliano hayo ya IGA yamefata sheria za wapi? Unaongelea nchi mbili hapo, moja Tanzania moja Dubai.

Makubaliano ya ujengwaji bandari mpya Zanzibar yamefata IGA ys sheria za wapi?

Mama/Bibi FaizaFoxy, itapendeza ukajibu hoja zangu badala ya kuniuliza maswali tena.

Isitoshe IGA ni mkataba ulioridhiwa na Bunge, japo tayari uilikuwa umeisha sainiwa na nchi husika (JMT na Serikali ya Dubai). Ni "mkataba" na siyo "makubaliano" tena kwa sababu tayari umeridhiwa na Bungeni (rejea Katiba ya JMT Ibara ya 63(3c)
 
Mama/Bibi FaizaFoxy, itapendeza ukajibu hoja zangu badala ya kuniuliza maswali tena.

Isitoshe IGA ni mkataba ulioridhiwa na Bunge, japo tayari uilikuwa umeisha sainiwa na nchi husika (JMT na Serikali ya Dubai). Ni "mkataba" na siyo "makubaliano" tena kwa sababu tayari umeridhiwa na Bungeni (rejea Katiba ya JMT Ibara ya 63(3c)
Sawa, tatizoi ni nini hapo? Maswali mengine yamelenga kukujibu kiwepesi, yanakufanya ufikiri kuwa hakuna nchi na nchi zinazoweza kufanya kazi bila kuwa na makubaliano au mikataba au vyovyote utavyooita wewe ni sawa kabisa, hilo siyo la kuleta utata. kwa sababu Kiswahili bado ni lugha fupi, huwezi kutafsiri neno kwa neno kutoka Kingereza.

"Agreement" tunalitafsiri makubaliano na "Contract" tunatafsiri Mkataba. Zanzibar wapo stage ya "contract" stage ya agreement wameshapita.


Huu uzi umelenga kuonesha kuwa Zanzibar tayari wapo hatua za kuanza port mpya, kama chanzo kilivyoelezea,

Kwa hiyo linajibu yale madai ya kuwa Zanzibar "imesahauliwa" au "imeachwa". Zanzibar inavyoonesha wameanza kabla yetu. Sisi tumechelewa, kwa hiyo huwezi kuwapelekea ushindani huko kwao, sisi tunafanya ushindano wa kibiashara hapa kwetu.

Tena kwa kukujuza tu, licha ya hiyo bandari mpya, tayari Zanzibar wana mikataba ya uendeshaaji wa bandari zao mbilli na kampuni binafs, kama ilivyokuwa hapa bandari ya Dar na TICTS.

Umeelewa?

Au una tatizo kwenye hilo?
 
Sawa, tatizoi ni nini hapo? Maswali mengine yamelenga kukujibu kiwepesi, yanakufanya ufikiri kuwa hakuna nchi na nchi zinzoweza kufanya kazi bila kkuwa na makubaliano au mikataba. Vyovyote utavyooita wewe ni sawa kabisa, hilo siyo la kuleta utata. kwa sababu Kiswahili bado ni lugha fupi, huwezi kutafsiri neno kwa neno kutoka Kingereza.

"Agreement" tunalitafsiri makubaliano na "Contract" tunatafsiri Mkataba. Zanzibar wapo stage ya "contract" stage ya agreement wameshapita.


Huu uzi umelenga kuonesha kuwa Zanzibar tayari wapo hatua za kuanza port mpya, kama chanzo kilivyoelezea,

Kwa hiyo linajibu yale madai ya kuwa Zanzibar "imesahauliwa" au "imeachwa". Zanzibar inavyoonesha wameanza kabla yetu. Sisi tumechelewa, kwa hiyo huwezi kuwapelekea ushindani huko kwao, sisi tunafanya ushindano wa kibiashara hapa kwetu.

Tena kwa kukujuza tu, licha ya hiyo bandari mpya, tayari Zanzibar wana mikataba ya uendeshaaji wa bandari zao mbilli na kampuni binafs, kama ilivyokuwa hapa bandari ya Dar na TICTS.

Umeelewa?

Au una tatizo kwenye hilo?
Sina matatizo na maelezo yako ila ni nje ya hoja zangu na wanao ona IGA ni mkataba wenye vifungu tata.

Kama Serikali ya Mapinduzi Zanzibar iko kwenye hatua ya mikataba ya utekelezaji, kwa kuwa sijaiona, sina la kujadili.

Hoja kinzani kuhusu IGA, kama nilivyohoji awali, kama mkataba wa IGA, hauterekebisha fingu tata, hisia zangu zinaniekeleza kwamba ndio mwisho wa CCM kutawala nchi hii.

Naamini umesoma tetesi ifuatayo inayozunguka kwenye nitandao ya kijamii. Kama ina ukweli, hoja yangu kuhusu CCM ni mtihani wa kuendelea kuitawala Tanzania.

Kampuni ya Dubai DPW iliyosaini mkataba wa bandari na serikali ya Tanzania tayari imeshasain mkataba na mamlaka za hifadhi za Taifa nchini kushirikiana ktk masuala ya ulinzi na usalama na kutokomeza ujangili. Mkataba iliyosainiwa ni kuhusu ulinzi na utunzaji wa mazingira.

Mamlaka zilizosaini mkataba huo ni NEMC,TANAPA,TFS,TAWIRI na TAWA. mawaziri wa kisekta Sulemain jafo wa mazingira na mwenzake kutoka maliasili na utalii pamoja na waziri wa ulinzi ndio waluosaini mikataba hiyo. Maoni(kitu ndani ya box)

Taarifa za ndani zinaeleza kuwa kampuni hii ya DPW wapo mbioni pia kusaini mikataba ya uchimbaji wa madini nchini na serikali ya Tanzania. Madini adimu yaliyogundulika Tanzania Rare earth element yaliyopo wilayani Songwe mkoani Songwe yanayochinbwa na kampuni ya Australia tayari Australia imewapa tenda hiyo DPW. madini haya hutumika kutengeneza electronic materials huko duniani kama simu,runinga na n.k

Kampuni ya DPW shida yao haikuwa bandari peke yake Bali wanataka kusomba rasilimali zote nchini ikiwemo madini,uwindaji wa wanyama na kusafirisha wanyama nje. Waliamua kuanza na bandari maana ndio sehemu pekee pakutoa na kuingiza mizigo nchini walitafuta kila mbinu wapate Bandari ili wao wakikaa mlangoni iwe rahisi kuvusha nje rasilimali zetu ikiwemo wanyama,pembe za ndovu madini muhimu na kuingiza bidhaa haramu ikiwemo silaha,madawa ya kulevya na haramu zingne nyingi. Serikali ya ccm na wabunge wao wameuza nchi
 
Sina matatizo na maelezo yako ila ni nje ya hoja zangu na wanao ona IGA ni mkataba wenye vifungu tata.

Kama Serikali ya Mapinduzi Zanzibar iko kwenye hatua ya mikataba ya utekelezaji, kwa kuwa sijaiona, sina la kujadili.

Hoja kinzani kuhusu IGA, kama nilivyohoji awali, kama mkataba wa IGA, hauterekebisha fingu tata, hisia zangu zinaniekeleza kwamba ndio mwisho wa CCM kutawala nchi hii.

Naamini umesoma tetesi ifuatayo inayozunguka kwenye nitandao ya kijamii. Kama ina ukweli, hoja yangu kuhusu CCM ni mtihani wa kuendelea kuingoza Tanzania.

Kampuni ya Dubai DPW iliyosaini mkataba wa bandari na serikali ya Tanzania tayari imeshasain mkataba na mamlaka za hifadhi za Taifa nchini kushirikiana ktk masuala ya ulinzi na usalama na kutokomeza ujangili. Mkataba iliyosainiwa ni kuhusu ulinzi na utunzaji wa mazingira.

Mamlaka zilizosaini mkataba huo ni NEMC,TANAPA,TFS,TAWIRI na TAWA. mawaziri wa kisekta Sulemain jafo wa mazingira na mwenzake kutoka maliasili na utalii pamoja na waziri wa ulinzi ndio waluosaini mikataba hiyo. Maoni(kitu ndani ya box)

Taarifa za ndani zinaeleza kuwa kampuni hii ya DPW wapo mbioni pia kusaini mikataba ya uchimbaji wa madini nchini na serikali ya Tanzania. Madini adimu yaliyogundulika Tanzania Rare earth element yaliyopo wilayani Songwe mkoani Songwe yanayochinbwa na kampuni ya Australia tayari Australia imewapa tenda hiyo DPW. madini haya hutumika kutengeneza electronic materials huko duniani kama simu,runinga na n.k

Kampuni ya DPW shida yao haikuwa bandari peke yake Bali wanataka kusomba rasilimali zote nchini ikiwemo madini,uwindaji wa wanyama na kusafirisha wanyama nje. Waliamua kuanza na bandari maana ndio sehemu pekee pakutoa na kuingiza mizigo nchini walitafuta kila mbinu wapate Bandari ili wao wakikaa mlangoni iwe rahisi kuvusha nje rasilimali zetu ikiwemo wanyama,pembe za ndovu madini muhimu na kuingiza bidhaa haramu ikiwemo silaha,madawa ya kulevya na haramu zingne nyingi. Serikali ya ccm na wabunge wao wameuza nchi
Hoja yako haihusiani na mada kabisa. Isome mada uielewe post #1. Usiwe bush lawyer.

Ukitaka kuujadili mkataba au makubaliano, bofya chini hapa:

 
Hoja yako haihusiani na mada kabisa. Isome mada uielewe post #1. Usiwe bush lawyer.

Ukitaka kuujadili mkataba au makubaliano, bofya chini hapa:


Yawezekana hoja yangu haihusiani na mada yako, lakini wewe mwenyewe uliingiza hoja inayohusu mkataba/makubaliano unaolalamikiwa. Nakunukuu Mikataba ya Kibiashara hatuwezi kuivujisha sisi lakini kwa kuwa wenyewe watendaji wamewachia, sasa hatuna "obligations" za " Non Disclosure agreements". Hivyo basi, mimi siyo na sintokuwa "bush lawyer"
 
Hoja yako haihusiani na mada kabisa. Isome mada uielewe post #1. Usiwe bush lawyer.

Ukitaka kuujadili mkataba au makubaliano, bofya chini hapa:

Wazanzibar wakweli ni wawili tu.
Ismail Jussa na Samia Suluhu Hassan.
Watanganyika tuukubali ukweli mchungu.
Na ukweli mchungu ni huu; "Mfumo wa Muungano ni mbaya na ni kandamizi"
Mungu amemleta Rais Samia ili Watanganyika tuuone uhalisia.
Hapa suluhu ni KATIBA MPYA tu.
Na mimi naamini kabisa ndani ya moyo wangu kuwa Rais Mtanganyika hawezi kuleta Katiba Mpya.
Sisi Watanganyika ni wanafiki.
Katiba Mpya italetwa na Rais Mzanzibar.
Haya ya kumuandama na kumkashifu Rais Samia Suluhu Hassan ni kukosa maono.
Hivi issue ya DP World ni kubwa kuliko Katiba Mpya?
Watanganyika tujifunze kuweka akina ya maneno tunapoongea.
Tulikuwa na Rais John Pombe Magufuli kwa miaka 6.
Nani alisikia kauli ya Katiba Mpya ikitokea Ikulu?
Mwenye masikio na asikie.
 
Yawezekana hoja yangu haihusiani na mada yako, lakini wewe mwenyewe uliingiza hoja inayohusu mkataba/makubaliano unaolalamikiwa. Nakunukuu Mikataba ya Kibiashara hatuwezi kuivujisha sisi lakini kwa kuwa wenyewe watendaji wamewachia, sasa hatuna "obligations" za " Non Disclosure agreements". Hivyo basi, mimi siyo na sintokuwa "bush lawyer

Sasa umeona kuna mkataba wa biashara uliovujishwa hapa au ni habari tu walizotowa wao wenyewe na wanamnukuu Rais Mwinyi?

Ukitaka jadili mkataba nimekuwekea link juu hapo.
 
Sasa umeona kuna mkataba wa biashara uliovujishwa hapa au ni habari tu walizotowa wao wenyewe na wanamnukuu Rais Mwinyi?

Ukitaka jadili mkataba nimekuwekea link juu hapo.
Nisingependa kuamini una mawazo ya kutokuhuhoji uhalali wa hiyo mikataba kwa kuwa tu imesainiwa na wenye madaraka. Hao wenye madaraka wamepewa dhamana hiyo kutuwakilisha na haina maana kuwa wanajua kila kitu. Na kwa sababu cheo ni dhamana, wakikosea wawe waungwana kukubali. Kesho tutakuwa nao mitaani.

Mimi naamini, pamoja wewe kudai mimi ni "bush lawyer" nina ufahamu na kujiamini kuwa hata hiyo mikataba ya utekelezaji Zanzibar ina walakini. Msingi wa hoja yangu hii, tumekuwa na wawekezaji wengi tu nchini lakini uchumi wetu bado ni tegemezi. Hivyo basi, mikataba hiyo inatoa rukhusa kwa mataifa ya nje kunufaika na rasimali zetu.
 
Nisingependa kuamini una mawazo ya kutokuhuhoji uhalali wa hiyo mikataba kwa kuwa tu imesainiwa na wenye madaraka. Hao wenye madaraka wamepewa dhamana hiyo kutuwakilisha na haina maana kuwa wanajua kila kitu. Na kwa sababu cheo ni dhamana, wakikosea wawe waungwana kukubali. Kesho tutakuwa nao mitaani.

Mimi naamini, pamoja wewe kudai mimi ni "bush lawyer" nina ufahamu na kujiamini kuwa hata hiyo mikataba ya utekelezaji Zanzibar ina walakini. Msingi wa hoja yangu hii, tumekuwa na wawekezaji wengi tu nchini lakini uchumi wetu bado ni tegemezi. Hivyo basi, mikataba hiyo inatoa rukhusa kwa mataifa ya nje kunufaika na rasimali zetu.
Amini au usiamini chochote upendacho, hapa hakuna mkataba unaojadiliwa.

Unauogopa uzi ule wa mkataba?
 
Amini au usiamini chochote upendacho, hapa hakuna mkataba unaojadiliwa.

Unauogopa uzi ule wa mkataba?
Huwezi kunisemea kwani unajua mada zote na za kwako, kuhusu mkataba nimechangia sana tu. Ila kwa kukwepa kuzijibu hoja za wanaoupinga mkataba, umekuwa ukianzisha mada zenye kushabiana ukiamini zitawatoa kwenye reli.

Hivi lengo kuu la mada ya bandiko hili, unayoshupalia nini hasa?
 
Unauogopa uzi ule wa mkataba?

Rejea michango yangu kuhusu IGA


 
Rejea michango yangu kuhusu IGA


Huko hakuna mkataba. Mkataba upo hapa:
 
Kutoka mwanzo waTanganyika walikuwa na nia njema sana na muungano. Ndiyo maana walijitolea kila kitu kufanikisha muungano. Hawajibagui wala kuwabagua wenzao. Iwe ni kijamii, kisiasa, kiuchumi na hata kiuongozi. Na wanajisikia vizuri hata pale kiongozi wao anapokuwa ni Mzanzibari. Lakini kinyume chake wazanzibari na Zanzibar kwa ujumla wana ile "CHAKO NI CHETU LAKINI CHANGU NI CHANGU"

Viongozi wa upande moja wanaposhiriki jambo lenye effect upande wa pili wanatakiwa kuwa waangalifu na wazalendo. Na kwa sababu waTanganyika wengi (%kubwa) wameshaonyesha kutaka kuwa chini ya mikataba inayotweza utu wao. Ukarimu wao usifanywe ujinga wao.

Watu wa bara wangefanya kidogo tu kama wazanzibari , ya chako ni chetu lakini yangu ni yangu. Muungano huu ungeshakufa karne iliyopita. So waTanganyika wasifanywe wapumbavu. Mikataba iwe fair na wasilazimishwe, kisa wawekezaji ni wajomba, au wa baba mdogo nk.

Waliojitolea ktk Muungano ni Wazanzibari maana walipoteza kila kitu hata mamlaka ya nchi Yao kuyakabidhi Kwa Watanganyika ambao waliwaamini kupitia kiasi,na hawakutegemea kama iko siku Watanganyika watafikia hatua ya kuwabagua na kuwatusi Wazanzibari waliwafanya ni ndugu zao WA damu lkn kumbe wamekuwa ni mbwa mwitu waliovaa ngozi za kondoo! Watanganyika walipoungana na Wazanzibari walikuwa wakiwa hata teklonojia Ile ya Zamani hawana Nyerere aliwabana kisawasawa hata mawasiliano na wengine hawakuwa nayo ndipo alipotoka Ali Hassan Mwinyi Zanzibar na kuwafumbua macho Watanganyika Kwa kuwapatia television na vtu vingu ambayo hawakuvijuwa kama manukato,sabuni za kuongea(baada ya kuzipata walikuwa wakijipaka kama manukato),mavazi mazuri,kujuwa kupika chapati,pilau badala ya ugali,ustaarabu wa kuvaa,kila vyakula vizuri, kuitengeneza juice,na hata kujipamba Kwa akina mama,na sasa kubadilisha ngozi na nywele na pia kufanya biashara za nje ya nchi Jambo ambalo hawakuwa nalo kipindi cha Baba Yao wa Taifa lkn sasa wameshajuwa kila kitu hivyo wanapanua midomo kuwatukana na kuwadhalilisha walimu wao,wamekuwa Bora Sana Wazanzibari wamekuwa wajinga wasiofaa hata kuwaongoza,Kwa Hali hii undugu ukaanza kuondoka na hili linasababishwa na ubaguzi Tu na wala sio jengine.Ubaguzi huu Wazanzibari hatutauvumilia kamwe maana tumevumilia mengi Sana makubwa,hivyo tunawaambia Watanganyika kwamba tumechoshwa sasa ni vyema,nadhani hawasomi historia ya kuabzishwa Kwa Benki kuu!basi kama hawasomi wawaulize waliokuwepo Zanzibar ilitoa kiasi gani?au inawezekana wanakuwa lkn wanajitia fahamu Tu Kwa ubaguzi wao maana wanataka kuuwa mbwaa!na ulitaka kujuwa mbwa lazima umpe jina Baya! Wazanzibari tulikuwa tunawaona wabaya Sana Wapinzani Kwa kuituhumu Serikali ya Muungano Kwa kuikandamiza Zanzibar ktk haki zake,sasa hili limejitokeza hadharani maana ubaya haujifichi na sasa Watanganyika wanafikia kumtusu hadharani Rai's wa Muungano Mh Samia Kwa chuki zao binafsi, sisi tunaona hitimisho wahilu ni kuwa na kila mtu na chake tusifike mwisho mbaya.
 
Waliojitolea ktk Muungano ni Wazanzibari maana walipoteza kila kitu hata mamlaka ya nchi Yao kuyakabidhi Kwa Watanganyika ambao waliwaamini kupitia kiasi,na hawakutegemea kama iko siku Watanganyika watafikia hatua ya kuwabagua na kuwatusi Wazanzibari waliwafanya ni ndugu zao WA damu lkn kumbe wamekuwa ni mbwa mwitu waliovaa ngozi za kondoo! Watanganyika walipoungana na Wazanzibari walikuwa wakiwa hata teklonojia Ile ya Zamani hawana Nyerere aliwabana kisawasawa hata mawasiliano na wengine hawakuwa nayo ndipo alipotoka Ali Hassan Mwinyi Zanzibar na kuwafumbua macho Watanganyika Kwa kuwapatia television na vtu vingu ambayo hawakuvijuwa kama manukato,sabuni za kuongea(baada ya kuzipata walikuwa wakijipaka kama manukato),mavazi mazuri,kujuwa kupika chapati,pilau badala ya ugali,ustaarabu wa kuvaa,kila vyakula vizuri, kuitengeneza juice,na hata kujipamba Kwa akina mama,na sasa kubadilisha ngozi na nywele na pia kufanya biashara za nje ya nchi Jambo ambalo hawakuwa nalo kipindi cha Baba Yao wa Taifa lkn sasa wameshajuwa kila kitu hivyo wanapanua midomo kuwatukana na kuwadhalilisha walimu wao,wamekuwa Bora Sana Wazanzibari wamekuwa wajinga wasiofaa hata kuwaongoza,Kwa Hali hii undugu ukaanza kuondoka na hili linasababishwa na ubaguzi Tu na wala sio jengine.Ubaguzi huu Wazanzibari hatutauvumilia kamwe maana tumevumilia mengi Sana makubwa,hivyo tunawaambia Watanganyika kwamba tumechoshwa sasa ni vyema,nadhani hawasomi historia ya kuabzishwa Kwa Benki kuu!basi kama hawasomi wawaulize waliokuwepo Zanzibar ilitoa kiasi gani?au inawezekana wanakuwa lkn wanajitia fahamu Tu Kwa ubaguzi wao maana wanataka kuuwa mbwaa!na ulitaka kujuwa mbwa lazima umpe jina Baya! Wazanzibari tulikuwa tunawaona wabaya Sana Wapinzani Kwa kuituhumu Serikali ya Muungano Kwa kuikandamiza Zanzibar ktk haki zake,sasa hili limejitokeza hadharani maana ubaya haujifichi na sasa Watanganyika wanafikia kumtusu hadharani Rai's wa Muungano Mh Samia Kwa chuki zao binafsi, sisi tunaona hitimisho wahilu ni kuwa na kila mtu na chake tusifike mwisho mbaya.
Siyo kweli that's your imagination.

Zanzibar imesimama hivyo ilivyo kwa sababu ya Tanganyika. Japo huwa hamtaki kukiri ukweli huo. Kiserikali , kiuchumi, na hata kijamii ni misuli ya Tanganyika. Uimara huo ni misuli ya Tanganyika vinginevyo hamna kitu hapo.

Lakini hili la sasa swala ni mkataba mbovu. Dp World apewe mkataba unaotambua uhai wa Tanganyika kama taifa huru, siyo tena kuwarudisha utumwani kwa hila za ujomba, ushangazi au baba mdogo. Mkataba uwe na vifungu vya kueleweka kuhusu ukomo, kujitoa, mgawanyo wa mapato na hata fidia kwa waathirika. Na kusema haya siyo kuibagua zanzibar, dubai au hata mtawala aliepo madarakani. Bali ni ukweli tu.

Tumeshuhudia Loliondo, Ngorongoro na kwingine vikienda kwa hao jamaa kinyemela. Na hiyo ndiyo hofu ya wananchi. Mbona huko nyuma amefanya mambo na wananchi hawajawahi kulalamika. Why this time ?!.

Na kuhusu kila moja kuchukuwa fito zake. Nikuambie "itakuwani nafuu kubwa kwa Tanganyika". Kwani cry baby atalazimika kujisimamia
 
Back
Top Bottom