Bank gani nzuri kufunguA fixed au saving account?

Mkuu iyo ya kiwanja ni nzuri sana ila sa ivi watu hawana pesa aisee.
 
Watu wa hizo bank hawawezi kuweka wazi kuhusiaa na hili hapa au hawruhusiwi.
 
Vipi kuhusu gharama za hiyo account
 
Good idea
 
Mkuu ongeza kidogo nikuuzie house of high standards!
Fixed account deposit zina interest nzuri ukideposit huge amounts e.g 50mil+ hapo kidogo unaweza ona faida.
Niliweka 8mil on fixed account for a year nikapata tsh 180,000/=only (it was crdb)
Buy assets for secured future returns.
 
Iilezee kidogo hiyo nyumba tafadhali.
 
Iilezee kidogo hiyo nyumba tafadhali.
OK..!
Nyumba iko Banana ( ukonga)
Ni nyumba ya kisasa ina
1. Three bedrooms ( one master)
2. Areas covered 1500square meter (34×34)
3. Ina fence, maji na umeme
4. Kitchen, stores, public toilet ( inside & outside)
5. Ina jipsum nyumba nzima, plus tiles
6. All necessary Documents available.

N.b ni nyumba ambayo ipo complete no need of finishing/maintenance!
And you allowed to pay on instalment terms!
 
Maelezo mazur sana mkuu haya tupe bei.
 

Mkuu ebu njoo inbox kwa maelezo zaidi
 
Maelezo mazur sana mkuu haya tupe bei.
It's 45mil but you can pay 75% of that amount and the remaining balance will be paid in 2 to 4 months later after mutual agreements.
 
duuu aseee ndugu ushauri wako hata mimi nimeupenda nikipata hela lazma niiweke katka mfumo wa dollar
 
Nimepapenda hapo ulipomshauri asikubali kuingia kwenye forex [emoji3]
 


Access Bank hizo ndizo let zao kwa mwezi July nafikili lkn juzi nimepata sticker yao mpya naona kuna punguzo la km 2% ukilinganisha na hii ya mwezi July . Nimejaribu kuitafuta kwenye email lkn siioni. Sasa sikia mkuu kama huyo pesa unaiweka fixed ili upate faida, means fixed ndiyo Iwe km biashara yako achana na hilo wazo, lkn km huna pa kuiweka wakati unatafakali nini cha kufanya bas all the best. Hizi acc za fixed zinalipa sana km ukiweza kudepost kwa mwezi moja moja unachukua faida then unaomba kudepost tena. Maana asilimia ya mwezi ni 8.2% while asilimia ya mwaka ni 12%. Si ujinga huo
 
Hapo sasa kiongozi tutafutane nikuelekeze kiundani au nipe whats app number nikutumie Kitabu kinachoelezea Bitcoin ujifunze kiundani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…