Bank gani nzuri kufunguA fixed au saving account?

mkuu ulitaka kusema million moja laki nane au?
 
jaribu kuulizia NBC, account ya malengo mkuu. Hii huwa ni account ya fixed then waweza weka kwa miezi kuanzia sita.
 
m
mkuu hiyo asilimia 8.2 kwa milioni 20 sio mbaya kula kila baada ya siku 30
kumbuka hapo pesa yako yote bado ipo
huumizi kichwa
bado unafikiria nini vha kufanya.
ni bora akaweka fixed kama kweli wanatoa hiyo 8.2% ya 20M per month
 
m

mkuu hiyo asilimia 8.2 kwa milioni 20 sio mbaya kula kila baada ya siku 30
kumbuka hapo pesa yako yote bado ipo
huumizi kichwa
bado unafikiria nini vha kufanya.
ni bora akaweka fixed kama kweli wanatoa hiyo 8.2% ya 20M per month
8.2 Kwa mwezi benki gani?
 
8.2 Kwa mwezi benki gani?
au nimesoma vibaya hiki kipeperushi? tena sio 8.2 ni 10%

 
Unajua bank nyingi wanakata 1% ya USD unayowithdraw?
 
au nimesoma vibaya hiki kipeperushi? tena sio 8.2 ni 10%

umesoma kipeperushi vizuri lakini haujaelewa.... ukiona riba ni asilimia 8 kwa mwezi.. haimaanishi utalipwa asilimia 8 yote.. ila utalipwa 8/100 x hela uliyoiweka fixed kisha unagawanya kwa 12 ... huu ni uhuni ambao bank haikuambiii maana wanajua utaghairi
 
Nadhani hiyo ya kiwanja nayo ni ya vipindi tu kama hisa.

Kuna jamaa yangu amewekeza kwa mtindo huo, sasa hivi anahaha kuuza atatue suala lake, hizo ofa zinazokuja ni nusu ya matarajio, anaona mauzauza tu.
 
Japokuwa mimi ni fan mzuri wa Man city kwa hiyo nikiiona picha ya Pogba naona mahasimu wangu waliuziwa cheni ya bandia kwa pesa nyingi 🙂🙂 Ngoja niende kwenye kuchangia

Kuna kijana fulani alipata deal la kwenda ughaibuni kufanya part time job kwa karbia mwez na lengo la hao foreigner lilikuwa ni kumuinua kiuchumi kutokana na juhudi zake kwenye masomo na wakamuona yupo smart, hivyo wakahaidiana kula kulala itakuwa juu yao ila salary yake watakuwa wakiiaccumulate mpaka mwisho wa mkataba wammwekee yote kwenye akaunti basi na ikawa kama walivyohaidiana.
Akiwa ughaibuni alikuwa na mpenz wake waliokuwa hawana mawasiliano mazuri, aliposikia jamaa yupo nje mawasiliano yakaiva jamaa akawa anadanganya ana matatizo nyumbani akawa anapewa pesa kidogo kutoka kwenye salary basi yeye akawa anamtumia msichana ( vijana wanaita demu) afanye mpango wa kupanga room nzuri anunue vitu vyote vya ndani ili akirudi waishi wote, akatekeleza kama alivyoambiwa.
Swali: Hivi kuna mwanamke yoyote ambaye hata kama hakupendi/humvutii ataona pesa au kunusa harufu ya pesa akaacha kukuganda?
Mwishowe mkataba ukaisha akarudi Tz au nchi ya Vi-wonder kama Mh wetu anavyoiita na pesa yake kwenye akaunti around 25mil wakaanza kumake a living upon that money mda ukaisha wakaweka mipango, wakafungua biashara ambayo inahitaji large capital outlay but on the other side ina return ndogo (Hatuwezi tukasema ina profit ndogo au kubwa kwa sababu bado wanastruggle kurecover Fixed na day to day costs) na hali ya biashara in long term haitowalipa.

Maswali nnaoyojiuliza: Hivi wale foreigner wakija kuangalia maendeleo yake watamwelewa vipi?

Somo:
  • Refer kwenye post niliyoquote
  • Ukiwa na pesa/harufu ya pesa kila mwanamke ataigiza kukupenda
 
asante!
siwez weka milion zangu kama ni hivyo
 
Umenifungua akili sana mkuu sijawahi kuwaza kitu kama hiki, salute kwako !
Naona haujafikiria gharama ya kuendesha account ya fedha za kigeni pia rate za bank sio rafik kabisa, competitive exchange rate za madukani posta na k,koo ni nzur kuliko bank, Mimi nanunua dola madukani posta naziweka home then nikipata rate nzur nachange japo no risk lakin benk usitegemee faida japo salama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…