Hahha jamaa walimpa rate za foreign currency Ila kwa upande mwingine kwa pesa aliyoweka huwezi pewa rate kubwa mkuu8mil upate 180,si kwel,mi naweka sana fixed mkuu,ngoja tupige mahesab tuone,.
8mil× x/100/12. ×12=180000 tafta x hapo tujue crdb rate yao ngap.,,hapa nmepata 2.25,..haiwezekan hela hii zaid ya 5mil upewe rate ya 2.25,......mi naweka sana fixed mkuu,hapa umeniongopea
Nimekuelewa Mkuu.Hapa nina maana usije wekeza kwny ardhi halafu ukipata shida au uhitaji wa hela ndiyo ufikirie kukiuza ili uweze tatua shida, hapa namaanisha nunua ardhi ukiona value imepanda kiasi cha kukuridhisha bila msukumo wa shida uza, ukiuza kwa ajili ya shida wateja watakupangia sana bei
Sure...wengi wakiwa Na uhitaji wa USD account Huwa hawaulizi charges matokeo yake ndo ayo mwisho wa siku wanaliaHahah hopefully wengine wanaopanga kufungua USD accounts watajifunza kitu.
Wahoji vzr 'other hidden costs' related to hizo accounts kabla hawajaja kulia kilio cha mbwa mwizi,hahah.
Happy holiday mkuu.
Bas ahame crdb,mi naweka sana amount kama hizo,access bank,na mara ya mwisho rate ilikua 14.3 nadhan,..sasa kama crdb ndo hvyo bas hawafai,hiz bank ndogo znavutia wateja ndomana znaweka rate za maana,crdb washashiba waleHahha jamaa walimpa rate za foreign currency Ila kwa upande mwingine kwa pesa aliyoweka huwezi pewa rate kubwa mkuu
Namuombea msamaha mkuu jamaa huwa namuona ni mkali kwenye kila kada atakuwa kateleza tu🙂🙂Sikuwahi kujua kama we chizi hua unajua chochote khs ma bank.
Ukweli kabisaa mkuu.Sure...wengi wakiwa Na uhitaji wa USD account Huwa hawaulizi charges matokeo yake ndo ayo mwisho wa siku wanalia
Sasa hivi kuna bank nyingi sana competition pia imekuwa kubwa ni Bora kujua product za bank tofauti kabla hujafungua iyo account
Assnte sana mkuu.Namuombea msamaha mkuu jamaa huwa namuona ni mkali kwenye kila kada atakuwa kateleza tu?
Ngoja apate somo kidogo Benki kuu wanatoa maelekezo kwa benki zote ili kupunguza au kuongeza mzunguko wa pesa
kwa kuconrol
Hili limetokea hawamu hii watu walikuwa wanakopa sana lakini wananunulia magari, wanajenga na kufanya mengineyo ikitokea muda wa kulipa unakaribia kuisha mtu anaingia benki nyingine kukopa ili alipe mkopo wa zamani. Kumbuka unapokuwa na collaterral kubwa ndivyo kiasi chako cha ukopaji kinavyokuwa kikubwa.
- Riba
- Benki lazima iwe na kiasi ambacho iitakideposit kiasi BOT kama mteja anavyodeposit benki ili kujifinance ikitokea mambo yameenda mrama
- Ni lazima kutoa mikopo kwenye project kubwa hasa za kiviwanda
- Kuwa tayari kuongeza kiasi na amana BOT ikitokea kuna mfumuko wa bei ili kupunguza mzunguko wa pesa
- banks kupunguza kukopesha ikionekana mzunguko wa hela ni mkubwa kuliko uzalishaji.(Hili nalifafanua hapa chini)
Kumbuka mwanzo alikopa kiasi fulani kutokana na udhamini kuwa mdogo ila baada ya kuongeza mali uwezo wa kukopa unakuwa mkubwa hivyo deni la mwanzo linalipika kirahisi na maisha yanasonga.
N.B Sijatoa mbinu ya kukopa
EquityJamani kuna ka hela kangu kama 20mil nimekapata ghafla... Wakati nafikiria cha kufanya nimeona nibora niiwekwe bank kwanza. Mwenye kujua bank yenye interest nzuri anisaidie ili niweze kupata kijifaida wakati naendelea kutafakari.
Ni kwel sema mabank alafu wengi hawajui haya mabank makubwa sio rafiki kabisa kwa watu wenye mitaji midogo wao wapo kimaslahi tu ni Bora kufanya research kwenye hizi bank ndogo mana hutoa rate nzuri kulinganisha Na hizo kubwaBas ahame crdb,mi naweka sana amount kama hizo,access bank,na mara ya mwisho rate ilikua 14.3 nadhan,..sasa kama crdb ndo hvyo bas hawafai,hiz bank ndogo znavutia wateja ndomana znaweka rate za maana,crdb washashiba wale
Stanbic kwa Saving Account hawana makato, ila deposit ni Dola 300Sasa hivi kuna bank nyingi sana competition pia imekuwa kubwa ni Bora kujua product za bank tofauti kabla hujafungua iyo account
That is what I am doing, yaah in risk lakin mpaka watu wajue unapesa ndani, nimepiga hela sana kwa kuhold dolar,Kununua dollar ni Bora uweke ndani lakini ukikosea wakazipitia utapiga ukunga wa kila rangi
Yaani, kuweka hisa na fixed ni biashara kichaa, kikubwa tuliza akili jaribu fikiria biashara za kilimo(usilime wape huduma wakulima au kama kulima tumia irrigation system) pia biashara za madawa, chakula na huduma hapo lazima utoke hata vyuma vikaze vp?Nimekuelewa Mkuu.
Ila sasa uwekezaji kama huu si ndio maana nimeufananisha na hisa.
Sasa njia bora zaidi ya kuchagua ni ipi ili walau ufikie malengo yako ya kuwekeza pale uhitaji unapojitokeza?
Maana ni mtihani kwa kweli.
Maintenance fee yao je kwa mwez ni dollar ngap?Stanbic kwa Saving Account hawana makato, ila deposit ni Dola 300
Patamu hapo.Maintenance fee yao je kwa mwez ni dollar ngap?
HahhahaPatamu hapo.
Unamuuzia nan.Kanunue vipande UTT mkuu.. Vipande vinapanda thamani daily.. Na Muda wowote ukihitaji fedha yako unaenda kuuza vipande vyako..
Vipi kuhusu gharama za hiyo account