Dda aisee this is supercalifragilisticexpialidocious....Kila bank unaweza kufungua account ya dollars kwa maana hyo pesa uliyonayo uibadili kuwa ktk dollars kisha uiweke. Halafu unakua unacheck dola imepanda kwa kiasi gani halafu unawithdraw dola chache kulingana na mahesabu yako. Ilimradi isishuke au isipungue ile uliyoweka kama mtaji.
FBN ni bank gani hio mkuu?Fbn wana account ya $ bure kabisa ilimradi isishuke $50.
Hakuna gharama ya account ila sina hakika kama wakati wa kudraw wanacharge nini
Mmmh.It's 45mil but you can pay 75% of that amount and the remaining balance will be paid in 2 to 4 months later after mutual agreements.
soko la hisa miyeyusho, Nina karibia miezi 2 toka niweke hiza za vodacom sokoni, mpaka sasa bado hazijanunuliwa. kwa hiyo ukiweka kwenye soko LA hisa siku ukihitaji fedha zako, huna uhakika wa kuzipata.Fixed account unakuwa na uhakika utapata pesa yako na faida asilimia fulani..
Hiyo soko la hisa unakua hauna uhakika muda unaohiaji hizo ela unaweza kuuza hisa kwa mili15 wakati wwe ulinunua mil20..
Usimshauri ovyo mwenzio,usikute weww huna hisa hata ya vodacom unajifanya unajua
Very serious!Mmmh.
Mkuu hii bei ni kweli ama utani?
Naijua nashangaa unaiita FBN.
huwezi kuita Faida wakati hufanyi biashara ,sema RibaJamani kuna ka hela kangu kama 20mil nimekapata ghafla... Wakati nafikiria cha kufanya nimeona nibora niiwekwe bank kwanza. Mwenye kujua bank yenye interest nzuri anisaidie ili niweze kupata kijifaida wakati naendelea kutafakari.
Nisaidie Jambo Moja,unaziuza wapi ziki appreciate? Au unaenda kuzibadili Bureau de Change? Natamani hii kitu!That is what I am doing, yaah in risk lakin mpaka watu wajue unapesa ndani, nimepiga hela sana kwa kuhold dolar,
Daah king'asti
Iko banana sehemu gani?Very serious!
Bei ilikua 55mil but imepungua mpaka 45mil.
Welcome.
Fafanua mkuu,miyeyusho kivp?Bora uipeleke kwenye soka la hisa fixed account miyeyusho
Mkuu Forex ina shida?Saf sana kwakuliona hilo vijana wengi wanapata pesa nyingi kama izo mwisho wa siku wanakuruka kufungua miradi ambayo haina tija kwasababau to wanahela nyingi wakizani hazitakwisha and the day wanabaki hata pesa ya kula hawana
Weka kwanza pesa zako bank then tumia kama mwezi mmoja omba ushauri, hata hapa Jf kuna vichwa wengi watakusaidia nibiashara gani itakufaaa.
All the best. (Usikubali ukaingia kwenye forex).