Bank gani nzuri kufunguA fixed au saving account?

Bank gani nzuri kufunguA fixed au saving account?

Kila bank unaweza kufungua account ya dollars kwa maana hyo pesa uliyonayo uibadili kuwa ktk dollars kisha uiweke. Halafu unakua unacheck dola imepanda kwa kiasi gani halafu unawithdraw dola chache kulingana na mahesabu yako. Ilimradi isishuke au isipungue ile uliyoweka kama mtaji.
Dda aisee this is supercalifragilisticexpialidocious....
 
It's 45mil but you can pay 75% of that amount and the remaining balance will be paid in 2 to 4 months later after mutual agreements.
Mmmh.

Mkuu hii bei ni kweli ama utani?
 
Watu wengine bwana hawawatakii kheri wenzao. Mwenzio anaomba ushauri kwa nia njema kabisa, lakini anapewa ushauri wa uongo, lengo ni nini! Umelazimishwa! si ukae kimya tu!
 
Fixed account unakuwa na uhakika utapata pesa yako na faida asilimia fulani..
Hiyo soko la hisa unakua hauna uhakika muda unaohiaji hizo ela unaweza kuuza hisa kwa mili15 wakati wwe ulinunua mil20..

Usimshauri ovyo mwenzio,usikute weww huna hisa hata ya vodacom unajifanya unajua
soko la hisa miyeyusho, Nina karibia miezi 2 toka niweke hiza za vodacom sokoni, mpaka sasa bado hazijanunuliwa. kwa hiyo ukiweka kwenye soko LA hisa siku ukihitaji fedha zako, huna uhakika wa kuzipata.
 
Jamani kuna ka hela kangu kama 20mil nimekapata ghafla... Wakati nafikiria cha kufanya nimeona nibora niiwekwe bank kwanza. Mwenye kujua bank yenye interest nzuri anisaidie ili niweze kupata kijifaida wakati naendelea kutafakari.
huwezi kuita Faida wakati hufanyi biashara ,sema Riba
 
Kwa mm nilizunguka benki karibu sita lkn nilikuja kuona NMB is the best kwa fixed account kwan wanaruhusu kufix hata kwa single month na kwa hela yako ww kwa mwezi utakua na interest ya 4% ambayo ni zaidi ya Tsh 800,000 kama sijakosea kitu ambacho sio haba...ni mshahara wa mtu huo.
 
That is what I am doing, yaah in risk lakin mpaka watu wajue unapesa ndani, nimepiga hela sana kwa kuhold dolar,
Nisaidie Jambo Moja,unaziuza wapi ziki appreciate? Au unaenda kuzibadili Bureau de Change? Natamani hii kitu!
 
Saf sana kwakuliona hilo vijana wengi wanapata pesa nyingi kama izo mwisho wa siku wanakuruka kufungua miradi ambayo haina tija kwasababau to wanahela nyingi wakizani hazitakwisha and the day wanabaki hata pesa ya kula hawana


Weka kwanza pesa zako bank then tumia kama mwezi mmoja omba ushauri, hata hapa Jf kuna vichwa wengi watakusaidia nibiashara gani itakufaaa.


All the best. (Usikubali ukaingia kwenye forex).
Mkuu Forex ina shida?
 
Back
Top Bottom