Kingfisher
JF-Expert Member
- May 22, 2015
- 4,740
- 7,679
Hiv eti wameambizana??wengine hata hawaendan na hizo windhoekMimi mwenyewe nakunywa hizo (mataputapu). Hapo nimemaanisha kuwa wanawake wa siku hizi wanajiona viwango sana kiasi kwamba kunywa local beers kwao ni kama kunywa gongo au banana.
Mfano hapa nilipo(muda huu), wanauza TshUnajua Bei ya Hennessy kwenye bar za kawaida?
Huku niliko sijui wanatuuzia feki? Chupa ndogo 60k jMfano hapa nilipo(muda huu), wanauza Tsh
130000
Inaweza kuwa sahihi mkuu, kwa chupa ndogo.Huku niliko sijui wanatuuzia feki? Chupa ndogo 60k j
Karibu na kituo cha polisi nyuma ya sokoni # SEWA BARBuguruni sehemu gani pale?naionaga tu ile kimboka pale mataa
Hao madada hawana tatizo lolote, wanakunywa hivyo kwa sababu wana uhakika wa kuvipata toka kwa wajinga wanaowanunuliaBar Maid wengi sio wameingia katika kazi hii kwa kupenda hii ni kazi kama kazi nyingine, nina mifano mingi sana marafiki na ndugu zetu wamepata wenzao kupitia hawa Bar Maid.
Siku mbili hizi nilibahatika kwenda Magomeni Usalama pale kuna wauzaji wa magari ya mkononi. Nikatia timu Bar inaitwa Kisuma. Pale kuna wahudumu wamejaliwa sana wana mizigo haswa. Nikaagizia chakula mimi situmii kilaji. Nikawa nimekaa na jamaa wawili akaja mhudumu akatusikiliza.
Mimi nikaagizia changu nao jamaa wakaagizia chao. Wakampa ofa bibie mhudumu awajoin wakamuuliza unatumia kinywaji gani akasema sijui Windhoek akaambiwa chukua mbili. Alivyotoka kwenda kuhudumia meza nyingine nikasikia njemba zinalia huyu dada sio kabisa sasa hizi bia mbili ni 7000 kwani asingekunywa bia ya kawaida na akabakisha pesa hata ya kuwekeza ndani.
Looh nikajiuliza mhudumu huyu mbona hana akili unachoma 7000 wakati hata angewaambia ninunulie chakula nitakula baadae.
Nikasema acha niangalie meza zingine walizokaa wahudumu unakutana na Windhoek na zile sijui Pri nini sijui ukiuliza bei ni 3500 Bar Maid unachoma pesa hiyo kwa ushamba wa kuiga vya mjini ukitoka hapo hauna hata mia ya mihogo ama utakuta wanalala gheto.
Kisuma Bar ukweli mna wadada wadada ambao hata shekhe kipozeo udenda unamtoka ila badilikeni kunywa maji ya Ilala utaweza hata kupewa chenji.
Umenikumbusha mbali Sana. SEWA BAR ukienda toilet Kuna ka uchochoro kanatokea gesti halafu mbele kidogo Kuna container bar.Karibu na kituo cha polisi nyuma ya sokoni # SEWA BAR
Wenye experience zao.Barmaid ukimuelewa usimnunulie beer!! Muite muelewane kujua anafunga kazi saa ngapi na utampa kiasi gani? Kama una haraka unam-tip manager anakuachia mzigo unasepa nao.
Ukimnunulia bia ujue hatazinywa bali anawekesha kaunta baadae achukue mshiko. Na ukimuna ana chupa ya windhoek jua haina pombe ndani anaweza kuzuga kuweka hata maji tu.
Umenikumbusha mbali Sana. SEWA BAR ukienda toilet Kuna ka uchochoro kanatokea gesti halafu mbele kidogo Kuna container bar.
Kabla ya kufika toilet kulikua na chumba ambacho kina Giza Giza mchana na hapo ndio Malaya walipokua wanajipanga. Mteja mkware anajifanya anakwenda toilet kufika kwa kile chumba Cha Malaya Ana select mmoja Kisha hao mpaka gesti.
Baada ya muda unamuona mteja anarudi mezani na Malaya anarudi kusubiri mkware mwingine.o
Hiyo gesti imeua watu wengi Sana.
Ana maanisha elfu tatu (3000)hiyo 3k unamaanisha laki tatu?
Mwaka wa nne huu sijaona mlango wa gesti.Upo gesti gani saa Hizi?
Mkuu umefanya maamuzi mazuri na yenye tijaMwaka wa nne huu sijaona mlango wa gesti.
Laki 3??? Akamnunulia bar maid afu akampotezea?Nakumbuka siku moja nilienda kiwanja kimoja mjini mwanza nikiwa na dogo langu(msela) akiwa kavaa kawaida sana na anakunywa maji.
Kuna bar maid alimuelewa sana akamuita na kumuomba namba yule bar maid akamjibu kwa jeuri sana kwamba ukitaka kuongea na mimi ninunulie kinywaji akanunuliwa Hennessy (pale wanauza 300k Hennessy kubwa) alafu akamwambia usikae na mimi sijapenda perfume yako nipe namba ukakae sehem tofauti na mimi then nitakutafuta, dogo hakumtafuta wala nini kakausha tu.
Kila muda yule bar maid anakuja kuuliza mbona hunipigii baby dogo anamchora tu.
Kuna siku nilikwenda bar moja huko Kitunda kwa ndugu zangu toka Kanda maarum. Nikamkuta bar maid na kumwambia akaniletee nusu mkia ili tule wote. Tukala wote na ndizi mbili mbili. Kisha nikamuambia kila ukiniletea kinywaji na wewe chukua Cha kwako ukipendacho. Wakati naondoka nikajitia kumpotezea. Aloo nilipewa namba kwa lazima.Laki 3??? Akamnunulia bar maid afu akampotezea?
Kwa nini uliamua kula nae nusu mkia?🙄Kuna siku nilikwenda bar moja huko Kitunda kwa ndugu zangu toka Kanda maarum. Nikamkuta bar maid na kumwambia akaniletee nusu mkia ili tule wote. Tukala wote na ndizi mbili mbili. Kisha nikamuambia kila ukiniletea kinywaji na wewe chukua Cha kwako ukipendacho. Wakati naondoka nikajitia kumpotezea. Aloo nilipewa namba kwa lazima.
Sasa huyu lakhi tatu halafu barmaid akae mbali naye? LABDA Kama sio Dar es salaam hii....
Amini mkuu,Laki 3??? Akamnunulia bar maid afu akampotezea?