Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Mkuu nilifikia Kijenge Nikaona niende na Ndinga tu Maana Davoo ni Mimi MwenyeweUnaenda kulewa na gari kama sio kutafuta ajali za kijinga ni nini
Unataka kustarehe Acha gari Hotel uliyofikia au nyumba uliyofikia
La sivyo ni kujitafutia majanga tu au ni show off
Mimi Niliona hivyoHii imekaaje,
Counter ikawa na usalama zaidi huku wahudunu wa bar ileile ni wezi.
Mkuu nilifikia Kijenge Nikaona niende na Ndinga tu Maana Davoo ni Mimi Mwenyewe
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
blaza hata kama ulikua huna namna ila ulifanya ujinga mkubwa sana, next time be a manMi nilipigwa laptop mlimani city kwa staili hiyo hiyo
Halafu kwa kupitia walinzi nikainunua tena laptop ile ile ilikua ya ofisi na inavitu muhimu kweli.......... hii dunia yasipo kukuta hutaelewa mtu akikwambia utamuina mjinga
Niliinunua laptop yangu mwenyewe kudadeki
Kwenye mabar makubwa ya mjini mara nyingi wafanyakaz niwachache hao wengne wadangaj na wez ata wakiwa na uniform. Kuwa makini.Hii imekaaje,
Counter ikawa na usalama zaidi huku wahudunu wa bar ileile ni wezi.
Ulitaka afanyaje ili kuipata laptop yake? Ki.mbulu weweblaza hata kama ulikua huna namna ila ulifanya ujinga mkubwa sana, next time be a man
huwez kuelewa mtoto mzuri,Ulitaka afanyaje ili kuipata laptop yake? Ki.mbulu wewe
Mkuu kunavitu ni vigumu kuvielewa hadi vikutokeeblaza hata kama ulikua huna namna ila ulifanya ujinga mkubwa sana, next time be a man
Kichwa cha habari cocoriko main topic Picnic unaumwa?Wakuu Niko Arusha Kwenye Miangaiko Sasa Jana nikaenda Bar ya picnic Arusha, Sasa Wakati ñaenda Nikamwambia Mwenyeji wangu, yule Mwenyeji wangu akanambia kuwa makini Na picnic kuna wezi kama wote, nikamjibu Poa.
.
Lakini yule Jamaa akanambia watu wageni wanaogopa Sana Hapo maana ULINZI zero.
.
Nikafika pale nikaagiza Kinywaji Changu, Grants Ile Kubwa nikawa nanyonya mdogo², Sasa Kuna Binti akawa amekaa kaubta ananiangalia sana.
.
Badae akamtuma mhudumu akwambia, kamwambie yule Kaka nimempenda Jinsi alivyo mrefu na Rangi yake nyeusi nikasema asante.
.
Sasa nikaenda Chooni yule mwanamke ananikonyeza halafu for the time being akanifata chooni Ananambia mbn na kuita Uje Halafu hauji, Eti njoo ule nyama Sawa Nikamjibu Poa.
.
Ila Sikwenda maana nilishaambiwa Niwe makini na wahudumu+wateja, badaye kanifata nilipokaa Ananambia ninahamia Hapa Tukae Wote.
.
Wakati Huo Nimepaki Gari nje, Nikamjibu sitakaa Sana Ila nitaondoka Kwenda Kupumzikia, akajibu nitakusindikiza, Wala sikujibu chochote.
.
Badae Akili ikanambia Toka nje kaangalie gari, nikatoka Ila kabla sijatoka nje nikachukua Kinywaji Changu nikapeleka counter Kwa usalama zaidi.
.
Ila natoka nje kupiga macho Kwenye gari Naona Mtu Yuko ndani ya gari kusogea nakuta anafight kufungua radio, alivyoniona akakurupuka akataka kukimbia nikamuwahi nikampiga teke akaanguka Chini, nikampa teke lingine la Tumboni akatulia, nikaona gari ya Polisi wale Polisi wakaja wakaniuliza vipi nikawaelezea wakamchukua wakamweka Kwenye gari Yao.
.
Kurudi Kuangalia gari kumbe alivunja kioo Kidogo Akaingiza Mkono aka-unlock zile lock za milango.
.
Nikaenda kuwalezea Uongozi wa Bar Wala hawajali wanajibu majibu ya Kawaida Tu.
.
Nikachukia nikaenda nikachukua kinywaji Changu nikasepa.
.
Wakuu sitaki kumwaribia biashara Ila Pale Sio Pazuri Wezi ni Wengi Sana, na Sjui Uongozi wa Picnic Hawalijui Hilo.
Ni kweli kabisa, hao wengine wanakuwa wameegesha tu sio wahudumu, wakipata danga au mchongo wowote wanasepaKwenye mabar makubwa ya mjini mara nyingi wafanyakaz niwachache hao wengne wadangaj na wez ata wakiwa na uniform. Kuwa makini.
acha woga banamdogo,be strongHapo kaloleni kumekuwa Mahalia hatari sana kuna hao vijana wa bodaboda wanajulikana kwa jina la tatu mzuka wakikukuta unachezea mapanga ya kutosha wanachukua kila kitu na hapo kaloleni maaskari wapo muda mwingi sana ina maana hawajulikani Hawa tatu mzuka