Bar ya Picnic Arusha Kuna wizi kuanzia wahudumu, Wateja Wanawake mpaka Bodaboda Wanaopaki nje

Bar ya Picnic Arusha Kuna wizi kuanzia wahudumu, Wateja Wanawake mpaka Bodaboda Wanaopaki nje

Wakuu Niko Arusha Kwenye Miangaiko Sasa Jana nikaenda Bar ya picnic Arusha, Sasa Wakati ñaenda Nikamwambia Mwenyeji wangu, yule Mwenyeji wangu akanambia kuwa makini Na picnic kuna wezi kama wote, nikamjibu Poa.
.
Lakini yule Jamaa akanambia watu wageni wanaogopa Sana Hapo maana ULINZI zero.
.
Nikafika pale nikaagiza Kinywaji Changu, Grants Ile Kubwa nikawa nanyonya mdogo², Sasa Kuna Binti akawa amekaa kaubta ananiangalia sana.
.
Badae akamtuma mhudumu akwambia, kamwambie yule Kaka nimempenda Jinsi alivyo mrefu na Rangi yake nyeusi nikasema asante.
.
Sasa nikaenda Chooni yule mwanamke ananikonyeza halafu for the time being akanifata chooni Ananambia mbn na kuita Uje Halafu hauji, Eti njoo ule nyama Sawa Nikamjibu Poa.
.
Ila Sikwenda maana nilishaambiwa Niwe makini na wahudumu+wateja, badaye kanifata nilipokaa Ananambia ninahamia Hapa Tukae Wote.
.
Wakati Huo Nimepaki Gari nje, Nikamjibu sitakaa Sana Ila nitaondoka Kwenda Kupumzikia, akajibu nitakusindikiza, Wala sikujibu chochote.
.
Badae Akili ikanambia Toka nje kaangalie gari, nikatoka Ila kabla sijatoka nje nikachukua Kinywaji Changu nikapeleka counter Kwa usalama zaidi.
.
Ila natoka nje kupiga macho Kwenye gari Naona Mtu Yuko ndani ya gari kusogea nakuta anafight kufungua radio, alivyoniona akakurupuka akataka kukimbia nikamuwahi nikampiga teke akaanguka Chini, nikampa teke lingine la Tumboni akatulia, nikaona gari ya Polisi wale Polisi wakaja wakaniuliza vipi nikawaelezea wakamchukua wakamweka Kwenye gari Yao.
.
Kurudi Kuangalia gari kumbe alivunja kioo Kidogo Akaingiza Mkono aka-unlock zile lock za milango.
.
Nikaenda kuwalezea Uongozi wa Bar Wala hawajali wanajibu majibu ya Kawaida Tu.
.
Nikachukia nikaenda nikachukua kinywaji Changu nikasepa.
.
Wakuu sitaki kumwaribia biashara Ila Pale Sio Pazuri Wezi ni Wengi Sana, na Sjui Uongozi wa Picnic Hawalijui Hilo.
Hiyo bar ina sifa mbaya sana.Sio ya kwenda.Wengi wameibiwa hapo.
 
Nishaenda pale tulileta fujoo na wahudumu ...kumbe wanakonekshen hadi na boda boda ...tulivyoenda kuchukua usafir kwao waligoma kutupeleka..kisa walitaka tukabwe pale watuoshe...uzur jamaa wa tex wakaja wakatuchukua....kiukwel picknc na shivaz si sehem salama kabxa ya kwenda...kwaza ikishafika saa sita polic wanaanza kureki..kama unatembea na miguu wanakurusha kwenye tenga lao
 
Kwa mtu mstaarabu usiende hiyo bar ya Picnic Arusha ni pa hovyooo. Washamba wengi na usela mavi. Wahudumu ni wezi wa chenchi ukitoa elfu 20 kwenye bill yako kuwa makini wanaweza potea au kukubishia hujalipa. Yaani ni bar ya wasela mavi wanaojuana Kwa mgeni achana na mitaa hiyo kwanza michafu haswa. Ni tangu 2020 nikiwa Arusha sikanyagi hapo. WAJINGA WOTE WA ARUSHA KWAO PICNIC.
Dunia inabadilika kwa haraka sana. 2020 ni mbali sana. Unaweza kujaribu kwenda ukakague mazingira upya.
 
Unapoenda picnic thamani yako ni ndogo mno.
Huo ni uwanja wa machangudoa.
Mtu anayejiheshimu huwezi kwenda pale.
Yaani pale hata kama napita na gari huwa napandisha vioo vya gari kabisa.

Picnic na Mrina ni mahali pa watu wa hovyo hovyo tu.
Kibaya zaidi ulionywa na bado ukaenda na eti unalalamika.

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Usihukumu kitu usichokijua. Useme tu siyo bar ya watu wa aina yako. Kila kitu kilichopo duniani kipo kwa kuwa kina watu wa aina hiyo. Kuna mahali panapokufaa hapa hapa Arusha, na kuna mahali hapakufai.

Mfano, wewe huwezi kwenda kupanga nyumba ya kuishi mitaa ya aina ya mabilionea. Utaanza kujiona mnyonge na unaonewa kuanzia siku ya kwanza ya kuambiwa pango ni Sh. Milion 3 kwa mwezi kwa nyumba yenye vyumba viwili vya kulala.

Tunapoingia mjini, tujaribu kuuliza kwa wenyeji ni wapi panaendana na hadhi zetu. Tatizo la mwanzisha uzi ni kulazimisha kwenda kila mahali hata baada ya kuonywa. Pale pasipokufaa, ukilazimisha kwenda lazima utarudi unalia.

Huu uzi utakosa maana kama utakuwa ni uzi wa kulalamikia aina ya watu usioendana nao. Hao wanaopenda huko na kuishi huko ni watu tu. Usijilazimishie kuishi nao. Watakunyoosha.
 
Wakuu Niko Arusha Kwenye Miangaiko Sasa Jana nikaenda Bar ya picnic Arusha, Sasa Wakati ñaenda Nikamwambia Mwenyeji wangu, yule Mwenyeji wangu akanambia kuwa makini Na picnic kuna wezi kama wote, nikamjibu Poa.
.
Lakini yule Jamaa akanambia watu wageni wanaogopa Sana Hapo maana ULINZI zero.
.
Nikafika pale nikaagiza Kinywaji Changu, Grants Ile Kubwa nikawa nanyonya mdogo², Sasa Kuna Binti akawa amekaa kaubta ananiangalia sana.
.
Badae akamtuma mhudumu akwambia, kamwambie yule Kaka nimempenda Jinsi alivyo mrefu na Rangi yake nyeusi nikasema asante.
.
Sasa nikaenda Chooni yule mwanamke ananikonyeza halafu for the time being akanifata chooni Ananambia mbn na kuita Uje Halafu hauji, Eti njoo ule nyama Sawa Nikamjibu Poa.
.
Ila Sikwenda maana nilishaambiwa Niwe makini na wahudumu+wateja, badaye kanifata nilipokaa Ananambia ninahamia Hapa Tukae Wote.
.
Wakati Huo Nimepaki Gari nje, Nikamjibu sitakaa Sana Ila nitaondoka Kwenda Kupumzikia, akajibu nitakusindikiza, Wala sikujibu chochote.
.
Badae Akili ikanambia Toka nje kaangalie gari, nikatoka Ila kabla sijatoka nje nikachukua Kinywaji Changu nikapeleka counter Kwa usalama zaidi.
.
Ila natoka nje kupiga macho Kwenye gari Naona Mtu Yuko ndani ya gari kusogea nakuta anafight kufungua radio, alivyoniona akakurupuka akataka kukimbia nikamuwahi nikampiga teke akaanguka Chini, nikampa teke lingine la Tumboni akatulia, nikaona gari ya Polisi wale Polisi wakaja wakaniuliza vipi nikawaelezea wakamchukua wakamweka Kwenye gari Yao.
.
Kurudi Kuangalia gari kumbe alivunja kioo Kidogo Akaingiza Mkono aka-unlock zile lock za milango.
.
Nikaenda kuwalezea Uongozi wa Bar Wala hawajali wanajibu majibu ya Kawaida Tu.
.
Nikachukia nikaenda nikachukua kinywaji Changu nikasepa.
.
Wakuu sitaki kumwaribia biashara Ila Pale Sio Pazuri Wezi ni Wengi Sana, na Sjui Uongozi wa Picnic Hawalijui Hilo.
Kwa hiyo ulitaja umelize chupa ya Grants ulewe ukaendeshe gari mwisho isababishe ajali uvunje watu miguu? Walikukumbusha tu kunywa kwa kiasi mkuu.
 
Mimi ni Mkaazi wa Arusha, kwanza naona unachanganya mara cocoriko mara Picnic hata sijaelewa.

Kama ni pale Picnic mimi sio Mgeni na zile Parking ni za wazi maana kuna Bar nyingi pale hivyo ni Muhimu kutafuta Parking iliyosambamba na Bar moja na kuongea na Mlinzi wa Bar husika, nadhani hii ni common sense tu.

Hiyo tabia nyingine umeielezea sijawahi kuishuhudia wala kusikia ndio nasikia kwako, huenda kuna namna fulani uliji expose ukaonekana ni dili.
Wewe ni kibaka.
 
Story in ukakasi, hakuna popcorn, Wala biscuit, Nimefanya majadiliano na wadau wangu mara nying Sana hapo picnic, ukienda kwa ajili ya kula tu, hakuna shida.

Sioni connection ya wizi na huyo Dada wa ndani, hata kidogo, halafu hakuna police anachukua mwizi kwa style hiyo kama mtu anayeenda sokoni kununua carrot.

The rule of a thumb, ukienda bar yeyote yenye wadada wanaojiuza, kuibiwa ni kawaida na sio kosa la Bar, ukitaka Bar ikusaidiaje sasa? Wakubusu?
Kibaka mwingine huyu hapa.
 
Arusha kwa sasa sio.sehemu salama ya kuishi

Kuna unyama na ushenz mwingi Sana Arusha

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Mkuu arusha ni miaka yote kumekuwa na matukio ya mara kwa mara umekuwa mkoa wa hatar sana watu kudhuriana awaoni taabu nimeishi sana arusha matukio kila kukicha mara mtu kachomwa kisu yaani hakuna amani arusha
 
Kwani Bar ya Picnic ndio hiyo hiyo Cocoriko? Sisi ambao sio wenyeji wa Arusha umetuchanganya.
Picnic na kokoriko no bar 2 tofauti mkuu.
Ila kweli majuzi nilikuwa hapo AR nilienda hapo sikupapenda kabisa kwani utulivu na usalama ulinitia shaka na machangudoa inaonekana wanatambuliwa rasmi na uongozi wa Bar na wanapewa support nao!
 
Back
Top Bottom