Bar ya Picnic Arusha Kuna wizi kuanzia wahudumu, Wateja Wanawake mpaka Bodaboda Wanaopaki nje

Bar ya Picnic Arusha Kuna wizi kuanzia wahudumu, Wateja Wanawake mpaka Bodaboda Wanaopaki nje

Wakuu Niko Arusha Kwenye Miangaiko Sasa Jana nikaenda Bar ya picnic Arusha, Sasa Wakati ñaenda Nikamwambia Mwenyeji wangu, yule Mwenyeji wangu akanambia kuwa makini Na picnic kuna wezi kama wote, nikamjibu Poa.
.
Lakini yule Jamaa akanambia watu wageni wanaogopa Sana Hapo maana ULINZI zero.
.
Nikafika pale nikaagiza Kinywaji Changu, Grants Ile Kubwa nikawa nanyonya mdogo², Sasa Kuna Binti akawa amekaa kaubta ananiangalia sana.
.
Badae akamtuma mhudumu akwambia, kamwambie yule Kaka nimempenda Jinsi alivyo mrefu na Rangi yake nyeusi nikasema asante.
.
Sasa nikaenda Chooni yule mwanamke ananikonyeza halafu for the time being akanifata chooni Ananambia mbn na kuita Uje Halafu hauji, Eti njoo ule nyama Sawa Nikamjibu Poa.
.
Ila Sikwenda maana nilishaambiwa Niwe makini na wahudumu+wateja, badaye kanifata nilipokaa Ananambia ninahamia Hapa Tukae Wote.
.
Wakati Huo Nimepaki Gari nje, Nikamjibu sitakaa Sana Ila nitaondoka Kwenda Kupumzikia, akajibu nitakusindikiza, Wala sikujibu chochote.
.
Badae Akili ikanambia Toka nje kaangalie gari, nikatoka Ila kabla sijatoka nje nikachukua Kinywaji Changu nikapeleka counter Kwa usalama zaidi.
.
Ila natoka nje kupiga macho Kwenye gari Naona Mtu Yuko ndani ya gari kusogea nakuta anafight kufungua radio, alivyoniona akakurupuka akataka kukimbia nikamuwahi nikampiga teke akaanguka Chini, nikampa teke lingine la Tumboni akatulia, nikaona gari ya Polisi wale Polisi wakaja wakaniuliza vipi nikawaelezea wakamchukua wakamweka Kwenye gari Yao.
.
Kurudi Kuangalia gari kumbe alivunja kioo Kidogo Akaingiza Mkono aka-unlock zile lock za milango.
.
Nikaenda kuwalezea Uongozi wa Bar Wala hawajali wanajibu majibu ya Kawaida Tu.
.
Nikachukia nikaenda nikachukua kinywaji Changu nikasepa.
.
Wakuu sitaki kumwaribia biashara Ila Pale Sio Pazuri Wezi ni Wengi Sana, na Sjui Uongozi wa Picnic Hawalijui Hilo.

Huu ni uongo wa karne ya 22.
 
Mimi ni Mkaazi wa Arusha, kwanza naona unachanganya mara cocoriko mara Picnic hata sijaelewa.

Kama ni pale Picnic mimi sio Mgeni na zile Parking ni za wazi maana kuna Bar nyingi pale hivyo ni Muhimu kutafuta Parking iliyosambamba na Bar moja na kuongea na Mlinzi wa Bar husika, nadhani hii ni common sense tu.

Hiyo tabia nyingine umeielezea sijawahi kuishuhudia wala kusikia ndio nasikia kwako, huenda kuna namna fulani uliji expose ukaonekana ni dili.
Kuna incident ikimtokea mtu ana generalize. Nimekuwa nikienda Arusha na Picnic imekuwa sehemu hospitable kwangu.
Sijui nisemeje lakini wizi na utapeli upo kila mahala kwa sasa.
 
Kama mzawa wa Chuga, Picnic ni moja ya Bar chache sana kwa hapo chuga ambazo nlipendelea kula nguchu, ukiagiza mzinga unaletewa na bakuli la limao + la ice bila hata kusema, pia walikuwaga na kautaratibu jioni kila meza wateja wanapatiwa bakuli za karanga + popcorn, bar zingine majina makubwa lakini hawana iyo huduma hata ukiomba uletewe.
Huniambii kitu kuhusu ilo chocho.
 
Kuna incident ikimtokea mtu ana generalize. Nimekuwa nikienda Arusha na Picnic imekuwa sehemu hospitable kwangu.
Sijui nisemeje lakini wizi na utapeli upo kila mahala kwa sasa.
Jamaa kaeleza kitu ambacho sijawahi kusikia kutokea pale.

Kero ya pale na niliwahi ku comment hata kwenye moja ya uzi humu ni kuhusu Wahudumu...kuna wakati unaingia unakuta wamekaa badala wainuke kukutafutia kwa kuketi wanakuangalia tu...kuna wakati unakasirika lakini ukikumbuka huko kwingine wasivyozingatia usafi wa maliawato zao basi unakuwa mpole tu unaketi unakata vitu.

Ni moja ya sehemu wanayojitahidi sana kwa usafi kuanzia Mazingira, Vyoo, Wahudumu n.k.
 
Picnic hawana parking kubwa, halafu dada zetu nao hawapoi pale nje "prostitution"
 
Ww
Wakuu Niko Arusha Kwenye Miangaiko Sasa Jana nikaenda Bar ya picnic Arusha, Sasa Wakati ñaenda Nikamwambia Mwenyeji wangu, yule Mwenyeji wangu akanambia kuwa makini Na picnic kuna wezi kama wote, nikamjibu Poa.
.
Lakini yule Jamaa akanambia watu wageni wanaogopa Sana Hapo maana ULINZI zero.
.
Nikafika pale nikaagiza Kinywaji Changu, Grants Ile Kubwa nikawa nanyonya mdogo², Sasa Kuna Binti akawa amekaa kaubta ananiangalia sana.
.
Badae akamtuma mhudumu akwambia, kamwambie yule Kaka nimempenda Jinsi alivyo mrefu na Rangi yake nyeusi nikasema asante.
.
Sasa nikaenda Chooni yule mwanamke ananikonyeza halafu for the time being akanifata chooni Ananambia mbn na kuita Uje Halafu hauji, Eti njoo ule nyama Sawa Nikamjibu Poa.
.
Ila Sikwenda maana nilishaambiwa Niwe makini na wahudumu+wateja, badaye kanifata nilipokaa Ananambia ninahamia Hapa Tukae Wote.
.
Wakati Huo Nimepaki Gari nje, Nikamjibu sitakaa Sana Ila nitaondoka Kwenda Kupumzikia, akajibu nitakusindikiza, Wala sikujibu chochote.
.
Badae Akili ikanambia Toka nje kaangalie gari, nikatoka Ila kabla sijatoka nje nikachukua Kinywaji Changu nikapeleka counter Kwa usalama zaidi.
.
Ila natoka nje kupiga macho Kwenye gari Naona Mtu Yuko ndani ya gari kusogea nakuta anafight kufungua radio, alivyoniona akakurupuka akataka kukimbia nikamuwahi nikampiga teke akaanguka Chini, nikampa teke lingine la Tumboni akatulia, nikaona gari ya Polisi wale Polisi wakaja wakaniuliza vipi nikawaelezea wakamchukua wakamweka Kwenye gari Yao.
.
Kurudi Kuangalia gari kumbe alivunja kioo Kidogo Akaingiza Mkono aka-unlock zile lock za milango.
.
Nikaenda kuwalezea Uongozi wa Bar Wala hawajali wanajibu majibu ya Kawaida Tu.
.
Nikachukia nikaenda nikachukua kinywaji Changu nikasepa.
.
Wakuu sitaki kumwaribia biashara Ila Pale Sio Pazuri Wezi ni Wengi Sana, na Sjui Uongozi wa Picnic Hawalijui Hilo.
Ww pale ni sehemu ya malaya , iyo ni kama new shivaz , watakuwa malaya wanashirikiana na wezi ogopa sana
 
Jamaa kaeleza kitu ambacho sijawahi kusikia kutokea pale.

Kero ya pale na niliwahi ku comment hata kwenye moja ya uzi humu ni kuhusu Wahudumu...kuna wakati unaingia unakuta wamekaa badala wainuke kukutafutia kwa kuketi wanakuangalia tu...kuna wakati unakasirika lakini ukikumbuka huko kwingine wasivyozingatia usafi wa maliawato zao basi unakuwa mpole tu unaketi unakata vitu.

Ni moja ya sehemu wanayojitahidi sana kwa usafi kuanzia Mazingira, Vyoo, Wahudumu n.k.
Bro wahudumu wale ni malaya wote sema hapo wanajishikiza tu job hawana mafunzo yoyote ya customers service sema kuna usafi sana pale yaani mazingira safi kuliko clubs zote za pale mjini kati kama XO , Pinpoint nk
 
Minahisi meneja kabadilishwa kati ya sehem ilikuwa poa sana ni Picnic kama pamekuwa hivyo naamini uongozi umebadilika. Nilikuwa hapo Arusha kikazi kila siku Picnic ndio ilikuwa sehem yangu ya kupata msosi sikuwahi kuyaona hayo.

Ok, mimi chakula huwa napendelea kujisogeza Mariama Cafe Aroma - Levolosi, wana misosi yenye ladha fulani hivi ya Pwani [emoji39]
 
picnic bar yuko mtaa gani? mi iko na mama Yeyoo huku gari bovu nae anataka kupajua asiibiwe na mijanamke yenu ya kihuni!
 
Aisee nimeibiwa na mhudumu hapa Picnic bar nilikunywa soda akaniambia elfu nikampa 10000 japo simkumbuki lakini cha kushangaza hakurudi kunipa chenji kama mteja nami sikuhangaika nikajua hawa wezi tu nikapotezea kwa maana nilijua nikimwambia bar wataniuliza mhudumu yupi kakuhudumia nisingekuwa na majibu kwa hiyo kuweni makini.
 
Aisee nimeibiwa na mhudumu hapa Picnic bar nilikunywa soda akaniambia elfu nikampa 10000 japo simkumbuki lakini cha kushangaza hakurudi kunipa chenji kama mteja nami sikuhangaika nikajua hawa wezi tu nikapotezea kwa maana nilijua nikimwambia bar wataniuliza mhudumu yupi kakuhudumia nisingekuwa na majibu kwa hiyo kuweni makini.
Bean 1.jpg
 
Back
Top Bottom